Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kama una biashara ndogo, na ukaifanya kwa ukubwa itakulipa. Kama una biashara ya kuchoma na kuuza mahindi, unatakiwa uongeze ukubwa kwa kuongeza kijiwe kingine na si kukiboresha kile cha mwanzo...
7 Reactions
17 Replies
766 Views
Wakuu habarin! Nimejitaidi kufanya kazi kwa muda mrefu Sana mpaka nikafanikiwa kukusanya kiasi cha Million 2 ila nimeshidwa nifanye biashara gani. Wakuu mwenye wazo la biashara naomba anisadie...
11 Reactions
71 Replies
7K Views
Ama kweli hali ni ngumu duniani kote. Si tu kwa nchi yetu Tanzania, hata dunia kwa ujumla Shida sio faini waliotandikwa google, tatizo limeanzia kwenye Pato la Taifa la Dunia
1 Reactions
4 Replies
161 Views
Habar......,!! Sisi ni Mkandarasi kwa upande wa Umeme na mitambo(Mechanical). Pia nina fanya Biashara za kuuza na kununua Generator and Air compressor pamoja na Spare part zake. Nina Generator...
1 Reactions
4 Replies
232 Views
Wakuu nahitaji ushauri. Ni muda mrefu nina ndoto ya kufungua biashara ya vifaa vya simu. Ila changamoto nakosa mtaji na sijajua kiasi gani kinaweza kufaa kuanzisha hii biashara. So wajuzi wa...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Kumradhi Ndugu yangu. Nawaza kuanzisha biashara ila sijafikia muafaka mawazo yangu. Sijazaliwa kwenye familia yenye umaridadi sana na biashara, ila hii haimanishi kwamba siwezi kufanya biashara...
13 Reactions
120 Replies
3K Views
Watu wanaotumia mfumo wa TAUSI PORTAL kuomba leseni na huduma mbalimbali wamekwama. Hakuna huduma inayotolewa kwenye mfumo. Tamisemi mnakosa mapato, shida ni nini. Watu wana wiki 2 wanahangaika...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habarini wakuu, Naitwa Richard Mashauri Nimesoma degree ya uhasibu na teknolojia, nimejitahidi pambana kitaa na kazi mbalimbali ikiwemo ufreelancer azam pesa pamoja na kusupply mitungi ya gesi ila...
3 Reactions
8 Replies
252 Views
Tunahitaji kusajili kampuni tuiite ABC INC tukiwa na maana ya ABC INCORPORATED sasa swali ni je pale BRELA usajili huu utakubalika? Au ni mpaka kuwe na Limited mwishoni? Swali 2: Ikiwa ABC...
1 Reactions
6 Replies
499 Views
Habari wanajamvi, Natumaini sote tunaendelea vizuri na Mungu ametuwezesha kufika hapa salama. Kuelewa ujuzi wa mawasiliano ni kama kujifunza kuendesha gari. Huwezi tu kuketi kwenye kiti cha...
0 Reactions
0 Replies
199 Views
Wanabodi Makala yangu kwenye Nipashe ya leo Anachofanya Rais Samia na serikali yake, kutenga asilimia fulani ya fedha za kila halmashauri, na kuzitoa kama mkopo nafuu usio na riba kwa wikundi vya...
4 Reactions
8 Replies
361 Views
Inasikitisha kuona office nyingi ziko Dar pekee wasafirishaji kama dhl, sailenti osheni n.k hawana office baadhi ya mikoa vile vile mikoa waliyopo Wana gharama kubwa sana!, anyway watu wa mikoani...
0 Reactions
0 Replies
237 Views
FAIDA KUU TATU ZA KUMILIKI WEBSITE AU TOVUTI Dunia ya sasa ya technolojia ambayo kwa sasa biashara muhimu zinafanyika mtandaoni , watu wengi wamekuwa wakimiliki website bila kujua faida...
1 Reactions
0 Replies
269 Views
Fursa za kiuchumi mkoa wa Mbeya Habari wakuu... Nimepangiwa Internship apo Hospital ya mkoa wa Mbeya, naomba kujua fursa ambayo zipo mkoa wa Mbeya naweza kuzifanya huku niki endelea na internship...
1 Reactions
0 Replies
330 Views
Habarini wana jamvi, Ningependa kufahamu kama kuna suala la kukatwa kodi na TRA pale unapoagiza mzigo toka Ebay au Amazon, mizigo kama simu, nguo, perfumes N.K, nitashukuru sana kwa msaada wenu...
2 Reactions
34 Replies
12K Views
Ilikuwa ni mwezi wa sita nilichukua balo la mizura niuze kipindi cha baridi, aisee nilikuta mizura yote ni ya father christmas. Yaani yote ni aina moja father christmas, na biashara ikaishia...
26 Reactions
34 Replies
1K Views
Chuo tukisoma business administration , unapewa format ya kuandaa business plan ambayo robo ya muongozo unajikuta unashindwa kundana nao. Lakini ukiingia sasa elimu ya kimtaani taani (iite...
6 Reactions
23 Replies
893 Views
WATU WENGI WAMEFERI MAISHA KWA KUSIKILIZA USHAURI WA WALIOFERI MAISHA KWA KUSOMA HUU UJUMBE MFUPI NI BAHATI KWAKO KAMA UNAHITAJI KUFAULU MAISHA NISIKILIZE MIMI NILIEFAULU MIMI NIMEFANIKIWA...
0 Reactions
2 Replies
249 Views
Wakuu habari za muda huu ,hope mko poa walio wagonjwa ,wenye huzuni Mwenyezi Mungu awasaidie Hivi karibuni nilipata kazi katika kampuni inayojishughulisha na mikopo mkoa (X) as a guest kwenye...
1 Reactions
5 Replies
322 Views
" Tajiri Mohammed Dewji anaonekana kuwa mfanyabiashara mwenye bidii sana. Kazi yake ya kusimamia kampuni zaidi ya 40 inampelekea kuwa na ratiba inayohitaji uwiano na bidii. Asubuhi, anajitahidi...
1 Reactions
6 Replies
417 Views
Back
Top Bottom