Semina ya mafanikio kupitia biashara mwaka 2015; imebaki siku mbili tu ili uweze kujiunga. Kama unapitia changamoto zozote kwenye biashara yako au hata kama huna changamoto ila ungependa kufikia...
Wakuu Leo embu kila mtu aandike aidiaa yake ya biashara moja tu halafu apiteeeee ndukii [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125] naamini Kuna mtu tutamkomboaa
Naanza Mimi kutoa mchele...
Wafanyabiashara, wakulima na wajasiliamali agenda yao inafanyiwa kazi mara Kwa mara, mikutano ya kusikiliza kero zao ni mara Kwa mara, na wanaozorotesha biashara zao wanatimuliwa. Ila agenda ya...
Habar wana jamii forum mm ni kijana wa kitanzania ninahitaji msaada wa namna gani ninaweza kupata mfadhir au wafadhir wa miradi (project) kutoka ndani au nje ya nchi kwa yeyote anaefaham namna ya...
Habari ndugu wanajamvi, Mimi ni mtumishi wa umma, Nina mpango wa kufanya biashara kama njia mbadala ya kujiongezea kipato na biashara yangu imejikta katika genge lenye mtizamo kama kwenye...
Hii kampuni mwanzo ilikuwa vizuri mnoo. Uendeshaji wake ulikuwa mzuri sana.
Kwa sisi wa Dodoma tulikuwa tunawapenda mnoo ukiachilia mbali kampuni zingine kama Shabibi na Kimbinyiko.
Jana...
1: "mama kulwa alifungua duka la nguo naona amepata pata,inaonekana linalipa ee?" NDIO ,LINALIPA NA WEWE FUNGUA.
2." A :Uyo mzee wa hapo juu nakwambia kaporomosha ghorofa iyo yani hatari, kwan...
Wanajamvii....kuna mahali nilienda kufanya kazi ya umma( kazi maalum) sasa katika kunilipa wamezidisha kiwango cha malipo mara mbilii, hii hela sijaigusa kabisa...
Bado niko njia panda niitumie...
Habari
Kama kichwa kinavojieleza, nahitaji kuanzisha huduma ya kifedha ila sina uzoefu wowote, sina lesen wala tin number!
Naomba maelekezo nikihtaji hiv vitu nianzie wap, na gharama zake zipoje...
Habari za mwamko woote.
Heri ya sikukuu ya mapinduzi ya ZNZ hapo 12/1/2018 siku ya Ijumaa (nawapa in advance).
Direct kwenye mada yangu. Naomba wataalamu wa masoko mnisaidie jina la hii baa...
Najua wengi tutasema ni "utapeli", wengine watasema ni upigaji.
Lakini naomba niwatoe hofu, hili ni wazo lenye kuleta manufaa endapo tutaweza kwenda sawa na makubaliano.
Hao watu 99 mimi nikiwa...
Amini amini nakwambia mfanyakazi mwenye mshara wa 2M kwa mwezi kodi yake haipungui 3M kwa mwaka
Amini amini tena nakwambia mfanya bishara mwenye mtaji unaompa faida ya 2M kwa mwezi kodi yake...
Dear Member hi!
Naomba nitumie lugha yetu nadhifu kuelezea hitaji langu.
Mimi ni.mkurugenzi wa kampuni ambayo ni Limited Campany ambayo makao makuu yake yapo Morogoro
Niliifungua kampuni kwa...
Hakikisha Usalama wa Mali yako kwa kufunga mfumo wa CCTV Camera kwa Gharama nafuu kabisa!
[emoji736]Gharama kwa Nyumba ya Kawaida ni Tsh1,500,000 (Vifaa na Ufundi)
[emoji736]Pia tunafunga Camera...
MJINGA
Mjinga akimaliza la saba anaanza biashara ya mkaa halafu atachoma mahindi halafu atauza miwa, atalima viazi.
Baada ya miaka miwili atafungua duka la nguo atasafiri kwenda Dar kufunga...
Wakuu heshima kwenu.
Nakumbuka 2005 kurudi nyuma feniture itokanayo na mbao ilikua ikihitajika kwa wingi na jamii.
Tofauti na siku hizi seramala amekua na thamani ndogo sana.
Hata vyuo vya ufundi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.