Salam wana JF
Nimekuwa nikiugulia maumivu ya makato ya mtandao wa voda ambayo yanepanda kimya kimya na sijui kama ni kwa bsraka za tume ya maeasiliano au tunalipia zile faini walizotozwa.
Mfano...
Amendments to the Companies Act, Copyright & Neighboring Rights Act, Films and Stage Plays Act, Non-Governmental Organizations Act, Societies Act, Statistics Act, Tanzania Shipping Agencies Act...
Wanabodi,
Kuna hili nimelishuhudia kwenye usafiri wetu wa anga wa kimataifa, ndio maana nauliza ni tunaibiwa, au tunasaidiwa kwa sababu wenyewe hatuwezi?.
Kwenye usafiri huu wa kimataifa, kila...
Wapendwa habari zenu.
Wana jamii nlikua naomba elimu zaidi kuhusu CIF AND FOB,,tofauti yake hasa ni ipi?
Na je nkiagizia gari,,miamala ya kibenki naifanya vipi?
Ndugu zangu nipoo morogoro nataka kwenda dsm kununua bei za mifuko ya kichina ya kwende sokoni na safari ndogo ndogo
Kama ilivyoo kwenye picha nilikuwa naomba kujua bei ya belo lake bei gani na...
Rejea kichwa tajwa hapo juu,natafuta mtu anaeuza laptop yoyote ambayo ni convertible au 2 in 1,kwa maana inaweza kutumika katika mode zote either tablet mode au pc mode.
Nawasilisha
Habari wakuu...
Leo katika pitapita zangu Mjini Dar es Salaam nikakumbuka Yale Mabango ya Neel Salt yalivokuwa yametapakaa Mji mzima kila barabara wakitangaza Chumvi hiyo,
Kwenye TV nako...
Habari za hapa.
Leo nimeona jambo (kwa upande wangu naliona kama kero/ tatizo/ shida/ usumbufu).
Nilikuwa na ujitaji wa Statement ya mpesa, nikaingia online kuona kama naweza ipata nikakosa...
Kama kuna mtu yeyote anauza kiwanja mitaa ya kimara sehemu ndoogo tu ya kujenga kajumba kadogo tu kakuanzia maisha, Ni Pm kuna ndugu yangu Natalia
Price isiozidi 3mil, PM
Vijana wenzangu poleni na majukumu wakubwa kwa wadogo jamani mimi nipo mkoani dar es salaam Ninafanya Volunteer kwenye Company flan mjini post, nimekuja kwenu naombeni kwa atakae kuwa na uwezo...
Habarini!
Jamani naomba kuuliiza hilo!! Inahitajika nini na nini na nikamilishe nini ili niweze kufungua ONLINE TV?
-Mahitaji ya vifaa
-Mahitaji ya mamlaka serikalini
Asante.
Kwa wamiliki wote wa youtube naitaji msaada wenu
Kwa ambaye anauza YouTube account yenye monetization mimi naitaji
Pesa ipo mda wowote
Tafadhari kwa anae uza naomba tuwasiliane ili tufanye...
Makerekebisho katika chapisho (ERRATA):
Jina la creator wa bitcoin ni SATOSHI NAKAMOTO SIO SAKOSHI NAKAMURA kulikuwa na kosa la kiuandishi.
Credit to Ngondonyoni
Habari ndugu wana JF.
Heri ya...
Nifuatiliaje mzuri sana wa soko la Hisa la Dar es Salaam.Naona kwa muda awa miaka miwili kumekuwa na kuanguka sana kwa bei nyingi za Hisa ya makampuni yaliyoko kwenye soko.
Sijui haswa ni nini...
Katika mkakati mzuri wa sera ya viwanda ya awamu ya tano lipo jambo ambalo naliona muhimu lakini halipewi umuhimu unaostahili.
Nchi inaweza kuzalisha na kuuza bidhaa zake sehemu nyingi duniani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.