Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kuna jamaa yangu aliniambia kuna biashara nzuri nataka nikuunganishe upate hela bila kutumia nguvu nyingi, na wala hutumii ela nyingi, Nikimuuliza biashara gani hasemi, siku akaniambia kama una...
2 Reactions
42 Replies
6K Views
Amani iwe kwenu wana JF, Nmewaza sanaa kwa nini TRA isiwape nafuu wafanyabiashara wanaoagiza mizigo nje baada ya makadirio ya kodi wapewa nafasi ya kulipa kwa awamu au unapewa muda hata miezi...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Nataka ninunue ka laptop kadogo used naomba kuuliza nizingatie nini ili nijue ni nzima? Na pia kama kuna mdau anayo tuwasiliane!.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Naombeni kufahamu taratibu zote za mtu kumiliki kampuni ya sport betting. Nadhani ni fursa kwa sasa. Nitafurahii kusikia kutoka kwenu. Ahsanteni.
0 Reactions
35 Replies
18K Views
Nimekuwa mdau sana wa kufanya biashara kupitia mtandao na njia yangu kubwa ya kuinteract na wateja ni kupitia Whatsapp. Hivi karibuni napata tatizo la kufungiwa (ban) mara kwa mara kutumia...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Hopeful mpo njema wadau. . Hoja yangu au swali langu ni hivi... Kwa mtu mwenye exposure ya uelewa juu ya namna ya mfumo wa ulipaji kwa mawakala wa mitandao ya mawasiliano especially kwa yule...
0 Reactions
0 Replies
862 Views
Habari wanajamvi,kama kuna mtu ana mchele mzuri kwa bei ya jumla tuwasiliane nauhitaji kwaajili ya kuuza kwa rejareja katika fremu .napatikana morogoro mjini Asanteni
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wadau,kama kuna anayefahamu fremu nzuri ambayo unaweza kuweka duka la rejareja ,nafaka pamoja na bidhaa zingine ndogo tuwasiliane kwa bei ya 60-80 kwa mwezi iwe eneo karibu na makazi ya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari wana jamii forum!!! Samaha mimi nina mkopo katika kampuni la Faidika nataka kuhamishia NMB.... na nimekwenda FAIDIKA wanipe balance wananizungusha tu . Naomba msaada nifanye nini kwa wale...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Katika pita pita zangu huku whatsapp kuna mtu aka share hii company ya DIAMOND TRADERS INVESTMENT PROGRAM nikamfuata akanipa namba za mwenyekiti wa hiyo company ambapo una wekeza kiasi fulani...
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Mm ni mwalimu npo mbeya mjini na mshahara wang kwa sasa take hom ni kama 350 iv, nataka kukopoa NMB kiasi tajwa kwa ajili ya kufungua kibanda cha mahitaji ya kawaida ya majumbani, location...
3 Reactions
160 Replies
19K Views
Watanzania, baada ya kuhangaika kutafuta ajira na kushindwa, nimeamua kuanzisha biashara ya M-Pesa.Tafadhali mwenye uzoefu na hii biashara naomba anifahamishe yafuatayo: 1.Mtaji wa kuanzia 2...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Habari za wakati huu, Napenda kuwapa njia bora ya kuongeza thamani wa bidhaa na mvuto kwa wateja hasa bidhaa za kufungasha. Hapa njia nayozungumzia ni kuweka lebo, najua wengi mnaweka lakini...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
*Za kaz wakuu naomba mwenye maelezo yale ya malipo ya kamishen na bonas kwa frelensa za voda,tigo,ttcl, na airtel anitumie* Natanguliza shukuran
0 Reactions
2 Replies
871 Views
Natafuta Business partners, basically iOS developers. I need at least two apps created every month and to be placed on Apple Store. We will help each other as i have JS knowledge, i just started...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Naombeni msaada wenu kwa mwenye uzoefu wa kupokea mizigo kutoka Ali express niliagiza kitu kutoka China leo nimetrack nakuona ujumbe huo je mzigo wangu ndo umeshafika au laa! !na kama tayari...
0 Reactions
2 Replies
844 Views
Jamani kuna watu mpaka leo hii wanaona biashara mtandaoni ni wazo la kusadikika, kuna watu kila kukicha wanatengeneza hela nyingi sana kwa kutumia fursa hii ya bishara mtandaoni. Mfano mdogo tu...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu. Je ni vitu gani muhimu katika kununua gari vya KUZINGATIA Ili nisije kulizwa. Ni mgeni kabisa na ununuzi wa vitu.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jf, Mimi ni dada, elimu yangu ni Bachelor ya Business Administration in Accounting, kwa sasa ni mwajiriwa kwenye kampuni moja kubwa tu hapa Dar kama Payroll Accountant. Mbali na...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wakuu? Naomba niende kwenye hoja ya msingi, Kuna mzigo nimeagiza kutoka china, sasa umekaribia kufika... wakati nafikiria jinsi ya kuutoa bandarini, nikakumbuka kuna kipindi lilitoka...
2 Reactions
11 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…