Kuna mwanakijiji kaniletea jiwe ni la chuma dogo sana hata kiganja hakijai ila nimelipima lina kilo 2.3 kiukweli mimi sjui mambo ya red mercury nasikiaga tu ila hili jiwe wanadai ndani lina red...
WAAGIZAJI wa bidhaa na mawakala wa forodha nchini, wamepatiwa elimu
kuhusiana na taratibu za uingizaji wa bidhaa nchini pamoja na usajili
wa maghala ya kuhifadhi bidhaa za chakula na vipodozi...
Greetings.
Leo tunakutana tena jioni hii kwa kwaajili ya darasa muhimu kabisa ambalo naamini litakusaidia kuona mambo unayokosea katika Hustle zako na namna gani unaweza kubadilika.
Kwa kuanza...
1 • 90% ya watu hawasave pesa. Ndiyo maana 90% ya watu ni masikini.
2 • Watu wengi wanapoteza Pesa kununua vitu wasivyohitaji kwa pesa wasizokuwa nazo ili kuwafurahisha watu wasio wajua. Think...
Kwa mnao faham naombeni mnisaidie kuusu hili. Kwanini vifurushi vya Vodacom vina bei sana tofauti na mitandao mingine kama Tigo, Airtel...... Ni kwamba vodacom wameridhika sana na wateja wengi...
Nimejaribu kutafakari aisee sisi watu wa hali ya chini kutwa tupo fb tena bas tujadili masuala yenye kuleta ustawi lkn ajabu tunashindana kubishana masuala yasiyo na faida yoyote kwenye maisha...
Mimi ni moja ya wafanya biashara wa simu pesa airtel money ,tigo pesa n.k.
Hii biashara zamani ilikuwa inalipa sana,kwa sasa move imepungua sana
1.wakala wako wengi sana
2.utapeli mwingi hasa km...
Mambo vipi?
Leo Jumatano Sept 11 nataka nikuonyeshe njia 5 zinazokuzuia kutengeneza pesa yakueleweka kwenye haya maisha na jinsi unavyoweza kubadilika kwa muda mfupi tu.
Nataka uone mwenyewe na...
WhatsApp 0769635970 kwa jumla, rejareja au katons kabisa, vipo vingine utajionea mwenyee kwa whatsap, Tupo kimara tunafanya kazi.na watu.kutoka sehem mbalimbali Tz
Wadau, nimefanikiwa kupata milioni kumi ivyo nipo kwenye mchakato wa kutafuta biashara nzuri ambayo itanisaidia kunipa faida kiasi flani, ninaishi kigoma mjini, nakaribisha mawazo yenye kunijenga...
Habari zenu wakuu
Kama kichwa kinavyojieleza’ hivi unahitaji mtaji wa kiasi gani ili kuanza biashara ya chakula? (Catering) ukitoa kodi la pango, I mean vyombo na nafaka
Pia changamoto zake...
Habari wakuu wa JF.
Napenda kuwatangazia na kuwafahamisha kwamba ninawezesha na kusaidia kusajili kampuni kwa njia ya mtandao kwa muda usiyozidi siku mbili . Hivyo basi nasajili kampuni za...
Sect 87 RTA...."A police officer may after stopping any motor vehicle or trailer which he reasonably suspects of being or having been (driving without having d/licence) or used or involved in the...
Wakati watalii wakiikimbia Kenya kutokana na uchafu unaosababishwa na uzembe, Tanzania imekua ndio kimbilio lao, hivyo kuchangia katika kuongeza uchumi wa nchi.
Tanzania imekua ikiongeza mauzo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.