Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Vodacom Tanzania na Benki ya TCB wameujulisha umma na wateja Vodacom Tanzania na Benki ya TCB wameujulisha umma na wateja wao kwamba ujumbe wa hivi karibuni kwenye mitandao ya kijamii unaodai...
1 Reactions
0 Replies
764 Views
Wakuu nadhani mtakuwa wazima Afya . Ndugu zanguni nimekuja na ombi langu kwenu,na siku zote jamii forum ni sehemu imejaa waungwana kweli kweli. Ombi langu ni kufahamishwa chimbo la vifaa...
2 Reactions
1 Replies
217 Views
Habari Wakuu! Sio kila mtu kwake mtaji ni tatizo, wengi wetu tuna pesa ndefu kiasi tu kwenye Acc, (20M+50M). Personal, nilipanga kuanza kuwekeza kwenye biashara kwa Capital ya 30M, ambapo...
32 Reactions
112 Replies
21K Views
Licha ya mafanikio yao makubwa katika muziki, wasanii wa Bongo wamekuwa wakipiga hela kupitia biashara na miradi tofauti nje ya muziki: 1. Diamond Platnumz – Mbali na muziki, Diamond amejikita...
3 Reactions
50 Replies
3K Views
Wapendwa nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano, Naomba msaada wenu ndugu zangu , nimebahatika kuuza kaeneo kangu nikapata 10M. Sasa natamani kuizalisha kupitia bidhaa zinazotoka China...
7 Reactions
40 Replies
4K Views
Natumaini ni wazima wote nipo mbele yenu natafuta washing machine 4.5kg ya laki moja ambaye anayo ani pm tufanye biashara nipo Dar es salaam
4 Reactions
18 Replies
542 Views
Nina hicho kiasi. Kichwani kwangu nina mawazo haya ya biashara lakini nasita ipi hasa na hizi zote nimezipata humu humu na kulingana na mazingira yangu. 1. Saloon na kuingiza movies na nyimbo. 2...
13 Reactions
158 Replies
7K Views
Wakuu nataka niache aibu nianze kuuza moyai mjini. Trei 1 ni 6500. Nikiyachemsha na kuyauza kila trey napata 15000, tuseme kuanzia asubuhi hadi jioni nikauza trey nne, nitakuwa na faida ya Tsh...
20 Reactions
43 Replies
2K Views
Songea. Mfanyabiashara wa usafirishaji mkoani Ruvuma, Jaribun Jaribun ameitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuacha kujisifia kukusanya Sh12 bilioni kwa mwaka mkoani Ruvuma akidai wanaumizwa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za wakati huu, Ni matumaini yangu kwamba unaposoma uzi huu unatamani kuanzisha biashara yako mwenye.Katika kuandika uzi huu nimefanya assumption kadhaa ikiwamo kwamba wewe unajua kusoma na...
25 Reactions
49 Replies
18K Views
Kwa wale wenye makampuni ya kuchimba visima Tabora, naomba kujua gharama za kusurvey na kuchima kisima maeneo ya Sikonge Tabora
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu, nimejiajiri kwenye biashara ndogo ndogo Mwenye picha au wazo, jinsi ya kutengeneza hiyo baiskeli yenye uwezo wa kubeba bidhaa kama; Miwa, fenesi, madafu na matunda mengine Naombeni...
3 Reactions
11 Replies
342 Views
Habarini nina shida na MRDT tests mwenye nazo anicheki idadi yoyote nachukua hata zikiwa box 200! Check me 0672473087
2 Reactions
12 Replies
463 Views
Habari za wakati huu; Ni muda mrefu sana sijaweka andiko katika Jukwaa letu hili pendwa ambalo lina wachangiaji wachache.Nikiri tu kwamba ni kwa sababu mbalimbali sijaweza kuweka andiko hapa haswa...
13 Reactions
7 Replies
738 Views
Habari za mapambano wanajamvi kama mada ilivyo hapo juuu. Nimekuwa nafanya biashara ya mazao (mahindi, maharage,mpunga,alizeti) kwa mda wa miaka zaidi mitatu yaaani mimi natafuta mzigo vijijini...
2 Reactions
7 Replies
693 Views
Nahitaji mashine ya kusaga na KUKOBOA UNGA WA SEMBE , mashine iwe na uwezo wa kusaga na KUKOBOA Tani 30 Kwa Siku.
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Natumai mu wazima wa afya vipenzi. Naomba kujuzwa ni App gan nzuri kwaajiri ya betting.
0 Reactions
8 Replies
983 Views
Tunatengeneza car parking shade za kisasa kwa bei nafuu
1 Reactions
4 Replies
306 Views
Habari wadau Nataka kuanza mpango wa muda mrefu kuhifadhi pesa.Nimechagua kuhifadhi kidigitali yaani huduma za kifedha kwenye laini ya simu au benki. Sasa tatizo naogopa kujibiwa maana naamini...
7 Reactions
21 Replies
665 Views
Nifanye biashara gani itakayoweza kuniingizia faida ya 3M kwa mwezi. Naombeni ushauri
7 Reactions
42 Replies
2K Views
Back
Top Bottom