Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kulingana na usawa huu ulivyo, na jinsi kipato kilivyo kigumu upatikanaje wake na hata kinapopatinakana hakikidhi mahitaji na hapo hapo unahitajika uweke akiba i wonder how is it possible kwa...
13 Reactions
86 Replies
12K Views
Kama kichwa cha habar kinavojieleza hapo Je ni watanzania wangap ambao wamechukua hatua ya kutalii kwa maana ya kupanda mlima kilimanjaro kama part ya adventure na kivutio. Watanzania tuna moyo...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Wadau, Ni ukweli ulio wazi kwamba kwenye nchi yetu ya Tanzania karibu kila wilaya kuna madini ya aina fulani yenye thamani. Wakuu ninaomba tubadilishane uzoefu katika eneo hili. Ni aina gani ya...
2 Reactions
74 Replies
22K Views
“ILI KUPATA FEDHA LAZIMA UWE NA KITU CHA KUUZA.” Bila kumung’unya maneno, nafikiri wote tutakubaliana na tafsiri ya fedha kama njia ya kubadilishana bidhaa au huduma baina ya mtu mmoja na...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Poleni kwa majukumu wapendwa,kama kichwa cha habari kinavyojieleza kwa yoyote analelewa bakery kubwa ya kutengeneza bidhaa(bite) kama mikate na kuendelea katika jiji la dar tofauti na hizo bakery...
2 Reactions
37 Replies
9K Views
Hii ni kwa wanafunzi walioko vyuoni ni nafasi nzuri ya kufanya kwa vitendo yale tunayosoma darasani. Jiunge sasa kwa kupiga *150*36# (tigo) ambapo utapatiwa sh. millioni moja (virtual money)...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana jf, Mimi ni mkazi wa dodoma (nje ya mji), naomba kuuliza kwa yeyote mwenye ufahamu kuhusu biashara ya bidhaa tajwa hapo juu Maswali yangu ni kuwa 1.dozen ya mifuko ile black...
1 Reactions
60 Replies
25K Views
Habari ya mchana wakuu Nahisi kuchanganikwa hapa, nimefungua biashara hii week ya tatu tangu tuanze, ila naona imedorora sana, pesa iliyopatikan ni ya kulipa watumishi tu,hivi hii ni kawaida kwa...
1 Reactions
27 Replies
5K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Neutral The market went upwards last week, to test resistance line at 1.2450; a level from which a bearish correction was...
1 Reactions
3 Replies
553 Views
Neno FAIDA linasikika sana katika masikio ya watu kila siku, ni kati ya maneno ambayo hata kutamkika kwake ni rahisi. Kutokana na sababu hii watu wanavutwa sana wanaposikia kuwa faida inapatikana...
1 Reactions
1 Replies
5K Views
nina wazo zuri kabisa na nimeliandika la kuanzisha kiwanda cha juisi ambayo ninaimani inahitajika sana tu ila shida mwenye mtaji wa kumshirikisha (wafanyabiashara wakubwa) nani nimuone maana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna Baadhi ya watu kumbe umasikini sometimes upo kwenye damu .. Hebu Angalia haya majibizano kati ya muuzaji wa magari na mteja.. Gari ilikuwa inauzwa Mil 7(fixed) kaandika muuzaji wateja...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
No1: Hakuna biashara nzuri wala mbaya. Taarifa sahihi ya kile unachotaka kufanya ni hundred times better kuliko mtaji na idea yako. Mara nyingi unaweza kuwa uko-stucked mahali fulani kwa sababu...
25 Reactions
29 Replies
5K Views
Habari wanajamii. Nimekuwa na shauku kubwa sana ya kuwekeza katika amana na dhamana hasa za serikali. Lakini nimekuwa nikipigwa danadana na watu wa kati ambao ni CRDB Bank. Mwezi Januari nilitaka...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Habar za humu wakuu. Naombeni ushauri ni ipi njia mbadala ingine itakayoweza kunitoa kimaisha. Nahitaji kutokana na fikra ya mkopo.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
THE Fair Competition Commission (FCC) has seized counterfeit products worth 39.3m/- in an operation in Mwanza city between May 29, 2016 and June 2, 2016. Speaking here yesterday, the FCC Senior...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Stori ya pesa na mafanikio ni stori ambazo zimekuwa zikizungumzwa kila siku katika maisha yetu. Stori hizi hazihitaji hata watu wawili kwani hata mtu mmoja mmoja peke yake anaweza kujipia...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nimekuwa nikijiuliza sana kwa nini makampuni makubwa kama ya magari mfano NİSSANİ,VOLVO,SCANIA na mengine ikiwa ni pamoja na mashirika makubwa ya ndege kama vile BRITISH AIRWAYS,AMERICAN...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu Ningependa kufahamu kwa wale wenye uelewa wa fursa za kibiashara zilizopo nchini uturuki karibuni tubadilishane mawazo, nategemea kwenda huko mapema mwezi wa tano kwa shughuli...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau nimepoteza till ya MPESA chip no 2 ya kufanyia miamala natamani kujua utaratibu wa kurenew na muda nitakaotumia mpaka kuipata, vigezo na viambatanisho muhimu vinavyohitajika.. Naomba Kusalisha
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Back
Top Bottom