Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Nani mwenye ujuzi wa solar generator ? Na kwa Tanzania zinapatikana wapi ?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa watu wa Dar es Salaam msaada wanapopatikana wasambazaji wa mbolea za maji folliar fertilizer aina ya vegimax na dawa za wadudu fekoni anijuze
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari member wote naomba kujuzwa kuhusu Motor Hp 30 Je RPM ambayo ni speed yake ni ipi speed inafaaa kuendesha motor ya hp 30 kwani hapo ndio mtihani kwangu nataka kununua na je ipi zinafaaa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habar wakuu! Nahitaji kufanya biashara yani nijiajiri kwani maisha kwangu yamekuwa mtihani, nataka niwe nachukua bidhaa kisha nasambaza kwa mguu tu (free lancer) kwenye maduka. Shida yangu ni je...
0 Reactions
2 Replies
696 Views
Ningetaka kufungua ofisi ya architecture (usanifu). Lakini ninahitaji associates. Tunahitaji kuwa watatu at least. Kila mmoja atashughulika na sekta moja. - wateja - fedha - kujenga - sheria na...
0 Reactions
1 Replies
800 Views
Visit to Like my Page-https://www.facebook.com/Ngurdoto-Shuttle-and-Classic-Tours-107101410671784/?referrer=whatsapp
0 Reactions
0 Replies
764 Views
Nani anajua mji wa Fumba town. Mnajua kama kampuni hiyo inaweza kuaminika au hapana ? Nani ameshanunua nyumba huko ?
1 Reactions
12 Replies
4K Views
VITU VIDOGO VINAVYO KERA NA KUFUKUZA WATEJA AMBAVYO NGUMU SANA KUAMBIWA NA MTEJA Nmekuwa nikifuatilia mara nyingi vitu ambavyo ni vidogo lakini vinafukuza sana wateja endapo mteja akikumbana navyo...
18 Reactions
29 Replies
6K Views
Kuna mdau kani Pm ana lalamika kwamba kila anacho kainzisha kinakufa yaani akianza hiki kinakufa na akianza kile kinakufa. Kwanza kwa Mawazo yangu swala la kufa Biashara ni la kawaida sana make...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa kaz bora na nzir za ujenzi wasiliana nami Call 0754094572
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Na huko katavi nimesikia gunia la mahindi ni 80000 kitu ambacho hata wakulima wa huko huko nao wanashangaa.. Narudia kusema tutashaa..
1 Reactions
54 Replies
4K Views
Wakuu habari zenu, Kutokana na changamoto ya ajira nataka nijikusanye kamtaji kidogo nifungue stationary Mbeya haswa Mbeya Mjini. Naomba mtu yoyote anayejua location ambayo anahisi hii biashara...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Msaada jamani kwa anaefahamu sehemu wanauza chocolate chips (dark/ white) anifahamishe tafadhali
0 Reactions
0 Replies
461 Views
Nimekuwa na biashara ya kufuga kuku wa mayai bahati mbaya nikauguliwa na mzazi nikauza kila kitu kilicho kuwa kinaweza kuuzika nikamuhudumia, hichi kimenifanya nirudi 0 ila namshukuru mungu mzazi...
11 Reactions
146 Replies
19K Views
Mimi ni shabiki mkubwa sana wa kushop online. Mara nyingi ninapohitaji vitu kama nguo, begi hata viatu, naingia zangu mtandaoni nanunua chapchap mambo yanaenda. Juzi kati hapa ndo nikaamini kuwa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wadau tushauriane bidhaa nzuri zinazovutia wateja na kulifanya duka kuwa nadhifu hivyo kuongeza thamani. Kwa maduka ya reja reja ya mtaji wa kati
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Kama kichwa kinavyosema, huu ni uzi wa kupeana mchongo wa namna ya kuwapata wasanii mbalimbali ili kuwatumia katika biashara mfano za kujipromote au kuandaa tamasha. Pia tusaidiane kuunganisha...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Greetings my brothers and sisters! Natumaini mpo vizuri. Kama kawaida nipo hapa ku-share darasa muhimu kabisa kwa lengo lengo moja tu kukusaidia kuboresha life yako hasahasa financially. Kama...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wana JF, naomba kuuliza jambo nisaidiwe, Nina wazo labiashara ambalo ninalo kwa miaka kama 8 sasa(jAPO YAPO NA mENGINE), Kwa Mtaji wa Milioni 250 BIashara Kila siku inaingiza Wastani wa...
2 Reactions
39 Replies
5K Views
Samahani wakuu naomba kupata uelewa kuhusu hii benki (Exim bank), vigezo gani natakiwa kuwa navyo kufungua akaunti, mazuri na mabaya yake kwa upande wa miamala ya fedha lakini pia utunzaji fedha...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Back
Top Bottom