Nauza simu aina ya galaxy s6edge ni used kwa miez miwili tu ipo vzuri.
Ram gb 3
Rom gb 32
Bei laki tatu tu.(300000) biashara maelewano njoo pm usiogope.
Phone no: 0655621320
Habari za asubuhi wanajamvi
Nina mshukuru Mungu kwa kunipa uhai na pia kuniwezesha kuwa mmoja wa wanajamvi. Suala la muhususi ninahitaji ushauri wa kibiashara,
Nina laki sita hapa kwenye...
Ndugu zangu pole Na majukum pili pole kwa kuchelewa kwa ndege Yetu kule Canada, pili tusubiri makinikia,
Ila kama nilivyowaambia ninafungua project hii ni maalumu kwa mama ntilie Na watu wa...
Habari za mdaa juu wana jf,Leo nimekuja kwenu nikiomba kufahamishwa hasa juu ya gharama za uwekezaji kwenye uchimbaji mdogo wa dhahabu hasa kwa mkoa wa singida,Dodoma ,Tabora na Shinyanga...
Habar za leo wanafamilia ya jamii forums
Nimepata kamtaji kadogo kwa kudunduliza dunduliza nkawaza kufungua duka la nafaka.... nimepata sehem hapa hapa dareslam ila nahitaji kupata connection ya...
Mimi ni mwanamke mjasiriamali.
Nimewaza na Nimeamua kutafuta marafiki wafanyabiashara hasa ya madini ili tupeane uzoefu na tekniks za kuhusu hii biashara (how to handle the game).
Iwe ni kota...
FURSA SI NDO HII SASA!
Ushauri wenu wakubwa ni muhimu sana,
September mosi nina mpango wa kuanzisha kabiashara haka,
Niko dar es salaam ,
Mkopo rahis wenye mashart nafuu,
Nitaanzisha ukopeshaji...
Habari za Kazi wadau wa maendeleo.
Tunatafuta MTU anayeweza kutudhani, au kufanya naye kazi kulingana Na wazo letu kuanzisha kiwanda kidogo cha bites bajeti ni 2,705,000. Mdhamini atanufaika...
Nahitaji, kutafuta mtaji wa kufunguaa saloon ya kiume ila sijajua gharama za saloon yenye standard.
Faida zake, makusanyo yake nayabana vipi kwasababu nataka kumewekaa mtu,pia ningependa kujua...
Habari za mchana wana jamvi,
Husika na kichwa cha habari hapo kama kinavyojieleza nilikua nahitaji mkopo wa million 10 bank kwa ajili ya kutanua biashara yangu lengo la kuanzisha uzi huu ni...
Ndoto yangu ni kutengeneza usd 50,000$ ndani ya miezi sita!inaweza kuwa ni ngumu lakini inawezekana kabisa kama ukitumia Juhudi,nguvu na maarifa ya kibabe zaidi!
Ni ukweli usiopingika kwa maisha...
Vijana wasomi wamesambaa nchi nzima na hawakai eneo moja wanawaibia hela MPESA, AIRTEL MONEY, TIGO PESA nk tuwe makini hasa watoa huduma za hii mitandao ya fedha
Wakuu, na hamu ya kuanza kuwekeza kidgo kidgo katika masoko ya fedha na mitaji. Hapa nilipo sifahamu chochote kuhusu haya mambo. Elimu ndo moja ya njia ya kujua mchakato mzima. Nimekiona hiki...
WATU WENYE ROHO MBAYA NDIO WANAOFANIKIWA MAMAISHANI.
Dunia imebeba watu wa kila aina,wachapa kazi ,waviviu,wanyonyaji,majizi ,wachawi nk.
Kuna makundi ya tabia mbali mbali, kuna wapole ,wenye...
Salaam wana jamvi
Asubuhi hii nilitakiwa kutumiwa pesa kwa njia ya simu (Mpesa) ila imeshindikana. Watoa huduma wa Rwanda wamesema kuna mambo hayapo sawa na wanasubiri mashauriano katika ya...
Mexico ni eneo la neema kwa wafanya biashara wa madawa ya kulevya.
Ni nchi inayounganisha nchi nyingi za amerika ya kusini na marekani.
Nchi nyingi za amerika ya kusini huuza kilo ya cocaine kwa...
Habari za Jioni Wakuu!
Naomba niende moja kwa moja kwemye mada bila kuchelewa. Kuwa na miundo mbinu ya kisasa kama tunavyofanya kwa sasa ni muhimu kwa nchi.
Lakini viongozi wetu wanajisahau...