Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Message…Napenda kujua bei ya vile vifaa au zile helufi zitumikazo kutengenezea kacha za mkononi.....KWA bei ya jumla vinauzwa kwa bei gan.. Msaada wenu jaman
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mashine ni ya umeme,ina roller mbili na uwezo wa hali ya juu sana,ina kibanda chake kabisaa,bei ni 2000000 lakini inaongeleka,mashine ipo DAR ES SALAAM,SALASALA kwa mawasiliano 0693208482
1 Reactions
0 Replies
2K Views
SOKONI Karibu upate kamera kali kwa bei poa sana nicheki mpya na used mawasiliana: 0753946107 0625929915
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Samahan Waugwana Naiman Wazima Wa Afya Mimi Ni Kijana Umr Miaka 19 Sijabahatika Kusoma Nimeishia La 7 Nimepata Pesa Tsh Million 2 Za Kitanzania Kutokana Na Uhaba Wa Spea Za Pikipik Katika Mtaa...
2 Reactions
3 Replies
5K Views
habari zenu wapendwa napenda mnisaidie gari gani ni ngumu kati ya TOYOTA WISH AU TOYOTA RACTS nahitaji kununua gari ila machaguo yangu ni kati ya magari hayo mawili nishaurini gari gani itaweza...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Hamjambo Watanzania! Ikiwa imepita miezi michache tangu benki ya Twiga iunganishwa na TPB kutokana na kushindwa kujiendesha yenyewe sasa ni zamu ya TWB. Hali ya taasisi za kifedha kuunganishwa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Salaam Wadau, Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa mada mbalimbali zinazokuja humu JF hasa za biashara na uwekezaji na nyingine nimechukua hatua moja mbele na kwenda kuzitekeleza...matunda si...
3 Reactions
125 Replies
14K Views
Wakuu kwayaliyo nikuta najuta kufanya biashara na ndugu yangu wakuzariwa kwa mama mmoja.
8 Reactions
40 Replies
10K Views
Kutokana na maharage kuwa chakula na mboga pendwa pamoja na mapishi yake ya kuchukua muda mrefu kuiva na pia kutumia nishati nyingi. Biashara ya kuuza maharage yakiyochemshwa na kugandishwa...
2 Reactions
46 Replies
14K Views
Asalaam wanabodi! Mm nina nyumba/vyumba vya kupanga takribani 20 ziko mjini kabisa na eneo zuri. Na takribani kwa mwezi na uwezekano wa kuingiza kipato kisichopungua sh laki 5 kinachotokana na...
2 Reactions
18 Replies
4K Views
Nimeshtuka leo kuona sasa na zile tulizoziita Giant Bank kama Bank M, nayo imechukuliwa na itasimamiwa na Benki Kuu, Kama Benki kubwa nazo zinakumbwa na mdororo wa ukwasi napata ukakasi huko...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu Kwa yeyote mwenye ufahamu kuhusu biashara tajwa hapo juu naomba msaada wa maarifa na mchanganuo wa namna ya kuganikisha. 1. Naomba kufahamu mtaji kiasi gani unafaa kuanzia ila...
1 Reactions
5 Replies
5K Views
Habari wakuu...nimeona nitupie hii issue yangu humu jukwaani kwani naamini JF kuna kusanyiko la wajuvi wa mambo mengi hivyo naamini nitapata suluhisho. Nimekuwa kwenye hii biashara ya kuprocess...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Naulizia wap naweza pata soko la madini ya rodlite na yanauzwa bei gan
0 Reactions
11 Replies
14K Views
Unajua najiuliza sana. Zamani, enzi za Nyerere na Mwinyi ambapo uchumi ulikuwa mdogo sana, bado tulikuwa na mashirika makubwa ya ndege ya kimataifa yakija na ndege zao hapa Dar es Salaam...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
nipo kijijini week ya pili hii. nilikuwa nataka kununua bidhaa flani ya nafaka. ila kitu ambacho kinanipa shida ni kuwa upimaji wa watu wa huku unasumbua. mfano nataka kununua ulezi wao hawapimi...
1 Reactions
23 Replies
9K Views
Naomba kupata maelezo kuhusu biashara ya kwenye mitandao. Jinsi ya kujiunga Jinsi ya kuifanya Jinsi ya kupata connection Mitandao ipi inaeleze kuhusu hii biashara Rgds Uduzungwa
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Nani ana takwimu za kiasi gani cha mapato kilipotea kwa maduka na biashara kufunguliwa saa 4 asubuhi kila Jumamosi Dar es Salaam kwa miaka 2? Nini adhali za kiuchumi kwa wafanyabiashara wakubwa...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Nina idea ndogo tu ya biashara inayoweza kutuingizia 500,000/= kwa kuanza tu Kwa mwezi then hadi 800,000/= tukiiboresha mbeleni huko. Mimi naishi DSM ila nasoma Dodoma, idea hii dhumuni langu...
0 Reactions
32 Replies
9K Views
Poleni na majukumu! Nahitaji blender isiyotumia umeme..badala yake inatumia solar! Je wapi naweza kupata? Naomben msaada wenu
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…