Mimi si mtaalamu wa uchumi lakini naweza kusoma nyakati, kiukweli umma hauna pesa mifukoni hali ambayo kimsingi inatokana na utekelezaji wa serikali iliyopo madarakani (Maisha yamebana bhana)...
Wadau wengi nliopata kuzungumza nao walio fanikiwa kupitia mikopo walineleza kanuni moja ambayo waliitumia mpaka kufikia mafanikio waliyo nayo (nao waliipata jwa wataalamu wengine waliokwisha...
Hapa naongelea biashara zote ambazo zinakatazwa na Serikali kama vile bangi, madawa ya kulevya, biashara za watu n.k
Ukianza kufanya hizi biashara utakuwa tajiri sana.
Naombeni wenye ujuzi wa...
Tatizo la wabungo hili
Mbongo alieajiriwa ofisini, mwenye kipato cha shilingi laki tano au pungufu kwa mwezi anamdharau mtu aliejiajiri kuuza nyanya anaepata kipato cha mpaka millioni 2 kwa...
August 23, 2028
LONDON -- Aminex has provided the following update on its operations in Tanzania.
Ruvuma PSA
The tendering process for a rig to drill Chikumbi-1 (CH-1) is now complete and the...
Wakuu salaam.
Kuanzia mwezi February 2017 nilianza ufugaji wa kuku wa mayai, kwa fedha ndogo ya akiba niliyokua nayo na nilifanikiwa kuanza na kuku 300, kutokana na ugeni ktk eneo hili na hadi...
Wakuu,anaandika Edo kumwembe
Hivi ile fashion ya vijana wa dar kwenda kulima vitunguu Ruaha imeishia wapi....
Acheni kuchezea kazi za watu....
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani Nina kreti 20 nahitaji kujiunganisha na coca-cola ili waniletee na niuze jumla... Je inawezekana vipi..! Msaada wapendwa..?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana JF.
Kwa yeyote ambaye ameshawahi kutembelea Kigali - Rwanda au wenyeji wa huko wanaweza kunijulisha juu ya haya yafuatayo:
Usafiri wa kuelekea huko kwa njia ya barabara (basi) kutokea Dar...
Any Tanzanian living in Solwezi Zambia let us meet here, To discuss business opportunity and challenges of living here.
mtanzania anayeishi Solwez Zambia tukutane hapa tupeane fursa na...
Any Tanzanian living in Solwezi Zambia let us meet here, To discuss business opportunity and challenges of living here.
mtanzania anayeishi Solwez Zambia tukutane hapa tupeane fursa na...
Salaam, nimepata shida ghafla, naomba kwa yeyote anayeweza kunikopesha shilingi milioni tano kwa riba nafuu ndani ya miezi mitatu, dhamana hati ya nyumba. Nyumba ipo Sumbawanga mjini
Wana JF Naomba msaada kwa wenye uzoefu na biashara hii, Mimi Naifanyia utafiti nianze kuifanya kwa mfumo wa rejareja yaani niwe na banda. Naomba nijuzwe ni mbogamboga zipi zinanunuliwa sana na...
Majukwa mengi ya JF kwa sasa hufanya vizuri sana kwenye SEO za google hasa kwa lugha ya Kiswahili.
Nawashauri muunde 'Content Marketing Team' itakayokuwa na kazi moja ya kutafuta wadhamini wa...