Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Tunatafuta kampuni, taasisi au mwekezaji binafsi tuingie nae mkataba wa kupandisha ghorofa floor 3 au 4 kwa ajili ya biashara ndani ya Dodoma mjini. Jengo ni la kundeleza tu lipo mtaa wa uhindini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani siwezi kujenga nyumba ya vyumba vinne hapo Dar kwa milioni 20? Niambieni kama siwezi kabla sijaipoteza hii pesa... Asante
0 Reactions
284 Replies
113K Views
Embu tusaidiane wadau wanaotoa mizigo Nairobi usafiri kuja Arusha mnatumia UPI? Nimetumia dar ex press kidogo lakini hela zinalipwa nyingi Na saingine mzigo ubaki boda.....mwenye mawasiliano Na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kampuni ya Maxcom Africa PLC, wamezidi kuboresha huduma zao. LEO wametangaza Huduma zao Mpya ambazo zinaweza kupatikana kwa Mawakala wa Maxmalipo Popote. Huduma hizi zimeambatana na huduma...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Mradi wa Kuwawezesha vijana wa kike na wanawake kiuchumi kupitia Tasnia ya Urembo na Vipodozi ujulikanao kama Manjano Dream-Makers ulioasisiwa na Taasisi ya Manjano Foundation wamemaliza mafunzo...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Hi JF members Poleni na majukumu Nimeona ni vema nikaanzisha hii ID mpya ili kusudi niwe natupia mambo nyeti ,muhimu na yenye tija kwetu sote najua sitawaridhisha wote kutokana na kila MTU kuwa na...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Hello Ningependa kujua kama maji ya Kilimanjaro yanayotengenezwa na bonite, yanapatikana katika Nairobi retail shops. Nina plan ya kuwa supply agent wa hayo maji. Mliokaa Nairobi or Kampala...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kuhamia Dodoma ni ndoto yetu ya siku nyingi sana, lakini sio kipaumbele kutokana na hali yetu ya sasa ya kiuchumi. Kama tukiyaorodhesha matatizo yetu yanayokwamishwa na ukosefu wa fedha kwa...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
KAMPUNI ya Ndege ya Tanzania (ATCL) imesema safari zake kwa nchi za Afrika Mashariki kutoka Dar es Salaam kwenda Bujumbura, Burundi na Entebbe, Uganda, zimepata mafanikio kwa asilimia mia moja...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu jamaa na marafiki, poleni na majukumu ya kila siku!! Nimekuja kupata ushauri kwa yeyote mwenye idea kuhusu kuanzisha rasmi kituo cha soka la watoto (academy). Nimejiwa na wazo ili baada ya...
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Kiuhalisia mawazo ya mradi/biashara yapo mengi sana na huwezi kutekeleza kila wazo ambalo umelipata ima kwa njia fikirishi (brainstorming) au njia nyingine, hii hutokana na ufinyu wa rasilimali...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
SABABU YA KURUDI TANZANIA Tajiri Mo Dewji amejaribu kuelezea sababu iliyofanya arudi Tanzania, baada ya kumaliza masomo yake Marekani na kufanya kazi kwa muda. Je unahisi Tanzania kuna fursa...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Nipo mkoani nina mil. 5,nataka kufungua duka la nguo za watoto na kuuza pampers, mwenye uzoefu tafadhali anipe mawazo.
2 Reactions
10 Replies
8K Views
Biashara/kampuni zote huwa zina ufanisi (Competency) na rasilimali (Resources) za kipekee ambazo huzitofautisha na washindani wake. Hizi fanisi na rasilimali katika kampuni hutambuliwa katika hali...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna njia nyingi za kupata fedha kwa ajili ya kutekeleza mradi; aina ya njia itumikayo kwa kiasi kikubwa hutegeme; · Kiasi cha pesa unachohitaji kwa ajili ya kutekelezea mradi wako...
5 Reactions
16 Replies
6K Views
Uibuaji wa mradi (Project Plan) ni hatua ya mwanzo kabisa katika mradi. Katika hatua hii wazo la mradi ambalo linaenda kutatua tatizo huainishwa. Kumekuwepo na kasoro nyingi sana katika uibuaji...
3 Reactions
17 Replies
8K Views
Kuna njia (models) mbalimbali ambazo huelezea namna timu ya mradi (project team) inavyokua (evolving). Moja ya njia maarufu (popular) ni hii yenye kuonyesha hatua nne za ukuaji wa timu, kama...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuongoza/kusimamia mradi (managing a project) ni tofauti na kuongoza idara katika kampuni au ,taasisi. Mradi siku zote huja na bidhaa au huduma mpya na ya kipekee (unique) katika eneo husika...
1 Reactions
2 Replies
839 Views
Nimeomba mkopo wa Tsh 1,500,000/= kutoka taasisi moja hapa nchini ambao riba yake ni 17%. Nimeweka dhamna kiwanja. Hivyo basi, nimeingiziwa huo mkopo ambao inatakiwa niulipe kwa muda wa miezi 6...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
KUPANDA NA KUPOTEA KWA FEDHA MTAANI NA WAKATI SAHIHI WA KUWEKEZA. Mzunguko wa fedha unahusisha fedha zote zilizopo kwenye mzunguko za noti na sarafu,zilizopo kwenye mikono ya watu na zilizopo...
6 Reactions
30 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…