Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

WAFANYABIASHARA DODOMA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA UJENZI WA MACHINGA COMPLEX ▪️Jiji kujenga sakafu kupunguza nguvu ▪️Mbunge Mavunde awachangia 10m kutunisha mfuko wa Soko ▪️Awataka Mgambo wa...
0 Reactions
0 Replies
191 Views
MWEKEZAJI Ni mtu Gani ? Ni mtu anayeenda hatua moja mbele ya Mfanyabiashara Hapa sifa mojawapo ni kuwa na pesa au mkondo wa kuingiza fedha Mfano Mimi Nina uwanja sehemu ya soko na Sina uwezo wa...
0 Reactions
1 Replies
190 Views
Habari wadau!, Naomba mtu mwenye uzoefu katika biashara ya cake accessories (vifaa vya kutengenezea keki (isipokua oven), mapambo ya keki, mabox, ingridients za keki, n.k) anisaidie kunipa...
1 Reactions
1 Replies
287 Views
Habari wana JF, sitotaka kufanya uzi huu uwe mrefu sana; najaribu kufupisha ili nisikuchoshe wewe utakaechukua muda wako kusoma. Hakuna biashara utakayoanza leo ambayo haijawahi kufanywa; naamini...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Je, ni biashara gani unayo weza fanya yenye uwezo wa kuingiza milion 300 kwa mwaka kwa kutumia mtaji wa bilion 1?
18 Reactions
177 Replies
14K Views
Kuna ubaya wowote kununua nyumba ya jirani inayopigwa mnada na bank baada ya kushindwa kulipa mkopo? Haitaleta uhasama?
17 Reactions
71 Replies
2K Views
Nina wazo la kuanza kufanya biashara ya yeboyebo ninaomba msaada wenu wadau kwa anaejua machimbo na namna gani nifanye hii biashara nifanikiwe. Pia niwe na mtaji kiasi gani ili kufanikiwa katika...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Habari wadau. Leo ninapenda tujadili biashara zilizopo ndani ya tukio la harusi. Send off, kitchen party na sherehe zinginezo. Mtu ukijiongeza na ukajua kucheza na tukio la harusi za watu. Kila...
13 Reactions
46 Replies
3K Views
Wakuu, Nilinunua charger simu na cover la simu kutoka aliexpress, covers zinaonyesha zipo nchini tayari, lakini charger inaonyesha delivery wakati mimi wala sijaipokea, nimechat na muuzaji...
5 Reactions
61 Replies
2K Views
KIKWAZO KIKUU CHA KUTOFANIKIWA NI HIKI. Kwenye jamii yoyote ile, asilimia 10 ndiyo wenye mafanikio huku asilimia 90 wakiwa hawajafanikiwa. Na zaidi, asilimia 1 wana mafanikio makubwa kuliko...
14 Reactions
10 Replies
2K Views
Habarini wandugu! Nataka kuanza biashara ya uwakala wa mitandao ya simu yaani Tigo Pesa, M_Pesa, Halopesa nk. Nahitaji muongozo wa vigezo vya kuwa wakala na mapato yapoje? Nawasilisha
2 Reactions
38 Replies
33K Views
Habari wadau wa uwekezaji katika UTT AMIS, Nimefanikiwa leo kujiunga na mifuko miwili yaani UMOJA FUND na LIQUID FUND kwa njia ya simu na nimeanza kuwekeza kwa kununua vipande. Kipindi...
14 Reactions
62 Replies
4K Views
Tanzania yafanya vibaya katika mitaji ya uwekezaji Mwandishi Wetu TANZANIA imetajwa kufanya vibaya katika mitaji ya uwekezaji moja kwa moja (FDI) huku ikiacha maswali baada ya sekta ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habarii ndugu zangu Wanajf, Mimi ni mwajiriwa wa serikali japo bado sijathibitishwa kazini,ila nimepataa changamoto ambayo inahitaji kama 2M Hivi kuweza kuitatua. Je? Ninaweza kupata mkopo NMB...
3 Reactions
8 Replies
434 Views
PayPal kuna changamoto ya kupokea na ku-withdraw pesa nchini Tanzania. Kuna features huzioni kule PayPal kama ukifungulia account Tanzania, hivyo kufanya ugumu kwa mtu kulipwa pesa kutoka nje. Hii...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Kuna fedha natakiwa kui withdraw kwenye moja ya site za malipo online, ambapo option yake kuu ya ku withdraw ni kupitia Paypal account. Imekuwa ni kikwazo kikubwa kwangu, maana nimejaribu...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari za Muda huu mwanakitaa/ mwana jf, mpambanaji Ningependa nikufunue macho kidogoo. Je unajua makampuni mengi makubwa yalianza kushika soko wakati uchumi ume yumba (Always Opportunity in...
1 Reactions
1 Replies
185 Views
Tembelea maduka 15 katika mtaa wako na mtaa wa jirani; angalia bidhaa zilizopo katika hayo maduka. Jiulize, wewe unaweza kuwapelekea bidhaa gani iwe sehemu za bidhaa zinazoonekana kwenye hayo...
2 Reactions
22 Replies
522 Views
Na kalaga baho Nongwa Wazee sina neno kubwa leo, nimekumbuka sana uwepo wa advanced marginalised Community nchini. Niliwah kuandika habari zao humu ndani kwamba, hao watu wametokea katika makalio...
3 Reactions
9 Replies
343 Views
Back
Top Bottom