Sijui kama kibongo bongo kuna mtu ameshawahi kuwaza hii.
Leo nimekaa nimefikiri sana nikapata wazo na kuja na hii project niliyoipa jina la Fruit Garden (bustani ya matunda),sema tu pesa sina...
Nimekuwa nikisikia watu wanasema flani dukani kwake au kwenye biashara yake ana Accountant.
Tena kwenye mikoa yetu huku mtu akiwa na Accountant anaonekana wa ajabu.Yaani anaonekana Sonko flani...
Ukweli ni kwamba, ujio wa Wakenya kujumua vitunguu ulifaidisha wakulima. Kitunguu ilipanda mpaka laki tatu. Wakulima wanejenga nyumba na kununua magari.
Sasa huyu jamaa yetu ugomvi wake na...
Habari wana JF wenzangu.
Nimekua na wazo la kuanzisha kampuni ya usafi Dar-es-salaam, naomba muongozo kwa anaefahamu.
(1) vibali.
(2) upatkanaji wa mashine/vifaa.
(3) changamoto.
(4) fursa...
Habarini wana jamvi, kwenye maswala ya stock markets kuna vitu kadhaa nahitaji kujua maana zao, vitu vyenyewe ni :
1. ETFs (exchange traded funds)
2. Mutual funds
3. IQ options
So please kama...
HABARI ZENU WAKUU,
mimi ni kijana nnaye miliki hardware mtaan kwetu,ni miaka mitatu tangu nifungue biashara yangu .na niliwah kuisimamia biashara hii (yani kukaa mwenyewe golini kuuza na...
Naomba kupata budget ya kununua hiyo Gari , kuifanyia matayarisho yote kabla ya kuanza kazi, kipato unachoweza pata kwa siku au kwa mwezi. Pia Ni FUSO ipi nzuri Kati single na tandum
Wadau kwema
Katika pita pita zangu nimekuta mahala makala Mkuu wa Wilaya wa Kongwa Dkt. Serera na KM Kilimo Wakiwa wanafanya ukaguzi kwenye mashamba ya Korosho Vijiji vya Mkutani na Msunjilile...
Helow guys, habari za kwenu wadau
Rejea heading above, mimi binafsi nina PLANS za kusafirisha unga wa sembe nje ya nchi kupeleka UK, kwa kweli mimi ni mmoja kati ya wale wanaopata hamasa ya...
"Inakuwaje wewe Graduate unaishi Dar unashindwa kutengeneza 30,000 kwa kila siku Consistently"
Nimemnukuu jamaa hapa stationary moja nikitoa copy yule kama si Motivesheni Spika itakuwa ni...
Wataalam, nimekuwa na malengo ya kuzalisha umeme binafsi na kuuza kwa ajili ya kipato na kutoa huduma.
Lakini kuna jamaa alinitisha kwamba ukifanya hivyo bila vibali mradi wako unaweza ukafungwa...
Umuofia kwenu.
Wadau wa sekta ya madini hususani mikoa ya pwani Kuna mwamba mmoja muongeaji Sana anaitwa siasa. Ni mtu wa mawe hasa gems nataka kufanya nae biashara Fulani huwa sometimes anakuwa...
Wakuu katika maboresho ya huduma na uanzishwaji wa huduma mpya, hakuna Bank yoyote nchini Tanzania ambayo imeanzisha/ ina huduma inayomuwezesha mteja kuhifadhi pesa zake kwa mfumo wa USD.?
Mfumo...
Wakuu naomba msaada wa kujua kama kuna uwezekano wa mimi mtanzania kununua shares za kampuni yoyote ya nje ya nchi, hasa Ulaya.
Naomba kama kuna aliyeweza kufanya hivyo anisaidie kunipa mawazo.
Naomba niseme nimekua mtumiaji mzuri wa kulipa kwa M-pesa mastercard.
Nimekua nikideposit 1xbet.
Leo nimebutua mshiko wa maana sasa nataka kutoa kiasi. Nimejaribu kutoa kwa njia ya acc yangu ya...
Mimi ni Kijana wa miaka 26 nikiwa na shahada ya uhandisi wa mitandao na mawasiliano...baada ya kuhangaika sana bila majibu nimeambulia kufahamu fursa nyingi ambazo nimetumia na akili yangu kidogo...
Mambo vipi wanajamvi! MTU wenu Leo Niko hapa kuulizia kuhusu biashara ya viazi kutoka huko vitokapo ( iringa,mbeya) mpaka kuingia sokoni Mabibo Dar es salaam. Kwa kuanza.
1_bei ya gunia moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.