Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Na kalaga baho Aseee nina furaha kubwa ya kujadili na wafanyabiashara wenzangu. Poleni sana watanzania kwa kumpoteza Mzee Ndugulile kigamboni. Aseee nilkuwa nimelala hapa nimepigiwa simu na...
1 Reactions
23 Replies
964 Views
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji kusajili line ya lipa pesa, sijui ipi ni nzuri kwa ajili ya matumizi ya biashara. Vodalipa Airtellipa Tigolipa Nawasilisha
3 Reactions
27 Replies
1K Views
Na... Jinsi Wewe Unavyoweza Kuanzisha Biashara yako pia! Moja ya Changamoto ambayo Wajasiriamali wengi wamekuwa Wakipitia ni Jinsi ya Kuanzisha Biashara bila ya kuwa Mtaji. Yaani… Je kuna Njia...
19 Reactions
39 Replies
2K Views
Habarini wakuu, Naomba msaada wa kuweza kuicustomize payment voucher(PV) kwenye mfumo wa online Quick Book kwa kuweka fields" prepared by,reviewed by na authorized by". Natanguliza shukran kwa...
0 Reactions
5 Replies
909 Views
Nimekuja kuwapa madini kuhusu hii biashara Biashara hii inalipa Sana, ndo maana wachina wanatoka kwao kuja kuinvest Tanzania Firstly inahitajika mtaji mkubwa Sana na elimu ya kusimamia na...
11 Reactions
78 Replies
6K Views
Wakuu nawasalimu kwa Jina la JMT. Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza. Nimekuja humu ndani kupata ushauri wa Biashara ya Malori haya ya kubeba mizigo iwe ya Local ama Transit. Kutokana na...
37 Reactions
221 Replies
37K Views
Wapendwa salaam! Amani ya Mungu baba muumba iwe juu yetu sote! Jamani mwenzenu nilikuja humu ndani kuuliza biashara ya vyombo ila nasikitika sana sikufanikiwa katika biashara ile kwani nilipata...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Wakuu wana JF, Kuna tetesi kuwa ukifungua fixed account ya 10Million ktk benk za Exim, CRDB, Posta bank, NBC limited au NMB, kwa kila baada ya miezi mitatu - inazaa faidi kati ya sh. 1.8 mill up...
4 Reactions
496 Replies
199K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 taaluma yangu ni ufugaji samaki kiwango cha elimu ni Diploma (Diploma in Aquaculture Technology) Nina uzoefu wa miaka 4 kwenye hii industry nimefanya kazi...
13 Reactions
22 Replies
1K Views
Habari Wakuu! Ufugaji wa samaki ni utamaduni/maarifa mapya hivyo watu wengi wanastruggle sana kupata taarifa sahihi juu ya njia bora ya kufanya ufugaji wa samaki kibiashara Mimi ni mtaalamu wa...
1 Reactions
2 Replies
333 Views
Wakuu naomba kuuliza anayejua bei ya mkaa wa mawe ( coal ) unapopatikana bei zake kwa tani na taratibu za kununua tujulishane. Nahitaji kwa ajili ya matumizi ya kiwandani.
0 Reactions
4 Replies
329 Views
Kwa wale tuliozoea neno 'Tigopesa' na uhusiano wake na huduma inayopatikana ya 'Pesa' kwa njia ya mtaandao wa TIGO, mnaonaje matumizi ya neno jipya la 'Mixx by Yas' lisivyo na uhalisia/ufanani na...
0 Reactions
5 Replies
265 Views
Vitu kama: Vigezo Kodi Masharti Mtaji Na vitu muhimu Nina kajumba kangu ka vyumba vitatu naona bora kawe ka Guest kuliko kuingiza elf 60 kwa mwezi.
2 Reactions
3 Replies
234 Views
Habari Wana JF , Naomba mawazo yenu, Nina mtaji wangu nataka nifungue saruni ya kike Mafinga mjini. Je, Ni sehemu gani , au mitaa gani itanifaa kwa kazi hiyo?
0 Reactions
5 Replies
284 Views
Wakuu nina gari yangu imepaki nataka iniingizie pesa kwa kuifanya uber. Naomba kwa mwenye ufahamu anifahamishe process yote mpaka gari inaingia barabarani. Yani kama kuna vibali ni vipi? Kama...
2 Reactions
16 Replies
4K Views
Habari wanajukwaa Mimi ni muajiriwa sehemu fulani, kutokana na changamoto za kazi nilitamani nijiajiri mwenyewe kupitia biashara ya udereva wa mtandao. Naombeni ushauri wenu juu ya hii biashara...
3 Reactions
49 Replies
22K Views
Prof. Minzi na wengine! Sijui kama waafrika kuna siku tuta endelea na kufanikiwa kama wenzetu wazungu, wahindi, wachina, waarabu, nk. We seem to be at the lowest thinking, intellectual and moral...
7 Reactions
35 Replies
1K Views
RUDISHIWA NAULI YAKO! Mteja wa Vodacom Tanzania Plc, Regina Mbalamwezi akirudishiwa nauli yake baada ya kukata tiketi ya basi kupitia M-Pesa kutoka Dar es Salaam Kwenda Morogoro wakati wa uzinduzi...
0 Reactions
1 Replies
256 Views
Uzi huu ni maalum kwa wapenzi wa kujifunza maswala ya biashara na uchumi kupitia kusoma vitabu Hapa utatakiwa kutuma kitabu na unakielezea Happy Reading 🎊
3 Reactions
6 Replies
556 Views
Napenda kudecrale interest, Binafsi nilikuwa mmoja wa watumiaji wa hii mikopo, Kwa mkopo wa 83,000 ndani ya miezi mitatu iliyopita, marejesho yalikuwa ni 93,000 Nimekopa kiasi hiki mara tatu na...
4 Reactions
22 Replies
1K Views
Back
Top Bottom