Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Je waijua BANK OF AFRICA (BOA). Hii ni Benki inayotoa mikopo rahisi ya hadi asilimia kumi nukta saba tu kwa mwaka. Mfano ukikopa milioni 1. Riba ya mwaka mzima itakuwa 107000. Yaani kwa mwaka...
5 Reactions
34 Replies
14K Views
Wadau naomba mnisaidie kujua gharama za kuingiza Trekta. Bei yake huko lilipo ni kiasi cha milioni 30 tsh.. nimeangalia kwenye kikokotozi cha TRA. Hakuna sehem unaweza kokotoa hii ni picha ya...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Baada ya kufanya kazi ya huduma kwa wateja vodacom, kwa zaidi ya mwaka mmoja chini ya kampuni ya outsourcing. Nimeacha kazi baada ya kuona sisogei kimaendeleo licha ya kujinyima sana na kutumia...
2 Reactions
53 Replies
12K Views
Wana Jf habari, Pameibuka makampuni mengi sana, ambayo yanajihusisha na uuzaji magari kutoka japan kuleta huku Na kila moja akijitangaza kuwa bora zaidi. Kitu ambacho kwa wageni ambao wanahitaji...
1 Reactions
14 Replies
6K Views
Habari za jioni ndugu zangu, Naomba uzoefu kwa nyie mliojaliwa kupata magari kwa kuyaagiza toka Japani hasa yale ya mtumba mlifanyaje fanyaje mpaka mzigo ukawafikia? Pale Bandarini mzigo...
3 Reactions
125 Replies
17K Views
Habari zenu wana jamvi,hivi hii kampuni ya NICO ambayo ilianzishwa kwa mbwembwe kwelikweli na kutangazwa sana na vyombo vya habari kwamba itakuwa mkombozi wa kweli kwa watanzania na kuanza kuuza...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nimemaliza chuo muda (2016) kidogo, nimesota sana kupata ajira, nimesota sana mpaka nilifikia kukata tamaa ya maisha, Mungu mkubwa mwaka jana mwezi wa 5 nikaja kupata kazi kwenye mradi mmoja...
4 Reactions
43 Replies
6K Views
Habari za asubuhi wanajamvi na kwa mda huu tunapoelekea mchana huu na habarini za jumapili kwa wale wakristo wenzangu. Naomba kwenda kwenye mada moja kwa moja, mimi ni mtaaluma wa ICT nikiwa...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari, Naitwa Thomas Leo ningependa kwenda moja kwa moja kwenye mada ni kwamba unapotaka kufikia mafanikio basi fanya kazi kwa bidii lakini kama ukitaka mafanikio makubwa zaidi basi inakupasa...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Nimebahatika kufanya kazi na watu tofauti tofauti hapa nchini hasa wajasiriamli wadogo na wale wa kati.Binafsi pia nimefanikiwa kufanya aina mbalimbali za biashara,ndogo na za kati,local na...
7 Reactions
5 Replies
1K Views
Najua kuna watakao elewa hili ni kuna ambao hawataelewa hili; Kama taifa inabidi wakati tuamue kama taifa tunataka kuwa taifa la namna gani,Je tunataka kuwa taifa la...
0 Reactions
0 Replies
917 Views
Wadau naomba msaada kwa yeyote anaefahamu kufanya manunuzi kupitia Alibaba App au WEBsite. Msaada tafadhali.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwasasa kariakoo havipatikani Wapi nitapata
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Kwanini mabank mengine hayapunguzi riba,na kuongeza muda wa mkopo kama yalivyofanya baadhi ya bank?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nawasalimu nyote kwa pamoja Kama uzi wangu unavyosema, Mimi ni kijana kutoka katika familia ya kipato cha chini Lakini sion aibu kuweka wazi maisha halisi ya familia yetu, kwa kuwa mficha uchi...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Maonyesho ya 127 ya uagizaji na uuzaji wa bidhaa ya China yanayojulikana kama Canton Fair yamefunguliwa rasmi tarehe 15. Hii ni mara ya kwanza kwa maonyesho haya kufanyika kwa njia ya mtandao...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau kwema samahanini, naombeni mnijuze hivi mtaji wa 200000/= kwa Dar es Salaam unaweza anzisha biashara gani?
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Tunafahamu wazi, unakutana na mafundi mbali mbali wa kupendezesha nyumba yako. Lakini sisi tuko tofauti kidogo kwani tuko na. 1.Uwaminifu 2.uharakishaji wa kazi 3.kazi nzuri yenye kiwango sahihi...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Naomba msaada wenu, kuna bidhaa nimeiona Alibaba nikaipenda, muuzaji anasema yuko USA, tumebargain bei na kukubaliana. Tatizo nasita kumtumia hela make naogopa kutapeliwa. Naomba uzoefu kwa yeyote...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Wakuu habari, Naomba kusaidiwa jina la biashara. Naomba liwe fupi lakini lenye kuakisi ninachokifanya. Biashara ninayotaka kufanya ni Agent wa kuwa naagiza mizigo kutoka Nje. Naomba kuwasilisha.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom