Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari za majukumu wakubwa na wadogo.. Niliwahi kuishi Kigoma karibia miaka miwili,.. Kwa bahati nzuri kipindi nahama niliuza vitu vyangu vyote vya ndani ispokua kitanda na godoro tu. Lakini...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
UNDP inaendelea na tafsiri kwamba maendeleo ya watu ni kutanuka kwa machaguo. Uhuru na uwezo ni maeneo yenye tafsiri pana kuliko mahitaji ya lazima. Hapo maana yake ni kwamba maendeleo ya watu...
0 Reactions
0 Replies
769 Views
Napata wakati mgumu kuelewa, hizi bank ukienda kuuliza riba ya mkop wa kias flan ni sh ngap.. Wanakujibu kwamba ukichukua kiasi flan let say 13m rejesho lake ni kiasi flan.... Bila kukuambia...
3 Reactions
152 Replies
67K Views
[emoji666]Ipo mahungu-jijini dodoma [emoji666]kiwanja chake kimepimwa(ukubwa wa square metres 450) [emoji666]Ina vyumba vitatu vya kulala,kimoja kikiwa ni master. [emoji666]Ina...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kwema Vijana Wenzangu ? Unajua kuna wakati ni lazima tukubaliane na ukweli kuwa Vijana wa Tanzania tumetelelekezwa na viongozi wetu, na itakuwa ni jambo baya zaidi kama tutatelekezana wenyewe pia...
7 Reactions
171 Replies
13K Views
Habari wakuu je ni wapi naweza kupata mkopo wa haraka wa million moja na nusu m1.5 kwa dhamana ya million 3 msaada wenu tafadhali Locatio:Dar es salaam Vitu vya dhamana 1.washing machine...
0 Reactions
7 Replies
983 Views
Kuna mobile application nataka kutengengeza. Nahitaji developer mwenye uzoefu kwa ajili ya kushirikiana nae. Awe na muda na yuko based dar es salaam. Please pm ili tuwasiliane.
0 Reactions
2 Replies
949 Views
Milk and honey nourishing gold sugar scrub -Hii ni scrub maalumu yenye mchanganyiko wa maziwa na asali. -hii ni body scrub na kazi yake ni kuondoa seli za ngozi zilikufa na kuucha mwili wako ukiwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Simu ni 100% new na original Cont: 0684050718 Nipigie au nitumie message tuyapange
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Assalam wana jukwaa kichwa chajieleza, nina mzigo mkavu/cargo upo DSM lengo ni kuusafirisha hadi mikoani hivyo nahitaji magari makubwa yanisafirishie. magari yawe na sifa zifuatazo i/makubwa yenye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari Kuna shati nazipenda sana ila sijui wapi naweza kupata. Yoyote mwenye uelewa naomba anielekeze wapi ntapata
0 Reactions
2 Replies
2K Views
habari wanabodi napenda kukaribisha madalali na wamiliki wa vyumba na wengineo wote ili nipate chumba , eneo ninalotaka mikocheni, oysterbay au kinondoni ili niwe karibu na eneo la kazi , chumba...
0 Reactions
6 Replies
897 Views
Habarini wakuu Kama wiki zimepita mimi na mwenzangu tumeanzisha biashashara ya kusambaza nafaka sasa tumepata tenda la kusambaza kama tani 5 hivi na mtaji wetu ni mdogo hautoshi hivyo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wazee huyu jamaa inaonekana kuwa amejipanga sana kibiashara kutokana na wingi na aina ya matangazo yake. Nani amjua mwenye biashara hii kubwa na muhimu ya NEEL salt?
4 Reactions
127 Replies
31K Views
Dada anataka kufanya Biashara,naweza kumchukulia 1m kwenye kicoba. Lakini Marejesho ni baada ya miezi 3. Je afanye biashara gani ambayo at least ataweza kulipa marejesho. Wale wa mizaha bora...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani huu utaratibu wa benki kukopesha watumishi kupitia simu (mobile) haukiuki utaratibu uliowekwa na serikali wa 1/3 ya mshahara wa mtumishi ,utaratibu wa ukomo wa kukopa unafuatwa ?kama kuna...
0 Reactions
2 Replies
649 Views
Habari wadau Nina Mashine ya popcorn mpya inatumia umeme! nahitaji mtu wa uifanyia kazi. Awe mwaminifu. Nipo Lushoto Tanga. mahali pa kazi sio lazima huku maana huku mim nipo kwa muda...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi kumekucha salama? pole na hekaheka za maisha. Naomba kujua naweza pata wapi elimu juu ya water recycling kwasababu nataka kuingia kwenye ufugaji wa samaki hapa Dar, kwa kutumia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wadau,naomba ushauri kidogo,ukiwa mfano umekodisha frame na ukaamua kufungua au kuweka bidhaa za matunda,spices na mbogamboga,Je ni vibali gani utahitajika uwe navyo?msaada kwa anayejua...
0 Reactions
25 Replies
12K Views
Habari ndugu zangu tafadhali tujuzane juu ya biashara ya machine ya kukoboa na kusaga nafaka. 1.Mashine yenyewe; kiwango cha chini kabisa cha fedha cha kuweza kununua machine yenye tija ...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…