Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Hii inawhusu zaidi ambao huiga biashara bila kutafakari kwa kina, Ni muhimu sana kufuatilia asilimia ya profitability Huwezi kuwa na mtaji wa milioni 1 uanze kufanya biashara yenye faida ya 5%...
13 Reactions
22 Replies
2K Views
Naombeni mnisaidie machimbo ninayoweza kupata mavazi ya stara mfano abaya ya mtumba au mapya, pia magau mpya mzuri pia mguo mbali mbali za stara.
1 Reactions
3 Replies
272 Views
Mfani rj45 connector ni 200 madukani ikizidi 500, mtu anauza 1500 au 2000 Kifaa ambacho dukan ni elf 65, mtu anaweka 120,000. Kifupi wanaweka bei mara mbili ya inavyokua kawaida, watu wanatamaa sana.
6 Reactions
6 Replies
416 Views
Habar qanaforum mimi apa nawazo la kuanzisha ofisi ya kupokea na kaagiza mizigo kutoka dar kwenda mikoni au kutoka mikoani kwenda sehem ingine kwa kutumia usafir wa mabasi lakin sijui vipi...
1 Reactions
3 Replies
234 Views
Wana jamvi habarini za mchana, Naomba kujua mwenye uzoefu juu ya kuhifadhi Viazi mbatata "Viazi mviringo" vilivyo menywa na kukatwa kwa ajili ya chipsi ili visibadilike rangi au kuharibika kwa halaka.
1 Reactions
9 Replies
508 Views
Wafadhili wakubwa yaani “Major Gift Donors” ni watu ambao wanatoa kiasi kikubwa cha ufadhili kwa shirika, ili kuliwezesha shirika kutekeleza programu na miradi yake kikamilifu. Tafsiri ya mfadhili...
1 Reactions
3 Replies
312 Views
Nina imani nitakuwa mkombozii Kwako kwa sababu nina uzoefu wa masuala yote ya kusajili biashara (kama kampuni au jina la biashara) kuanzia usajili hadi namna gani utaikuza biashara yako. Huduma...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Karibu Day Dreamer Tz Consultancy, watatuzi wa changamoto zako kwenye: 1. Usajili wa Jina la Biashara Brela - Tunakusaidia kusajili jina la biashara lako kupitia BRELA (Business Registrations...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Wakuu Hali nilipo kibiashara ni ngumu nataka toka mkoani kuhamia kibiashara Kariakoo au niagize bidhaa China Nikiwa Dar vipi kuna kutoboa kweli?
14 Reactions
55 Replies
3K Views
Anahitajika hired consultant kwa ajili ya kuendesha biashara ya duka ya pharmacy wholesale na retail Mae so ya Amana
0 Reactions
1 Replies
587 Views
1.Fungua akaunti ya uwekezaji (BOT CDS ): Ili kufungua akaunti hii mwekezaji anatakiwa aambatanishe vitu vifuatavyo. a. Picha 3 za passport b. Copy ya TIN certificate c. Copy ya kitambulisho...
1 Reactions
14 Replies
857 Views
Habarini WanaJF, Nina mtaji wa laki moja na elfu hamsini nataka niagize bidhaa KUTOKA CHINA. Je, ni bidhaa gani nikiagiza itanipa at least faida ya nusu ya mtaji wangu? Napokea ushauri wenu...
9 Reactions
60 Replies
6K Views
PATA ELIMU KIDOGO KUHUSU NMB & CRDB MAKATO Maswali ya msingi kabla sijakuelezea makato a) Kipi Bora kutoa hela kupitia kwa Wakala, ATM au Ndani ya benk (Over the counter)? a) Kipi Bora kuangalia...
47 Reactions
84 Replies
15K Views
Wakuu nahitaji nikopeshwe kwenye haya makampuni ya online,nimedownload app kadhaa na kuomba najaza taarifa zooote muhimu mwishowe naambiwa nisubiri baada ya nusu saa ntajibiwa halafu inakuwa...
0 Reactions
8 Replies
688 Views
“One thing very good traders have is insight into themselves.” - Chris Tate FUN AND GAMES Recently Louise Bedford and I have been doing the Short Term Trading Magic seminars in a few places...
2 Reactions
2 Replies
588 Views
Hellow .... Wapendwa, Najua kutafuta wateja siyo kazi rahisi hasa kwa mtu ambaye anafanya online business...... Mnatumia mbinu gani kupata wateja wapya? Mnatumia njia gani kupata wateja wa...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Habarini Jamani, Wafanyabiashara wenzangu vp hali ya biashara huko kwenu ikoje, mzunguko ukoje. Mimi naona tangu mwezi huu wa nane Mambo yamekua magumu sana, vp kwenu huko.
3 Reactions
29 Replies
916 Views
Please kama unawiwa urafiki wa faida wa kufundishana na kuelekezana kuhusu uwekezaji kwene mifuko na bondi kama UTT jitokeze. Ingependeza uwe unajua viytu kuliko nijuavyo mm. mi ndo naanza...
4 Reactions
18 Replies
544 Views
Wakuu msaada hapa naisikia sana hii lakini sielewi maana. Nipeni ABC
1 Reactions
0 Replies
296 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…