Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

1. M. Graham 1/2 ounce tube 2. Winsor & Newton cotman 3. Sennelier la petite acquarelle 4. Daniel Smith 285610005 extra fine essentials 5. Holbein Wc W40 set of 24 5ml 6. M. Graham GRM 33- 10 set...
0 Reactions
1 Replies
642 Views
MAFANIKIO ya haraka ya Soko Kuu la Kimataifa la Dhahabu Geita ambalo ni la mfano katika nchi za Afrika Mashariki na Kati, yamezivutia nchi za nje ambazo tayari zimeomba kulitumia soko hilo kuuza...
3 Reactions
39 Replies
4K Views
Katika mihangaiko yetu ya kujikwamua kiuchumi hatimae nimeingia kwenye mikono ya mikopo ambayo kimsingi hali ya uchumi ilivyo haikwepeki. Bahati nzuri repayments zinafanyika vyema ila mwezi huu...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Habari zenu wadau wa jukwaa Hili. Siku za karibuni nataka nifungue Saluni ya kiume(Barber shop) kwa ajili ya kuweka usafi wa mwili kwa wanaume na wanawake. Sasa Kama unavyojua Biashara yoyote...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Biashara 3 bora za kufanya ktk kipindi hiki cha mpito.(mdororo wa kiuchumi) 1.Fanya biashara inayohusiana na afya ya binadamu. 2.Fanya biashat a inayohusiana na vyakula vya binadamu...
8 Reactions
64 Replies
15K Views
Napenda kumpongeza Kalito wa Samaki Samaki kwa ubunifu mkubwa anaouonesha kwenye biashara zake. Kuanzia mapambo, mpaka huduma. Weekend hii nilikuwa kwenye moja ya viwanja vyake pale masaki...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nataka nijiunge hii benki ila kuna tetesi nasikia kwamba ikiwa account yako itaingiza muamala zaidi ya milioni 5 basi utatakiwa uende kwenye ofisi zao na documents za kuutetea huo muamala...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
‪#UNAAMBIWA Haya ndio Mataifa yanayotajwa kuongoza Duniani kwa kuwa na Hifadhi kubwa ya Dhahabu;‬ ‪10.India‬ ‪9.Uholanzi‬ ‪8.Japan‬ ‪7.Switzerland‬ ‪6.China‬ ‪5.Urusi‬ ‪4.France‬ ‪3.Italy‬...
7 Reactions
52 Replies
7K Views
Nataka kununua dawa za meno direct kutok kiwandani ili niuze kwa bei ya rejereja na jumla kwenye duka langu,anayefahamu utaratibu na mahali kiwanda kilipo tafadhali
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Nahitaji kununua machine ya shawarma kwa hapa dar es salaam,mwenye nayo anauza au kujua bei ya machine hiyo mpya au used na mahali wanauza ntashukuru akinipa taarifa.Ahsanteni.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kama title inavyojieleza hapo juu, wengi wanasikia kuhusu AFFILIATE PROGRAM(UUZAJI WA USHIRIKA), ila wanajua ni kuuza bidhaa za wazungu online. Ukitaka kufanikiwa kirahisi kwenye hii biashara dili...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
SHIRIKA la Wakala wa Meli Tanzania (Tasac) limepiga marufuku na limeondoa tozo za ushuru wa forodha kwa mamlaka za usafirishaji wa majini zilizokuwa kero kwa huduma hiyo. Utekelezaji huo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
INFORMATION NO. 2 - Kwa wale wanaofuatilia, habari ni kuwa SEACOM SUBMARINE OPTIC FIBER iko LIVE toka Thursday 23rd July 2009. - Dodoma imeunganishwa tayari kupitia Fiber ya TANESCO (Hakuna...
1 Reactions
47 Replies
7K Views
Hivi kwann marekani ndo inawawekea vikwazo nchi zingine zinazozingua mfano iran,kwann sio nchi zingine ndo zifanye hvyo?, au hakuna kitengo cha kimataifa cha kufanya hvyo?, je kama hao marekani...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habar zenu wana jf Nlikua naomba msaada wa mtu anaejua jinsi ya kuagiza spare parts za magari toka nje mpak tz. Makato, makampuni, na hasara zake.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Jamani kwa wakazi wa Bukoba na wageni.. hapawezi kupatikana madalali wanaoaminika wenye ofisi kwa ajili ya uuzaji wa mayai na nyama ya kuku hata
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Hii ya Shabiby kukata tiketi online nimeipenda sana hv mabasi mengine mnakwama wapi...hii mambo ya kuja UBUNGO na kushikwashikwa na hao wapiga debe...... Nakupa hongera Shabiby Bus...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari wadau, Kama title inavyojieleza Natafuta shamba, kuanzia ekari 4, liwe maeneo ya katikati hapo kuanzia Mlandizi kuja Dar. Kuwe na maji au chanzo cha maji walau kwa umbali usiozidi kilomita...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Mambo vipi wakuu? Ni siku nyingine tena tunakutana. Leo nataka nikuonyeshe jinsi yakufahamu iwapo Online Business unayotaka kuanzisha ni sahihi au kinyume chake. Kufahamu mambo haya matano ni...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom