Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Forbes: Mabilionea 25 matajiri zaidi Afrika 2017 21 Machi 2017 Image copyright BBC Image caption Mtu tajiri barani Afrika kuinunua Arsenal Mfanyabiashara kutoka Nigeria Aliko Dangote bado ndiye...
1 Reactions
15 Replies
7K Views
Korosho ya bongo ni first class dunian,hata hao wahindi wananunua bongo then wana process wanauza nje,pia wa vietnam,wamarekan na wazungu wengne korosho wanainunua hapa bongo. Minada inaanza...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu Naomba kwa mtu yoyote anayejuwa jinsi ya kuleta vitu vya used kutoka USA na UK na kuileta huku Tz. Iwe company or mtu binafsi anayesafirisha yoyote ile. Nimekuwa naona vitu vingi...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Wadau wanaojua mambo ya kununua vitu online wanisaidie je hapo bei ya hizi bidhaa ni yepi maana inavyoandikwa kama hivi inanichanganya $500.000-1000.000 Nipeni uchambuzi na je nikiagiza bidhaa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu, Mie ni kijana mwenye ndoto umri ( 24 ) na mwenye kipaji upande wa (IT) lakini changamoto yangu ni vifaa vya kazi tu,nakumbuka kabla sijapata kazi...
0 Reactions
10 Replies
872 Views
Habari za majukumu wadau.nilikua naomba kujua endapo nataka kua na kipindi binafsi nitakachotengeneza mie na kwenda kukirusha kwenye tv zetu hizi naahitaji jufanyaje? Upatikanaji wa wadhamini...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Nakumbuka forex, forever living na orifem zilivyowajaza watu ujinga wakipewa shuhuda feki wakaamini na kujitupia humo. Leo wanajutia tamaa zao hahahahaaa. Kijana Ontario aliwapiga pesa watu wazima...
11 Reactions
43 Replies
6K Views
Asaalam wanabodi, Nakuja kwenu tena nikiomba ushauri kwa yoyote anayejua/ mwenye uzoefu juu ya biashara ya Uuzaji wa mifuko ya Plastics inayotumika katika maeneo mengi ya biashara kama Mabucha...
0 Reactions
7 Replies
40K Views
Uzi wa kushare aina mbali mbali za biashara changamoto zake mtaji pamoja na faida zake, Bila kusahau wazo lolote unalofikiria kulifanya ili upate maoni kutoka kwa watafutaji wenzako,
1 Reactions
4 Replies
870 Views
Habari za mida wakuu Kama kichwa cha habari kinavyosema. Nimekua nikifatilia habari za watu wengi waliofanikia na wafanyabiashara wakubwa wa ndani na nje. Kutoka katika takwimu za forbes za...
9 Reactions
132 Replies
28K Views
Thamani ya shillingi ya Tanzania inazidi kushuka dhidi ya dollar ya Kimarekani kila kukicha. Serikali chukueni hatua za haraka. Athari hii ni mbaya kwa uchumi.
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Nilipokuwa na miezi sita kwenye ajira yangu ya kwanza tayari nilikuwa na utaratibu wa kusave bank kwa njia ya kukatwa juu kwa juu kiasi flani. Siku moja nikakutana na aliyekuwa mwalimu wangu...
26 Reactions
47 Replies
8K Views
Habari zenu wakuu. Nina habari njema ya kushare nanyi. Nayo ni stori ya jamaa yangu aliyefanya mapinduzi huku Kigamboni ambapo awali alikuwa akiacha hela ya matumizi kama elf ishirini kila...
7 Reactions
41 Replies
13K Views
Ndugu wana JF, suala la bidhaa feki na duni limekuwa ni changamoto kubwa. Nina mfano mzuri kupitia mavazi. Binafsi, nimekuwa nikiishi kwa kuvaa mitumba kwa muda mrefu kwakuwa nimekuwa na mtazamo...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Habari wakuu Tafdhali naomba kujuzwa juu ya utaratibu wa kisheria wa jinsi ya kufungua duka la Sonara. Hitaji kubwa sana liko kwenye utaratibu wa upande wa wizara ya Madini. ( Ni leseni hipi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari ya leo wakuu, naomba kufaham kwa kawaida hesabu ya siku ya kupeleka kwa mwenye gari ni sh nga kwa Uber? Asanteni sana.
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Post deleted by author
6 Reactions
46 Replies
5K Views
Maneno machache kwako wewe ambaye dunia bado inakuweka chini, Hawakujui, Watafanya kila liwezekanalo kukufanya ubaki ulipo, Watalipa polisi wakuweka ndani bila wewe kufanya kosa, Watakutishia...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu. Naomba mwenye ABC za fursa za kibiashara hasa kwa mitaji midogo kati ya 100,000 -500,000 tsh. Kwa Mji wa Tunduma au Mwanza. Nimevutiwa kwenda kupambana maeneo hayo. Sina ujuzi...
0 Reactions
30 Replies
12K Views
Wakuu, Kama thread inavyojieleza mataifa karibia 35 yameungana kwenye hii project, naomba mdau anayejua umuhimu wa hii project anielezee nipate kuelewa vizuri. Website ya hit project ni ITER - the...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom