Greetings everybody!
How is the feeling today?
Nimeona kwasababu watu wanasoma post nazoandaa basi nitakuwa naandika kila siku na kuweka hapa JF.
Hapo vipi?
Yaani kila siku unapata darasa la...
Habarini wana JF wezangu,
Poleni na hongereni kwa majukumu yenu ya kila siku kupambania kujinasua kimaisha, pia kukuza uchumi wa Nchi yetu.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 na kiwango cha...
Mwenyeufaham wowote na hili jiwe lilionotwa n kuhifadhiwa mdogo lakin ucku niliona kinang'aa sana ndani ya droo, kufungua ndo nkakuta hili jiwe cjajua kam ni madini o wat, na kama ni madini je ni...
Wakuu heshima kwenu. Nipo nna mpango wa kufungua pharmacy hapa Mbeya lakini sijajua mtaa gani unafaa kibiashara. Naomba ushauri kwa yeyote mwenye uzoefu. Asante
Kwenye jiji lenye mzunguko mkubwa wa hela kama Dar-Es-Salaam,biashara ni nyingi sana. Iwe kubwa ama ndogo;kila siku watu hubuni biashara au kazi mpya ambazo kwa namna moja ama nyengine huwaingizia...
Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu na nilikuwa na mtaji wa mil 1.3 plan zangu zimelenga kufungua sehemu ya fast food au street food
Ambayo hasa itakuwa na product ya kuku na samaki na vitafunio kama...
Hi
If you rack brains to find perfect oil and gas business In Tanzania. Investing your cash in petroleum products supply business is a wise decision.
In this post, I expose you some facts enable...
Japan Ni nchi iliyoendelea Lakini maendeleo Yana gharama kubwa pia.
Mfano mtu akifa Japan kutokana na ukosefu wa ardhi eneo la kuchimba kaburi lazima ununue na linauzwa kwa dola za marekani...
Wakuu Igweeee
Naitaji kutengenezewa nguo yan kama uniform za kampuni yangu sasa nilitaka kujua kwa yoyote mwenye uzoefu na viwanda vya China ambavyo vinaweza kunifanyia kazi yangu vizuri na kwa...
Napenda kuleta mrejesho hapa jamii forum maana ni sehemu ambayo nilipata wazo la kuanzisha kikundi cha maendeleo.
Nilisoma uzi wa mkuu mmoja unaohusu vicoba. Nikavutiwa na namna vicoba...
Wakuu habari,
wakubwa naomba kujua ni kiasi (amount )gani inatakiwa kwenye kuanzisha kiwanda cha kutengeneza mfuko mbadala.hii ya kisasa ambao imechukua nafasi ya rambo
Mimi ni Engineer mwenye Elimu ya Kiwango cha Masters, Nakaa DSM Natarajia kuanzisha biashara ambayo partly inahusu fani yangu. Nimefashafanya kazi ya awali ikiwa ni pamoja na utafiti, mpango wa...
Nimepita Chato kwa Raia namba 1 Tz nimeshangaa barabara za lami zinavyojengwa mpaka vijijini lakini wajengewa hawaoni thamani ya barabara hizi na kuzitumia kinyume na matumizi kusudiwa.
Wanapanga...
Wenzangu wapendwa,
Kufuatia uamuzi wa mahakama leo, Acacia Mining Plc na shughuli zake sasa zinakuwa sehemu ya Barrick Gold Corporation na tunawakaribisha katika familia yetu. Barrick ilidhamiria...
Ni wazo langu tu limenijia humu Jukwaani,kuna watu tunakuwa serious tunahitaji huduma fulani ila na humu jukwaani kuna watu wasio waaminifu pia wanakuwa serious kuharibu malengo ya watu na wengine...
Kuna uwekezaji nimetamani kuufanya,, najua nikiufanya naweza kuambulia chochote kinywani
Natarajia kuwekeza kama 1.7 MIL.. Na nikifanikiwa kuna uwezekano nikapata pesa nyingi hapo baadae yaani...