Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wapendwa naomba kujua je zile Tv zinazowashwa kila siku kwenye maduka ya Tv (Demo), ukinunua utasema umenunua Tv mpya au iliyotumika (used)?
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Hivi kuna fixed account nawea kuweka USD tu NMB? Nikitumia ya watoto vipi? Nataka kila mwezi naweka usd 200 ila kwenye fixed account hasa ya watoto for at least two years. Sijui kama zipo za USD
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wadau Pitia uzi wangu ulopita wa kujenga kwa m. 3, ha ha haikutosha badala yake nilitumia kama m.10 na zaidi nyumba ya vyumba viwili na choo imesimama na bati imegongewa sasa tatizo...
1 Reactions
99 Replies
15K Views
Habari zenu GT! Nina mpango wa kuanzisha biashara ili niweze jikwamua na tatizo la ajira, Naomba kujua nnatakiwa kuanza kupata kipi kati ya TIN (Taxpayer Identification Number) na Leseni ya biashara?
0 Reactions
30 Replies
13K Views
Habari za mida wasaka tonge wenzangu, Nimekuwa natamani na mimi nimiliki biashara yangu,ila changamoto inakuwa kwenye mtaji wa kuanzishia hiyo biashara. Njia zipi labda zinaweza kunisaidia kupata...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hello JF, Nimekutana na fursa ya concurrency ambayo bado ni new na ina market penetration. So karibuni kupata high lights zake na kwa zaid nichek inbobo...... Wasalam.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni matumamaini yangu kuwa wote tupo salala, Pamoja na vuguvugu kubwa la siasa , lakini kwa mjasiriamali hakuna game tamu kuliko yote kama kufinyanga PESA, mengine baadae...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Sitatumia maneno mengi katika hili. Wanasema picha zinazungumza maneno 1000. Ya kwanza ni hapo Rwanda tu unapoweza kwenda hata na basi. Ya pili hapo chini ni huko Marekani, Ulaya na hadi China...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Habari wakuu.. Samahanini jama, kwa wale wanaofahamu kiasi wanacholipwa wale jamaa ambao ni mawakala wa kukata tiketi za mabasi ya kwenda mikoani naomba anijulishe. Asanteni.
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Samahani naitaji Junua hii block chain technology Ndio nini msaada kwa anaejua tafadhali
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Mradi wa usafirishaji wa abiria ujulikanao kama TAXIFY ulionekana kama mkombozi wa abiria kwa Mwanza kama ilivyo UBER Kwa Dar es salaam. Lakini jambo LA ajabu kwa wiki nzima sasa hali imebadilika...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Muda si mrefu nimepàta preshaa baada ya kukuta account yangu pesa hàipo imepungua niliacha trading 23 zikirun ili baadae kukikucha nizitazàme,,natazama midà hii nakutà zimekuwà cànceled ñà pesà...
0 Reactions
64 Replies
7K Views
Nahitaji mkopo kwa ajili ya kuendeleza biashara yangu, naulizia taasisi yoyote ambayo inatoa mkopo haraka, sitaki benki kwa sababu ya ukiritimba
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Wale wafanyabiashara wa dagaa hamieni Uganda na Kenya nako wanavua dagaa na soko kubwa liko Sudani Kusini hawa wanaoendesha operation ziwa Victoria wasiwaathiri.
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Multinational law firm Herbert Smith Freehills (HSF) has raised concerns around Tanzania’s new integrity pledge for mining companies, questioning whether it meets international best practice...
0 Reactions
4 Replies
805 Views
Habari, Nililima mihogo mwaka jana ila mpaka sasa ninekosa soko , Mbegu ya mihogo niliyopanda inaitwa MKIU, Jana nikawaza nikasema labda naweza kutengeneza unga wa muhogo nikauchanganya na mahindi...
1 Reactions
70 Replies
8K Views
Kuna bidhaa nimeipata online iko Malaysia. je Tanzania nitampata wakala wa kuniagizia, mwaminifu mwenye ofisi maalum kwa kazi hiyo?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa yeyote yule anayejua kuweka na kutoa hela kwenye account ya m9bitcoin kupitia njia ya mpesa au tigo pesa nk tufajulishane jamni
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari wa jamii forum mimi ni mjasiliamali na pia na weza sema ni mpambanaji kwani nilitokakea kuajiliwa hadi kufungua kiwanda kidogo. Kiwanda changu kinajihusha na uzalishaji wa viatu vya...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamvi wenzangu??? Mimi ni mtumiaji mzuri wa mitandao ya kijamii hasa facebook na jamiiforums. Hivi karibuni nimejikuta kwenye mshangao mkubwa sana kila nikiperuzi kwenye mtandao...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…