Wakuu kama kichwa kinavyojieleza,naomba kujuzwa zaidi aliewahi kununua bidhaa kwao je ni za uhakika na ubora kama zinavyotangazwa?!
Nimeona matangazo yao Instagram
Wakuu naomba kufahamu ni wapi lilipo soko la ulezi na bei ni sh ngapi kwa gunia. Kuna jamaa yangu ana gunia kama 70 hivi kule Singida anahitaji kuuza.
Naomba kuwasilisha.
Nahitaji kuanza kuagiza bidhaa kupitia magari ya kampuni husika(hasa Mo)
Naomba kujua utaratibu wa malipo mpaka mzigo kufikishwa ofisin
Je bei zao zipo rafiki??
Na je oda wanaanzia ngapi??
Na...
It indeed true that Africa as whole is a fast developing continent in the world today.
Also it includes such developments as modern infrastructures, architectures and designs.
It is also a known...
Natafuta wafanya biashara wanaotoa na kuuza bidhaa zao kwa mkopo. Namaanisha suppliers ambao wanaweza kukupa bidhaa au huduma na ukalipa kwa instalments labda kwa miezi2, 3, 6, 9 au 12...
Na Bikira konk
1. Miaka mingi iliyopita nilialikwa kwenye "listening party" ya wimbo na video ya "My Favorite Artist Wangu Of All Times Lady Jay Dee. "Listening party au watch party" ni "closed...
Hii ndio hali halisi ya nchi ilipofikia , pichani mkulima ambaye pia ni mchuuzi wa madafu akiona nyota nyota kichwani asijue la kufanya baada ya kuzingirwa na kikosi kizima cha mgambo huku...
Habari wakuu wa jukwaa hili.
Kwa muda mrefu sana nimekua nikitamani kufanya hii biashara ya catering na sasa naona kama ni muda muafaka wa kuanza.
Tafadhali naomba mwenye experience na hii...
Wakuu khabari za asubuhi, mimi kijana wenu mpambanaji ..naendelea kutafuta ni kwa namna gani naweza kujiongezèa kipato. Katika pita pita za town naona kuna fursa ya kufanya hii biashara ya matunda...
Naombeni kufahamu kwa wale wote wanaofanya kazi katika ofisi mbalimbali hasa katika makampuni, kwa plan kama yangu utaratibu unakuaje ili niweze kuwa nawaletea matunda ofisini kwenu?
Kilichowakuta wafanya biashara na wachuuzi wa CEMENT pale DEPOT ya Ubungo, kimenikumbusha enzi za UKOLONI kabisa.
Kisa chenyewe kiko hivi: Wajasili ya mali ,wachuuzi na wasakatonge kwa njia ya...
Salama wakuu?
Natumaini muda si mrefu nchi yetu ya Tanzania ndio itakuwa inaongoza kwa kukusanya mapato duniani, maana mpaka madereva wa malori na Canter za kubeba mizigo wanakamatwa wanaambiwa...
Amani kwa wana JF woote
Wabunifu Group kwa zaidi ya miaka mitano tumekuwa tukibuni bidhaa mbali mbali za kutatua matatizo tofauti ya jamii ikiwemo sabuni za miche, bleach za nguo nyeupe, sabuni...
Tumeanza kazi kama broker wa viwanja,magari na nyumba za kupanga katika jiji la Arusha.
Gharama zetu ni ni nafuu sana,kwenye upangaji wa nyumba mpangaji anachangia 40% hadi 50% ya kodi ya mwezi...
Jamani ni mwaka wa kumi sasa, nakomaa sana na biashara na natamani sana shughuli za zipanuke. Lakini wapi. Kuna wadogo wanakuja nyuma juzi tu leo wanapesa ndefu. Au wapi jamani nakosea. Now...
Asalaam wanajukwaa
••••●●●☆☆☆☆☆••○••●●●●☆☆•••••
Kama kichwa cha habari hapo juu kilivyo,
Nimekuwa na ideas za biashara mbali mbali na nimezichambua kwa mda sasa hatimaye nimejikita katika hizi...
Mimi na kijana mwenzangu tumeamua kubuni biashara kwa mfumo wa kidijitali kuendana na kasi ya Dunia.
Mfumo wa Huduma upo hivi.
Kwanza, mpaka sasa tumekamilisha kusajili kampuni BRELA...
Nimepata wazo la kufungua duka litakalouza vifaa vya urembo kwa wakina Dada (cosmetics) maeneo ya Mbezi ya kimara au Kibaha. Nimewaza kuweka perfume mbali mbali! Mafuta ya kupaka, lotion, sabuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.