Hello wanajamvi wenzangu naomba kuuliza hivi ukiwa na Leseni ya Biashara na Tin namba ,ikatokea unataka kuifunga Biashara ili ufanye mambo mengine ,je umiliki wa hivi vitu unakuwaje ,Leseni na Tin...
kuna meli mbili zinatarajiwa kutia nanga na kupakua mizigo bandari ya dar es salaam.
kota manisi ETA yake ilikuwa tarehe 23 septemba 2018. ni kweli iliwasili katika maji ya dar es salaam tarehe...
Faida ya Kampuni ya Bia #Tanzania (TBL) katika nusu ya kwanza ya mwaka 2018 imeshuka kwa asilimia 16 hadi TZS bilioni 64.5 kutoka TZS bilioni 77.13 katika kipindi kama hicho mwaka jana. Kushuka...
Habari wana JF
Kama Uzi tajwa hapo juu, binafsi huwa naona matangazo kwenye app ya kupatana watu wakiuza na kununua vyombo vya usafir kama pikipiki na gari.
Lakin m lengo language in kununua...
Afsa TRA mnaona watu wamejazana wanaomba kufunga TIN zao kwa kuwa biashara hamna nyie at a kuangalia jinsi gani ya kuwapunguzia kodi ata wawe wanaleta kidogo hamna.alafu mnasema hapa kazi tu!!kazi...
Habari wana Jf natumaini kama kichwa kinavyojieleza kwa wewe ulie maeneo ya moshi na unahitaji kutengeneza hera hapo ulipo bila jasho basi changamkia mchongo huu.
Mimi ni mfanyabiashara...
Ndugu zangu Bajaj mmeingia cha kike kujidai wa kishua kujichanganya kwa mabepari UBER hela hiyo hiyo ununue Smartphone, bundle, powerbank, 25% ya UBER, airtime ya kumpigia abiria ukifika alipo...
Habari ndugu zangu,
Naomba kujua kama kuna kampuni inayosafirisha mizigo kutokea south Africa to DSM Tanzania.
Kama kuna mtu anajua naomba anijulishe tafadhari.
NB:Kama unawaza wizi wizi kaa...
Habari wakuu,
Mimi ni mfanyabiasha, hivi sasa nimepata soko la bidhaa zangu za nguo huko Namibia.
Naombeni kufahamu njia rahisi za kusafirisha nguo kupeleka Namibia. DHL/FEDEX nk ni gharama...
Akizungumza na Nipashe iliyotaka kupata ufafanuzi juu ya huduma hiyo jana, Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa CRDB, Tuli Mwambapa, alisema kiwango cha chini cha mikopo hiyo ni...
Serikali imekuwa ikifanya jitihada nyingi za makusudi ili kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi ili kuwekeza katika viwanda. Tumeshuhudia mikutano na warsha nyingi zikijadili namna ya...
Habarini .
Surely Leo nahitaji majibu kwa wabobezi,
Nimechagua gari be foward akilini nimechagua kununua gari through PayPal .
Na ufafanua.
Nahitaji sana kuelewesha also niendelee kununua vitu...
Kama unataka kufanya biashara na Botswana tafadhali ni PM ili tuweze kuwasiliana
kuna biashara nyingi huko Tanzania za kuleta huku
kama una fedha na ungehitaji kutengeneza fedha nipo tayari...
Kwanza kabisa natoa rambi rambi zangu kwa hao watu zaidi ya 224 waliofariki hapo mv nyerere ilipozama. Mimi kaa mtu ambae anajua mungu wa kweli wa bibilia ,
Sitaweza kamwe kusema hio ilikuwa...
Ambae anataarifa kuhusu ongezeko la thamani la fedha katika soko la hisa mpaka sahivi anijuze, thamani zikoje kila nchi ukikompea na shilingi yetu ya tanzania,
Ahsanteni sana na karibuni kwa...
wakuu habari zenu mimi mfanyabiashara wa viatu vya kike tatizo lilionitokea hili mteja alikopa viatu vya elfu kumi tano akalipa akabakiza elfu mbili sasa akaja tena dukani akaomba kukopa mkoba...
Habari zenu wanajamvi?
Kuna bidhaa nimeona kwenye mtandaa wa alibaba nataka kuiagiza, lakn nata kujua cost zipote kutoa bidhaa huko kuja Tanzania
Bidhaa yenyewe ipo hivi
Inauzwa usd 135
Ina...
GDP is like a speedometer: it tells you whether your economy is going faster or slower. As in cars, a speedometer is useful but doesn’t tell you everything you want to know. For example, it won’t...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.