Kumekuwa na kuibuka kwa applications ambazo zinamfanya mtu kuweza kuagiza chakula online na kuletewa kwa delivery, ambazo ni piki na foodsasa, app hizi zinasaidia sana kwenye shughuli za kuagiza...
Habari za usiku mabibi na mabwana.
Ni matumaini yangu kuwa mnaendelea vema na shuguli zenu za kila siku. Wenye matatizo poleni na endeleeni kupambana kumaliza hayo matatizo.
Naam, niende kwenye...
Salute bosses
Utangulizi
Wengi mmesikia sikia sana kuhusu Forex trading, mmepata kujua taarifa kadhaa kuhusu hii biashara lakini mmeshindwa kufahamu nini kinaendelea. This is the perfect thread...
Ndugu zangu habari ya subuhi.
Naomba ushauri nataka kuanza biashara ya vitenge mkoa wa Mbeya (Tukuyu) kwa mtaji wa Tshs. million moja na nusu.
Kwa hiyo naombeni ushauri wapi naweza kujumua kwa...
Mudathir Maulid Hamad
+255776523020 WhatsApp number
..........
Siku ya leo Naomba Tujikwamue kwa kua na mawazo chanya yenye tija katika maisha ya Watanzania.
Ukweli ni kwamba vijana wengi...
Analysis yangu ya zao la mpunga kwa mkoa wa Morogoro iko hivi:
Kwamsimu huu wa 2019/2020 mvua zimenyesha nyingi mnoo na kusababisha baadhi ya wakulima kuchelewa kupanda mbegu mpaka hivi...
Riches, Wealth, influence, the good life... who does not want it? To never struggle to have the things you want. Obviously here I'm talking about becoming rich through legal ways.
The truth is...
Biashara ya kutembeza maandazi. Kilo 1 ya maandazi unapata faida 2000 yanatoka maandazi 40 unauza sh 100 kila andazi. Tafuta vijana 10 kila kijana mpe maandazi 120 yaani kilo 3.
Hapo akiuza yote...
Hello Friends,
Nafikiria kuanzisha duka la Urembo na Vipodozi. Nafikira kuuza cosmetics zillizo expensive, za bei ya kati na za bei ya chini.
Ni eneo lipi kati ya MWENGE, MAKUMBUSHO na SINZA...
Globally, men have suffered in the hands of gold diggers who only love them for what they can put on the table. When a man hat a fat bank account, he need not propose to women as they will all...
Wakuu, poleni na msiba wa kitaifa uliotukumba, pia tunashukuru Mungu Mheshimiwa Lissu amerejea nchini mwake salama akiwa hai.
Tukiachana na hayo, embu tupeane ushauri hapa, kua ukimpa mtu dili...
Habari za asubuhi,
Kwa sehemu yangu mimi ni mara ya kwanza na jana wakati naelekea kisesa niliona wanagawa maeneo na watu ni wengi... nikaona isiwe shida nilifika kisesa kinanunua maji ya jumla...
Life is now complicated than it was before, there are things we ought not to rant about or discuss out to people.
I would be enlightening you on the things you should never tell anyone if you...
BancABC kwa kushirikiana na MasterCard, wamezindua huduma mpya iitwayo M-Pesa-Mastercard ni ya kwanza na ya kipekee Tanzania itakayomuwezesha mteja wa M-Pesa kuweza kulipia huduma na bidhaa...
Poleni na majukumu ya kila siku wakuu.
Shida yangu ni kujua wapi wananunua mahindi na maharage kwa wingi mkoani Morogoro.
Natanguliza shukrani kwa mtoa taarifa.
Ninatambua sana kwamba, wamekufundisha na kukuambia "Utafute Role Model" na uige kile anachokifanya ili uweze kufanikiwa kama yeye. Wamekufundisha pia kusoma vitabu vya Mafanikio na kufuata kile...
Habari wana jamvi.
Kifupi mimi ninaelimu ya chuo kikuu nilimaliza 2013, Ila kiuhalisia mimi sipendi kuajiriwa pia sipendi kupangiwa napenda kujiajiri.
Mwaka 2014 nilikuwa nimeajiriwa kampuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.