Mbwa wa miezi miwili wanauzwa. Wapo na afya njema wamebakia watano majike wote. Bei nafuu sana 15,000/=. Aina ya mbwa ni chotara German shephard na Afrikan dog.
Mwenye uhitaji tuwasiliane nipo Dar...
KAMPUNI tatu kati ya tisa zilizoomba kununua ufuta katika wilaya tatu za mkoa wa Lindi kwa njia ya mnada zitanunua kilo milioni 1.8 kwa bei ya Sh 2,860 na Sh 2,852. Hiyo ilibainika katika mnada wa...
Wakuu naomba mwenye utalamu wa kutengeneza peanut butter aniambie Kati ya karanga nyeupe na nyekundu ni ipi nzuri kutengeneza peanut butter?
Katika kuifanya iwe nyepesi kidogo mafuta ya alizeti...
Wasalamu
"Personally hiki Ni kitu ambacho nimejifunza kutokana na nyakati mbalimbali ambazo nimepitia.
Kuna wakati nilikuwa na kipato Cha laki moja per month ,ile hela ilitosha na nilifanya...
Wakuu habari, naomba kuuliza nikiagiza simu kutoka nje ya nchi na kusafirishiwa kwa njia ya DHL hadi hapa tanzania, je itabidi nilipe kodi ya TRA? kama ndio ni vigezo gani vinatumika kucalculate...
Karibuni Wana zuoni, wachambuzi, Wanafalsafa, Wana saikolojia mniweke Sawa hapa nataka kuanza Choma chips baada ya kuona milango ya ajira migumu lakini nahisi najipeleka kwenye kada isiyo yangu na...
Jamani Mimi ni wakala mdogo wa airtel money.sasa Kuna hela imeingia lakin cjaona msg ila hela ipo. Sasa jamaa anafanyia kazi Airtel makao makuu wilaya amekuja ameniambia Kuna hela imeingizwa...
Hawa jamaa ni wat wa ajabu mno
Nimechoka kuvumilia sana toka mwezi wa nane hawataki kunirejeshea pesa zangu wanadai niwatumie email ya uthibitisho ilhali mimi natumia aliexpress refunds huwa...
Habarini wakuu, nataka nianze Biashara ya kuuza Vitabu vinavyohusu Maisha....inspirational na mahusiano.
Ni sehemu gani naweza pata kwa bei ya jumla? Na Biashara hii ikoje kwa ujumla?
Jumla ya tani 1,884,000 za ufuta zimenunuliwa kupitia chama kikuu cha ushirika cha RUNALI mkoa wa Lindi. Katika mnada huo uliofanyika jana katika kijiji cha Mbondo, tarafa ya Kilimarondo, wilaya...
Pichani
[emoji652][emoji652][emoji652]
Hii ilikuwa ni ibada iliyoitwa QHAPAC BUCHA au CAOACOCHA .ibada hii ilikuwa maalumu ikifanywa na watu jamii ya INCA karne ya 15 huko COLOMBIA ,walikuwa...
Mwenye uelewa kuhusu hii biashara naomba dondoo, mzigo unapatikana vipi, ni China au Congo? Ukihitaji kuanza mtaji unagarimu kiasi gani naomba mwenye uelewa hapa anijuze.
Nampango wa kuanza Biashara ya sandal za kimasai og, nilishafanya sana hii bus ila nilikuwa nazichukulia hapa hapa tz hazikuwa imara kivile lkn kwa sasa nataka kuzifata abroad.
Natafuta mdada...
Jipatie sofa, makabati, vitanda, tv showcase, coffee table kwa bei nafuu ...wasiliana nasi 0692755311 au whatsapp 0718949610, au tembelea page zetu instagram na facebook Aoe home fyn
Habari za jumapili Mabibi na Mabwana......
Hope wote mpo salama sanaaaaaa
Nilifika kijiji kimoja miezi kadhaa iliyopita, nilishangazwa sana na watu wanavyoishi kwa kua sikuwahi kuishi kijijini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.