Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kwenye biashara tuna waza mambo mengi sana hasa Mitaji,maeneo,wafanyakazi,bidhaa,nk Lakini watu wengi sana huwa tunasahau jambo 1 kujua aina gani ya wateja unawahitaji katika biashara yako...
17 Reactions
10 Replies
923 Views
Nimeona huko TCRA wanaomba maoni ya wanachi kwenye kupitisha kibali cha Starlink kufanya kazi Tanzania Ipi sababu ya kufanya hivi na Je, hii haiwezi ikawa njia ya kuja kuikataa Starlink na...
7 Reactions
38 Replies
1K Views
Habari za leo wakuu, Mimi ni kijana wenu mhangaikaji. Leseni yangu ya biashara ya hardware imefikia ukomo, na nilihitaji kuirudia kupitia Tausi Portal. Changamoto niliyonayo ni kuwa sioni sehemu...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Napasua kwenye mshono!! Mwenye genge kama hili akiwa eneo zuri lenye mzunguko wa pesa anaweza akawa na kipato kizuri kuliki watumishi wengi wa umma!
22 Reactions
53 Replies
2K Views
Package ina -1 Glucometer (mashine ya kupima sukari) -25 testing strips Bei : 35,000/= Testing Strips (50) Bei: 20,000/= Tupo TANZANITE PHARMACY - Tabata Aroma Mawasiliano 0653776099...
1 Reactions
4 Replies
308 Views
Naomba kujua masoko ya maziwa ya ng'ombe Kwa masoko ya Dar es Salaam. Hasa Kwa wanunuzi wakubwa wenye uwezo wa kununua litre kuanzia 1000
0 Reactions
1 Replies
376 Views
Wakuu nataka kufanya biashara ya kuuza protein powder suppliments kama Mass gainer, amino core etc naomba kujua wapi nitapata hizi suppliments kwa bei nafuu kwa ajili ya kuuza? Anayejua hili...
2 Reactions
14 Replies
457 Views
Wanabodi.. Heshima mbele! Moja kwa moja kwenye msada, kuna 10M iko mahali, nawaza niiweke wapi kati ya kununua bodaboda nne niwape watu wakuleta hesabu kwa siku/ week ama nifungue duka ambalo...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habarini wakuu,nipo Mkoani huku na baada ya kuhangaika sana kutafuta biashara kwa ajili ya kipato cha ziada. Nimegundua kua biashara ya rasta za wadada inatoka sana,ninaomba mwenye abc juu ya...
0 Reactions
12 Replies
10K Views
Kwanza kabisa nakubaliana kuwa maisha hayana kanuni kwenye kuyaishi. Kila mmoja ana njia zake za kujipatia kipato ili mradi ni halali. Pia kila mmoja ana tafsiri yake ya utajiri na umaskini. Kwa...
21 Reactions
60 Replies
2K Views
njoo na 350,000 tu chap ngoma nzima na uzima wake Ram 8 GB 265 5000 mAh 5G Wireless charge nk 0674793564
0 Reactions
5 Replies
218 Views
Hivi karibuni mara kadhaa ninavyokuwa napokea pesa nyingi kutoka Bank (zile ambazo sio sealed) nikifika ofisini nakuta kuna pisi zinakua zinapungua Mwanzo nilikuwa nikipata changamoto hii kwenye...
14 Reactions
23 Replies
1K Views
Fursa ya Kushirikiana kwa Kuunganisha Bidhaa Zako na Masoko ya Kimataifa Je, unayo bidhaa nzuri au mtandao wa bidhaa ambao ungependa kufikisha kwenye masoko ya kimataifa lakini unakosa wateja wa...
1 Reactions
1 Replies
220 Views
1. Night Club 2. Baa 3. Mabasi ya mikoani 4. Kumbi za kukodisha
12 Reactions
82 Replies
3K Views
Natafuta wateja wanaohitaji Asali mbichi jumla na rejareja ninayo namba 0617 623662
0 Reactions
6 Replies
419 Views
Habari Wana JF Naomba msaada wa mawasiliano au connection sehemu wanapouza nywele za rasta kwa bei ya jumla.Kuna baadhi ya nywele hizo za kusukia za rasta kama kampuni ya darling , prima na...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Benki ya CRDB Yafanya Mapinduzi Makubwa Sekta ya Fedha Nchini. SIMU.TV: Benki ya CRDB nchini Tanzania, yajivunia kutokana na mapinduzi waliyoyafanya katika sekta ya fedha kwa kuwafikia watanzania...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Mojawapo ya dhana ya msingi katika biashara hususani upande wa masoko ni kwamba; bidhaa au huduma inapitia hatua tofauti tofauti tangu inapoanzishwa kwa mara ya kwanza hadi inapoondolewa kwenye...
2 Reactions
2 Replies
183 Views
Dar es Salaam, Benki ya Biashara Tanzania (TCB), yazindua bidhaa ya LIPA POPOTE ili kurahisisha miamala kwa wajasiriamali wadogo na wa kati (SMEs) na wamiliki wa biashara Benki ya Biashara...
0 Reactions
0 Replies
277 Views
Habarini wana jamii forums, Hope everyone is excited as I am! ni matumaini yangu wote tu buheri wa afya ya mwili na akili. Kwanza kabisa Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa Mwenyezi Mungu...
26 Reactions
31 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…