Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Nitajie vitu ambavyo unaweza kuviuza kwa kutembeza na havipatikani ovyo ovyo mitaani ambavyo ni adimu kwa mfano labda asali.
3 Reactions
9 Replies
437 Views
Kukata au kupunguza matumizi katika maeneo kadhaa ni mkakati muhimu ambao utakusaidia kuwa na ziada ya pesa kwa ajili ya matumizi mengine muhimu ya kimaendeleo. Tunaangazia maeneo 10 ambayo...
13 Reactions
17 Replies
1K Views
Googe Maps ikionesha ukuaji kiuchumi wa jamaa kuanzia 2007 huko marekani.
1 Reactions
2 Replies
298 Views
Wakuu habari Nataka nimfungulie biashara mdogo wangu nikamuuliza kwanza biashara gani amefikilia kuifanya kwa mtaji wa chini ya 500,000 kaniambia kuuza ndizi mzuzu ,Yani anaenda kuchukua mizogo...
3 Reactions
9 Replies
660 Views
Salaamu wanajamii, napenda kuuliza hivi huu mkopo wa hazina huchukua muda gani mpaka kuingia kwenye account kama ushamaliza process zote za mkopo? Sababu tangazo tangu limetoka ni mwezi wa 11...
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Wakuu tushirikishane basi hizo biashara au madili ya biashara za kuingizia kiwango hiko cha faida kwa muda tajwa, hivi kweli zipo na kama zipo tushirikishane. Mambo ya kufanya biashara kwa mazoea...
19 Reactions
211 Replies
26K Views
Habari rafiki? Kesho tarehe 11/05/2017 ndiyo mwisho wa kununua hisa za vodacom kwenye soko la awali. Wakati tunaelekea mwisho kabisa wa zoezi hilo, nimeandaa mwongozo huu mfupi kuhusu UWEKEZAJI...
5 Reactions
18 Replies
7K Views
Kila mtu anawaza pesa, kila mtu kichwa chake ina picha ya mafanikio na asilimi 90% ya hawa watu wote wanaowaza pesa na mafanikio na maisha mazuri hufikiri pesa inapatikana kwa kufanya biashara tu...
149 Reactions
282 Replies
58K Views
Mnamo mwezi wa nane mwishoni nilifungua biashara ya kuuza kuku Wa kukaanga pamoja na viungo vyake. Wakati nimeanza mauzo yalikuwa hafifu ikawa hata elfu 5 haifiki ya mauzo, ndo nikaja na Uzi wa...
24 Reactions
91 Replies
5K Views
Ndugu zangu hapa nilipo na mtaji wa laki saba na nipo Arusha. Nilikuwa na wazo la kufungua biashara ya internet cafe ila nikiangalia kwa biashara hii mtaji ni mdogo. Nilikuwa naomba wazo la...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Men who become genuinely There’s a common misconception that success is just for the young guns, but nothing could be further from the truth. Men who achieve genuine success in their 50s and...
12 Reactions
14 Replies
1K Views
MIKOPO YA ASILIMIA 10 KUANZA KUTOLEWA KABLA NOVEMBA 30, 2024. Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Dkt Festo Dugange amesema mikopo ya Halmashauri ya asilimia 10...
0 Reactions
7 Replies
871 Views
Wakuu, habari za kazi? Samahani kwa usumbufu. Nina biashara ndogo ya vifaa vya simu (phone accessories), lakini ninahitaji kuongeza mtaji ili niweze kuagiza mzigo mwenyewe kutoka China na kuuza...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Mara kadhaa kabla ya ununuzi wa simu imesababisha watu wengi kuamini kuwa RAM kubwa zaidi kama 3GB, 4GB, 8GB na 12GB ndio suluhisho kuu la kuboresha utendaji wa simu. Ingawa bila shaka ni muhimu...
2 Reactions
8 Replies
4K Views
Kuna biashara zinaonekana ndogo lakini kipato chake kimechangamka 1. Miwa- hii inalipa sana 2. Karanga 3. Kahawa- faida X2 4. Fenesi- k/koo&sinza, Niongezeeni nyingine, nahitaji kutoa ajira kwa...
6 Reactions
8 Replies
712 Views
Soko limekaa vipi kwa jiji la Dar? Mabonge ya barafu kwa wauza maji wauza samaki n.k. Kuna jamaa anataka kufunga machine za kufyatulia barafu.
2 Reactions
7 Replies
523 Views
Licha ya kuwa tupo katika ukingo wa bahari lakini magari yapo bei juu sana kiasi kwamba gari za zamani wengi ndo tunatamba nazo
3 Reactions
8 Replies
226 Views
Kwenye biashara iwe ni service provider au manufacturer kuna kujenga brand name lakini pia kuna logo ambayo kazi yake kubwa ni kuitambulisha brand yenyewe. Logo ni sehemu muhimu ya kutangaza...
20 Reactions
40 Replies
2K Views
Mimi ni mtumishi wa Umma wa kawaida. Ndoto yangu ni kumiliki shell kituo cha kuuza mafuta eneo ninalokaa mtaji wa mafuta ni mkubwa na sheli ni moja na kuna wakati anaishiwa mafuta hata kwa week 2...
4 Reactions
19 Replies
10K Views
Samahani aisee wadau kwa yeyote anae jua bei ya vitunguu SINGIDA anijuze ...nahitaji gunia kama ishirini namba angu 0710686877
0 Reactions
3 Replies
489 Views
Back
Top Bottom