Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Jamani naomba msaada wa kujua online traderrs kama Alibaba, Kikuu na zinginezo, je kuna mtu ameshawahi fanya kununua bidhaa yoyote na je ni kweli zinafanya kazi kwa uaminifu maana kuna kitu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimekuwa mfatiliaji sana , wa mafunzo ya ujasiriamali. Watu wengi wanajiunga wanasoma na kuhitimu wanapokuja kwenye uhalisia wa kuingia kazini sehemu kubwa wanafeli. Wanaanza vizuri wiki mbili...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Ili treni yetu ya kutoka dar kwenda Moshi iwe na tija, nashauri ikarabatiwe angalao ifikie kiwango cha kutembea masaa 10 tu. Tofauti na hapo watu wataachana na usafiri huo mapema sana. Angalao...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwaka 2020 ndo huu hapa. Achana na ya 2019. Umepiga hatua kubwa sana mpaka kufikia siku ya leo ukiwa mwenye siha njema. Kama umefanikiwa kuuona mwaka mpya basi ujue kwamba ulifanikiwa kula...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari za wakati huu; Leo natoka nizungumzie hofu na nafasi yake katika mafanikio.Sitaki kueleza maana ya mafanikio ingawa najua kabisa kwa wengi wetu kuna picha zinakuja kwenye akili zetu ambazo...
7 Reactions
11 Replies
1K Views
Habarini za Leo wanajumuia? Naombeni mwenye uelewa wa njia rahisi na nafuu kwenye ujenzi wa ghala la kuhifadhia nafaka. Ningependa ushauri wa kuhusiana na vipimo, materials za ujenzi Kati ya...
0 Reactions
13 Replies
8K Views
Tanzania recently established the Nyerere National Park, the largest national park in Africa. Nyerere is part of what is known as the Selous Game Reserve and covers an area of over 11,000 square...
0 Reactions
5 Replies
939 Views
Je, ninapouza bidhaa kwa mfano simu au laptpop, nitatoa risiti ambayo atapewa mteja, je mteja bei ninayomtajia mteja niunganishe na VAT humohumo au wadau mnafanyaje?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
habar Hii ni ya kweli nitaondoa baadhi ya vitu ili iwe fupi kidogo Mwaka 2005 niliajiliwa kampuni X kama kibarua mwaka 2007 niacha kazi kampuni X na kuenda kampuni N Hii yote nikutafuta...
25 Reactions
61 Replies
10K Views
Habari wana JF! Naomba kuuliza kwa anayefahamu kuhusu hawa jamaa wa Kikuu Tanzania. Ni application ya kuugiza vitu online. Ukiagiza unapaswa ulipe kwanza wewe, lakini kinachonishangaza ni kwamba...
1 Reactions
42 Replies
15K Views
Habari za humu wakuu, naomba msaada kujua ni wapi naweza kwenda kubadili fedha (dola) za zamani, yaani za miaka ya 90. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimekuwa wakala wa M-Pesa, Tigopesa nk kwa zaidi ya miaka 5. Tatizo ni kuwa till yangu ya M-Pesa inatumia jina la mtu mwingine na hii umekuwa ikiniingizia zaidi ya laki nne kila mwezi. Tatizo ni...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wanajamvi shikamon wote kwa moyo mkunjufu. Naomba kwenda kwenye swali langu kama ambavyo kwenye heading linajieleza, naomba kuuliza anaejuwa taratibu za BRELA baada mtu kumaliza kazi yote ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani hivi wanaoleta mizigo kutoka China wanauza kwa mfumo gani? Jumla, rejareja au vipi? Na je kama jumla masoko wanapataje? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
965 Views
Wakuu, Kuna jamaa angu mhaya kachukua kamkopo bank kama 10m Hivi, sasa naona ameanza kujiita milionea. Hivi 10m inaweza mfanya mtu awe milionea kweli?
5 Reactions
82 Replies
12K Views
1. Financial services 2. Technology 3. Healthcare 4. Real Estate 5. Education 6. Entertainment 7. Transportation 8. Energy 9. Food
11 Reactions
43 Replies
4K Views
Kama umeaminiwa na kukabidhiwa kitengo cha fedha, nguzo kuu ya kuthibitisha proffesionalism ni kuandaa ripoti ya fedha kwa wakati. Muda wowote Line Manager wako anapotaka kujua status ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Unakuta toleo la mwaka huohuo lakini bei imeshuka sana tofauti na iphone
2 Reactions
58 Replies
9K Views
Habari ndungu zangu, Naomba mnisaidie nina laini zangu za uwakala lakini sio kwa jina langu, je inawezekana nikapiga fingerprint na kuepuka kufungiwa? Naombeni msaada wenu jamaa Sent using...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…