IliyotanguliaIfuatayoOriflame for YOUR DreamsYAJUE MAFUTA YA AJAB KWA JINA LA WONDER OIL.Bidhaa hii ya wonder oil imetengenezwa Na virutubisho maalum vya kutunzia ngozi zetu, ikiwemo:Mafuta ya...
Kuna fremu ya familia ilianzshwa biashara
Ila biashara ikawa inafilisika kila xku...na sababu kuu ni;
1.Muingiliano wa usimamiz(kila mwanafamilia alkuwa ni muhusika)
2.matumizi ya hela(kila kitu...
Wadau nlikua nafikiria kua wakala wa moja ya makampuni ya sports betting,, sema sasa makamouni yapo mengi mtu ambae yupo mzoefu na kampuni bora ya kubet ambayo ina incentives nzuri ansaidie...
habari wana jf naomba kupata elimu juu ya namna ya kufanya vat ruturn online endapo kampuni inafanya mauzo, na endapo kampuni haifany i mauzo yeyote yaani haizalishi.
elimu hii itawafaa na wengine...
Wakuu kichwa cha habari chahusika.
Nataka kufahamu kwa nini bidhaa za ki electronic za kampuni ya Apple ni ghali sana, kuanzia simu, ipad desktop nk. Kwa nini ni ghali ukilinganisha na zinazotumia...
Habari za mchana wana forum.
Nisiwachoshe na maandishi mengi; mimi ni kijana ambaye nina uzoefu kidogo na miti na matumizi yk nipo dsm kwa sasa kwa mapumziko ya mwezi hapa nilikuwa nataka...
habari wadau..
nawaza tu kwa maoni yangu haya mashindano yangefutwa tu. yana bajeti kubwa sana huku impact yake kwenye jamii ni ndogo sana..
nimeona miss morogoro mshindi wa mkoa tu kapata ist...
Habari wadau,
Natafuta wazo la biashara, nataka kuwekeza mtaji wa kati ya 5m - 15m na baada ya mradi kusimama niweze kupata kipato sio chini ya laki 5 kwa mwezi baada ya kuondoa gharama za...
Habari za majukumu wakuu...
Nimekua na mawazo sana ya kutaka kufanya hiyo shughuli ya uuzaji wa samaki lakini sio mimi binafsi ni kumpa mtu mwengine.
Sasa kinachomifanya hadi leo sijapata...
wakuu habari, wenye ujuzi kuhusiana na biashara hii ya ku print flyers,posters,labels, packaging , bronchures,outdoor banners na mabango ya matangazo ya aina zotenaomba afunguke hapa kwa manufaa...
Ethiopia nchi ya wakaazi 100, 000 wengi wao hawana account za benki tena si matajiri wa pesa kubwa kubwa, perfect market for MPESA to suceed... Naona Ethiopia ikiipiku Kenya kwa numbari ya wateja...
Habari zenu wapenzi
poleni na majukumu ya kutwa nzima, Nauliza; nataka nianze kurusha vocha za airtel maeneo ninayoishi ,je nawezaje kujiunga na hio hudumu kwa line yangu ya Airtel ya kawaida...
Yaani kuna Madirisha 6 lakini kuna teller mmoja tu naye anafanya kazi polepole kama kaajiriwa jana. Wafanyakazi wengine wapo tu wanalanda landa tu kila kona
Cha kushangaza ni kwamba mtu akifika...
Kushirikishana sio vibaya, toka nimeajiliwa huu mwaka wa nane sasa, sijawahi pandishwa dalaja. Nina mradi wa kuku na biashara nyingine ndogondogo tatu, nikijumlisha mapato yake ni mara mbili ya...
Wakulima wa Mahindi wanahaha hawajui cha kufanya. Wanavuna miezi hii lakini bei ni mbaya sana kulingana gharama za uzalishaji.
Kwa wakulima wa pale Mbeya Farm price ni sh 150/=kwa kilo au kwa...
Mfano.
Nisahihi injinia kuacha fani yake nakwenda kufanya biashara ya mbao?.
Au daktari kuacha fani yake na kwenda shamba kulima?.
Maoni yenu tafadhali.
Heshima kwenu wakuu, nina business idea ambayo itawafaa sana makampuni ya simu namaanisha kama vile Tigo, Vodacom, Airtel au TTCL. Nahitaji msaada wa kuelekezwa ni kwa namna gani naweza...
habar za muda huu wadau
mko powaaa??
twende kwenye mada sasa
hivi karibuni nimefanikiwa kufungua duka seem fulani chaajabu ni kwamb biashara sio nzur kwa upande wangu while majiran zangu...