Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Naomba kuuliza kuhusu mtu aliyesoma degree ya microbiology na botanical science anaweza kujiajiri vipi?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu na na jamaa Nina swali kidogo naomba msadaa wenu ..Mimi nimejufunza kutengeneza simu software na hardware na sasa nipo vizuri nahitaji kufungua office ili nianze kupata kipato...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Je unahitaji Sofa nzuri na za kisasa kwa gharama nafuu kabisa? Wasiliana nami ili uweze kujipatia unachostahili Recliner sofa inafunguka unaweza kunyoosha miguuu na kulala kama kitanda. Full set...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Habarini za jioni. Poleni na majukumu. Naomba wataalamu wanisaidie kunipa mwanga juu ya hili lililonisibu. Jioni hii nilikuwa nimeenda Kutoa pesa kwenye ATM,, baada ya kufanya transactions na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
KAMPUNI 20 za ndani na nje ya nchi zimejitokeza kuwekeza katika ujenzi wa vituo vya gesi asilia vya kuuza mitaani kwa jumla na rejareja kwenye vituo maalumu kama ilivyo kwa vituo vya mafuta. Kati...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Salami wana jukwaa, Nataka kufungua biashara ya mpesa morogoro,msaada wa mwemye kibanda anapangisha au fremu kwa maeneo yoyote yaliyochangamka apa mjini, nmejitahidi kutafuta mwenyewe naona inakua...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakati Tanzania tukijipanga kuongeza Idadi ya ndege zetu ili kuendelea kulijenga upya shirika letu la ndege, Duniani kote inaonekana ni kama vile biashara ya uendeshaji mashirika ya ndege inazidi...
5 Reactions
14 Replies
2K Views
1. Kununua Mashine za kukoroga zege na kukodisha. 2. Kununua Mashine za kukata vyuma na kuzikodisha. 3. Kutengeneza na kuuza tofali 4. Ufundi, Website updating/ Database: Katika Halmashauri...
3 Reactions
5 Replies
5K Views
Poleni na hongereni kwa pilika za maisha Mm ni kijana wa umri wa kati pungufu ya 30 Nilikuwa na wazo la kilimo kwa siku nyingi na niliweka malengo kudunduliza mpaka nitimizehszma yangu Hatimae...
0 Reactions
6 Replies
719 Views
Tabora mjini bado kuna nyumba nyingi za udongo, usafiri wa baiskeli, bodaboda kidogo Sana, taxi chache na kuukuu, daladala moja Tu. Hakuna kiwanda kama vipo labda 2 vidogo vya kuchapisha au mikate...
8 Reactions
72 Replies
8K Views
KAMPUNI ya Geita Gold Refi nery Limited (GGR) inayomilikiwa na wawekezaji Watanzania inajenga kiwanda cha kisasa kuliko vyote Afrika Mashariki cha kusafisha dhahabu inayotoka kwa wachimbaji kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Soko limebadilika sana kulinganisha na zamani watu wengi sasa hivi wameanza kutambua umuhimu wa kjitangaza na biashara nyingi sasa zinafanya branding(Chapa), kwa ajili ya kupata nafasi katika soko...
1 Reactions
2 Replies
990 Views
Habar za kazi wakuu ..naomba kujuzwa taratibu za kupata mkopo wa halmashauri kwa vijana ...Sisi tayr tuna biashara ya kuni na mwenzangu ila naskia mpk mtimie watano ...Tax identification number na...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Habar wakuu Kama kichwa kinavojieleza hapo juu, kwanza nikiri sijawah ku order chochote online, sasa nmejikuta nmependezwa na bidhaa zao na bei ya bidhaa zao sasa nkajarbu ku order nmefanikiwa na...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Wakuu nina amini kupitia jamiiforum ninaweza kupata taarifa sahihi kabisa,wakuu nataka kupeleka bidhaa zangu kwenye hii minada inayofanyika katika jiji la Dar es salaam,kama kuna mdau anaweza...
0 Reactions
0 Replies
956 Views
Habar wakuu.! Nahitaji friji la kampuni ya PEPSI, sasa sijui taratibu za wale jamaa wa PEPSI maana nasikia wanatoa bure, mwenye kujua taratibu zao naomba anifahamishe au kama kuna mtu analo ila...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jinsi ya kufanya biashara mtandaoni ukiwa nyumbani kwako. Saivi dunia ipo kiganjani unaweza kufanya chochote unachotaka. Epuka kufanya mambo yasiokuwa ya msingi kwa kutumia muda wako mwingi...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Ndugu wapendwa wa jamii forum,napenda kutambulisha na kuongelea hii biashara mpya ambayo imeshamiri sana mjini,na maanisha yaaji biashara ya MENDE kwa kuwa vijana wengi wamejikita katika ufugaji...
3 Reactions
58 Replies
9K Views
Mimi nasimamia biashara zangu nyingi tu, zenye faida japo sio kwa 100% Wazo langu ni Mteja anakuja kwangu, anaweka pesa yake mfano 100,000/= Halafu kila mwezi atakuwa anapata commission ya...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Wadau.... Kizuri kula na nduguyo....Internationa Commercial Bank inatoa mikopo kwa ajili yako, Kampuni yako na hata staff wa hiyo kampuni kwa riba nafuuu na muda mfupi. 1. Mikopo kwa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…