Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakuu, Kila nikifunga hesabu zaidi ya 20k inalala nje. Wote sio watakaolipa, sasa basi nipeni mbinu za kushughulika na hawa jamaa
6 Reactions
24 Replies
1K Views
habari za muda huu wana JF, Naomba kuuliza kwa biashara ya mikate ya jumla inahitaji mtaji kama kiasi gani na vipi kwa wenye experience inalipaa? yaani ni ile nainunua na kufanya delivary kabisa...
1 Reactions
6 Replies
7K Views
Mabaharia wafanyabiashara nimepata mpunga kidogo kama 20m kwamara yakwanza nataka kwenda dubai au china kununua simu hasa smartphone Nimekuja kwenu kuomba ushauri mliowahi kwenda china au dubai...
12 Reactions
177 Replies
49K Views
Kwa yeyote ambaye amewahi fanya hii biashara ya usafirishaji nyama ya nguruwe toka Moro to Dar naomba msaada wako. Naomba kujua njia ya usafiri uliyotumia, masoko, changamoto n.k Asante sana.
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Na Mwalim M. A, Mkombozi (Kalaga baho) Kanusho : Hakuna mgogoro wowote wa kimaslahi utakaojiyokeza kwenye darasa hili endelevu. Ushauri utatolewa bure kabisa na hakuna nia ya moja kwa moja ya...
23 Reactions
174 Replies
8K Views
Hoja yangu nakusanya pesa za forex royale app lakini nataka nipate hizo ela kwenye ac yangu. (1) naweza kupata?(2)niliweza kujiandikisha kwenye app tigo pesa duniani ili izo pesa ninazokusanya...
2 Reactions
5 Replies
274 Views
Nataka kumnunulia mpenzi wangu pedi ila sijajua ipi ni bora zaidi.
6 Reactions
67 Replies
3K Views
Naitaji Bank nzuri isio na makato makubwa/mengi niwe na Account ya kutunza ela.
2 Reactions
22 Replies
2K Views
WAZIRI MAVUNDE AZINDUA MAGARI 25 YA TUME YA MADINI Ikiwa ni mkakati wa kuimarisha usimamizi katika Sekta ya Madini hasa kwenye ukusanyaji wa maduhuli, Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde...
0 Reactions
0 Replies
144 Views
Wakuu naomba ABC kuhusu hii biashara ya mafuta kutoka kwenye maganda ya korosho. Upatikanaji wa maganda ya korosho je upo kwa wingi na Bei yake kwenye viwanda. Je Lita 40000 Inatumia maganda...
2 Reactions
2 Replies
369 Views
Nahitaji ushauri. Mimi ni entreprenuer ninayeanza. Nategemea kujishughulisha na utengenezaji wa vyakula vya mifugo na pia uchakataji wa mafuta ya kupikia katika hatua ya " refining". Nimesha...
4 Reactions
10 Replies
637 Views
Hello esteemed partner. I believe hii thread itakupata ukiwa poa. Napatikana, Mbeya, and kama kichwa kilivyojieleza. Natafuta mwekezaji au mshiriki ambaye tutafanya pamoja biashara hii ya kuandaa...
2 Reactions
2 Replies
343 Views
habari zenu wadau niende moja kwa moja kwenye mada, mimi ni kijana wa makamo nia ya kuja hapa jukwaani ni kuomba mbia/mshiriki wa kampuni mwenye uwezo wa kuwekeza mtaji wake katika kampuni yetu...
3 Reactions
20 Replies
928 Views
Poleni na majukumu ndugu zangu. Binafsi nipo na madaliko kadhaa katika maisha naomba sana usirejee nyuzi or comment za kipindi cha nyuma maana haitaleta maana ya uzi huu. Kwa sasa nipo dodoma na...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Wanajukwaa habari za Asubuhi, Nina mtaji wa 3M nimehamia hivi karibuni Morogoro mjini hivyo nafikiria kuanzisha biashara. Sababu ya ugeni nimeona nisiwe na haraka kwanza bali niombe ushauri kwenu...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari. Naomba kujua njia ninayoweza kusafirisha mzigo kama wa kilo tano (nguo) kwa ajili ya biashara. Kuna basi nimeliulizia naona gharama yake sijakubaliana.
1 Reactions
15 Replies
600 Views
ELIMU YA MIKOPO BENKI Kumekuwa na malalamiko na vilio kwa baadhi ya watumishi kuhusu mikopo wanayopewa na benki. Wengi wao wanalaumu mikopo hiyo kuwa ni kandamizi kwao badala ya kuwapa unafuu...
25 Reactions
42 Replies
5K Views
Za jion wana jamii, Naimani mko powa wote Naombeni ushauri kidg kuhus location nahitaj kufungua biashara ya nafaka. Sasa ningependa kujua sehemu imbayo inamzunguko mkubwa wa watu na ambayo...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
RC TELACK AWAKARIBISHA WAFANYABIASHARA KUSHIRIKI UFUNGUZI WA GULIO LA BIDHAA ZA USINDIKAJI. Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack amewataka wafanyabiashara na wajasiliamali Mkoani Lindi...
0 Reactions
0 Replies
130 Views
VIONGOZI WA DINI WAPONGEZA JUHUDI ZA RAIS SAMIA KULETA MAENDELEO NCHINI ▪️Waandaa maombi ya wiki nzima kumuombea Rais Samia na Taifa ▪️Wahamasisha ushiriki wa Watanzania kwenye uchaguzi seriklai...
0 Reactions
1 Replies
177 Views
Back
Top Bottom