Poleni na majukumu wana JF, Natafuta soko la Limao
Lengo la kuanzisha uzi huu ni kushirikiana na mdau yeyote.
Kama wewe huko ulipo bei inalipa basi tushirikiane na nna uwezo kukusanya tenga moja...
Habari mwana au wana JF, baada ya masomo yangu shahada ya kwanza ya mawasiliano ya umma na uandishi wa habari nimeweza kutoka na utaalam fulani wa kuandika proposals mbalimbali.
Hapa karibuni...
Naamini wapambanaji wenzangu mpo poa!
Naomba kujua wale manguli wa zile kazi za promotion a.k.a Bounty Taskier or Bounty Hunter mnapokutana na mimi nipate kuongeza Bounty Hosts.
Kule Bounty Hub...
Viwanja mita 20 kwa 20 vinauzwa Kisarawe II Kigamboni vimepakana na barabara mpya iliyochongwa toka Kisarawe II kwenda Mwapemba, bei tsh 2,000,000/- tu, simu 0754295159. Unaweza kulipa nusu...
WanaJF natoa shukrani kwa mchango wa kuweza kunipa Elimu ya Mpesa Master Card hatimae nimeweza kufungua na kuinganisha na account ya PayPal
Jana nimenunua Simu aina ya nokia e63, nokia 301...
Wajasiriamali Wenzangu
Naomba msaada wenu, nahitaji kuanza biashara ya kukodisha Mitambo yaani niwe na mitambo yangu niwakodishe watu. Lengo la kuweka uzi huu hapa kwenu nikuomba ushauri wa...
Habari wakuu. Nilikua naomba kuuliza kama kuna yeyote huku anayeuza au anayejua mahali ambapo ningeweza kupata moldi (vibobo) vya kutengeneza ice cream (barafu) nyingi. Inaweza kuwa kubwa au...
amani
iwe nanyi ndugu zangu,namleta kwenu kijana mwingine wa miaka 24 yeye ni
mwl. wa s/m mwl.huyu anatamani kuingia kwny ujasiriamali kutokana na
kipato kidogo,mazingira magumu na adha...
Leo kwenye pita pita zangu mtandaoni, nikakutana na habari ya tajiri mmja wa marekani aitwae Marc Randolph. Huyu ni muasisi wa kampuni wa Netflix, kwa wale wapenzi wa movies na series mnaijua...
Habari zenu wakuu,
Kuna wafugaji kadhaa wapo Kibaha nilianza mazungumzo nao ya kununua maziwa kwao na kuyaleta kuuza Dar na wapo tayari kwa hilo.
Wao wamesema wataniuzia kwa sh 1000 kwa lita...
Biashara nyingi tatizo huwa ni wateja lakini kwa samaki na madini ni tofauti wateja wanakuwepo lakini bei ndio huwa changamoto kushuka na kupanda kuendana na upatikanaji
Biashara ya samaki kwa...
Benki ya Kiislamu yazinduliwa
Send to a friend
Thursday, 24 November 2011 19:30
0digg
Geofrey Nyang'oro
WAFANYABIASHARA wanaofuata misingi ya dini ya Kiislamu...
Habari wadau, nafanya biashara ya ice cream hizi za ubuyu au ukwaju za kufunga. Changamoto ninayoipata kwa sasa niupatikanaji wa vifungashio/ vifuko. Kwa wadau waliopo DSM mwenye kujua mahali...
Wakuu habar zenu, nipo kwenye harakat za mwisho za kufungua biashara ya chips. Tatizo nakosa location muda wa kutafuta location sina nabanwa sana na mambo ya kazi. Naomba msaada kwa mtu anaejua...
Mimi ni kijana ninasoma chuo, (SUA) Bsc Agronomy, nipo Likizo dar kwa sasa sina cha kufanya, sina hela na sina connection wakubwa naombeni ushauri wenu, nawategemea kimawazo, naweza kufanya kitu...
Ningekuwa na mamlaka husika ningechagua mji mmoja ambao ungejengewa miundo mbinu mbalimbali halafu wadau mbalimbali wa sanaa wakapewa motisha ya kuwekeza sehemu hiyo.
Katika mji huo kutakuwa na...
habari zenu wakuu,
Natafuta wateja Wa jumla Wa dagaa wakavu kutoka mwanza nasambaza mikoa mbali mbali nauza kwa keshi nakukabidhi mzigo unanikabidhi pesa karibun Sana.