Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kwawale wafugaji walio jiunga instagram follow page yetu ujifunze namna ya kufuga ufugaji wenye tija
0 Reactions
2 Replies
877 Views
Habari zenu wakuu .....naomba niende moja kwa moja kwenye mada ...juzi juzi nilikuwa nasoma investments habari nikabahatika kuona kumbe unaweza kukopa nikaclick then nikapewa contact pamoja na...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Wakuu, habari za weekend! Hv kuna mtu anajua app au web yyt ambayo mtu anaweza kuitumia ili kutrack simu iliyoibiwa kwa kutumia imei number?
1 Reactions
6 Replies
4K Views
za mda huu wakuu... katika kuhangaika huko na kule kutafuta mtaji hatimae nimefanikiwa kupata iko kias kidogo,, biashara gani inaweza kunitoa?? ndugu zangu tuweke utani pembeni nipo serious...
4 Reactions
63 Replies
10K Views
wanajanvi mimi niko Moshi na nina kaincubators kangu sasa nilitaka kuanza biashara ya kutotoresha vifaranga na kuwauzia wafugaji mtaani kwangu, sasa nashindwa kujua ni wapi nipate kuku parents wa...
0 Reactions
11 Replies
9K Views
Wadau habari, natamani kufanya biashara ya urembo, kununua Dar to mkoani, sijui pa kuanzia nifanyeje? ?
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa, wanaoijua vizuri kampuni inayoitwa faidika au letshengo naomba ufafanuzi.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wadau kwa wanaohitaji asali bora kabisa original tutafutane inbox. Parking zetu ni 1 kg na 500 g Bei ni elfu 10Kwa kg na elfu 5 kwa 500gm. Ukihitaji kwa ndoo pia tuwasiliane. Nicheki tu inbox...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu wa JF, Kwanza natangulia shukrani kwa uongozi wa JF kwa kutupatia na sisi wajasiliamali fursa ya kujadiliana na kupeana uzoefu wetu humu. Baada ya shukrani nawataarifu kuwa tunauza...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mmiliki wa mtandao wa Kijamii, Facebook amepoteza zaidi ya Dollar Billion 15 ndani ya dakika 5, ambazo ni zaidi ya Bajeti ya Tanzania kwa mwaka wa fedha 2018/19 Amepoteza kutokana na kufanya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Jaman wanajamvi habarini za humu; naombeni maelezo na habari yeyote na mambo ya kuzingatia kwa mtu anayeifahamu baraidi vizuri tayari. Nina mpngo wa kuhamishia biahsra zangu ndogo ndogo bariadi...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Katika kuendelea kusogeza huduma zake kwa wananchi zaidi na kutoa masuluhisho ya kifedha, Benki ya Azania leo imezindua huduma mbili mpya maalumu kwa ajili ya wastaafu kutoka katika mashirika...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Nina laki tano , ila sijui nifanye biashara gani niweze kuizungusha .. Naombeni mawazo yenu wanajammvi ... Nashukuru
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu salama! Najaribu kutafakari wazo la Biashara ambayo nitakuwa natoa huduma kwa wenye maduka ya reja reja. Naomba mwenye uzoefu anisaidie wazo au kudadavua ni huduma gani hapo ulipo ambayo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ningependa kujua gharama ya kuanzisha mashine za kukoboa na kusaga nafaka +kinu cha kusaga na motor ake hp +kinu cha kukoboa na motor ake 24hp +gharama zake inakuwaje na zinapatikana wapi kwa bei...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana bodi! Leo naomba tuangalie miongoni mwa sababu za kwa nini biashara nyingi kushindwa kubaki sokoni kwa ndani ya miaka mitano japo biashara nyingi huenda hata hii miaka mitano ikawa...
9 Reactions
8 Replies
4K Views
ndug naomba msaada katika hili, niko na account yangu ya kawaida tu nimefungua crdb ila siku za karibuni nimepata wageni wangu wa njee ya nchii wamenipatia usd kias kama usd 2000. Sasa naomba...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Viazi lishe ni aina ya viazi vitamu vyenye very high carotene na fibres with Vitamin A Vinasaidia mtoto kutokudumaa . pia huongeza uwezo wa nguvu za kiume yaani more fire kurudisha heshima...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hii habari Nimeisoma zaidi ya mara tatu bila kuchoka kwani mahudhui yake yamekonga sana moyo wangu. Huyu ni kijana mwenzetu ambaye tumebahatika kumuona (aidha kwa macho,au hata kumsikia) kwa namna...
4 Reactions
25 Replies
5K Views
Waungwana habari zenuu..... Najua jambo likiletwa huku hakiharibiki kitu maana huku wapo watu wakila namna.... Niende moja kwa moja kwenye key point... Nataka kuanza kuafanya biashara ya dagaa...
2 Reactions
32 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…