Habari zenu wakuu
Mimi ni mjasiriamali lakini kwa sasa nina wazo jipya la kufanya Foreign Exchange(Forex) lakini kwa uchunguzi wangu nilioufanya siwezi kupata faida kama nitanunua bureau na...
Habari wana bodi,
Mimi ni mstaafu wa umma, katika maisha yangu nimekuwa na ndoto ya kuanzisha kampuni ya kuhuisha taka chafu na kwa sasa naona nina muda wa kutosha sasa kusimamia shughuli zangu...
MAGARI ya kifahari yaliyokwama kwa muda mrefu Bandari ya Dar es Salaam kutokana na waagizaji kushindwa kulipa kodi mbalimbali kwa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), yameanza kupigwa mnada huku kukiwa...
Wana bodi.
Nafikiri kila mmoja amesoma na kusikia taarifa ya BOT baada ya kufungia benki 5 kwa kushindwa kufikia mtaji wa Bilioni 2 kulingana na sheria zao.
Kilichoshangaza wengi ni kuwa wateja...
PDF Reports of The 47th World Economic Forum Annual Meeting Based On Travel and Competitiveness Index, Held on 17 - 20 January 2017 in Davos-Klosters, Switzerland (The 48th World Economic Forum...
CRDB wamepandisha riba ya junior jumbo; akaunti ya mtoto ni asilimia 4%.
Nafikiri hii ndo benki nzuri ya kumfungulia mwanao junior jumbo, nasikia iyo akaunti haina chaji kabisa withdrawal or...
Hi!
Hope you had very successful 2017.
I hope its your plan to achieve ISO 9001:2015 Certification for your organization in 2018. It is very possible.
Pangolin Quality Consulting Co. Ltd will...
Nina mtaji wa milioni 1. Naomba ushauri kwa anaefahamu kuhusu soko la nguo Uganda. Ukusantaji na namna ya kuingia na kutoka nchini Uganda.
Kiukweli sijawahi enda nchi za nje.
Asante sana
Habari wakuu, naomba mwenye ujuzi na mambo ya fedha anisaidie.
Kuweka fedha benk katika akaunti ya muda maalum(fixed account) au kununua hisa kipi kinaweza kuwa bora zaidi kwa malengo. Ushauri...
TENGENEZA FAIDA KUBWA KWA KUWEKEZA NA BITCLUB ADVANTAGE*
BITCLUB ADVANTAGE
*IFAHAMU BITCLUB ADVANTAGE*
HII ni kampuni ya kimataifa inayofanya biashara ya ubadilishaji wa fedha dijitali (crypto...
Habari zenu wadau!
Nina kiulizo hapa kwa wale wajuao mambo, pia naamini siwezi kuwa peke yangu nisiyejua, wapo hata wasiojua ninachouliza ni nini, huenda nao wanaweza kujifunza
ikiwa Bitcoin...
Mwishoni mwa mwaka 2017 waziri wa fedha na mipango FILLIP MPANGO alitoa agizo la matumizi ya shilingi ya Tanzania katika huduma na ununuzi wa bidhaa kwa wananchi. Agizo hilo lilitegemewa kuanza...
Mwenye uelewa na hizi biashara za network marketing naomba anipe in and out ya biashara hii maana nimekuwa nasikia watu wengi sana kuwa huwa wanajiunga.
1) Hii mifuko huwa inaukweli wowote kwamba...
napenda kwashirikisha wanajamii hili suala la mikopo kwenye mabenki yetu hapa Tanzania.siku hizi ukienda kuomba mkopo benki utapewa masharti kama tulivyozoea,ila kinachonikera ni tabia hii ya...
Mhe. Charles J. Mwijage (Mb) Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji amekabidhi mradi wa kujenga Industrial Sheds kwa Mkandarasi JKT mkoani Simiyu tarehe 2 Jan, 2018. Mradi huu ni mahususi...
Wakuu salaam,
Kama mada inavyosema nina gari zangu mbili zipo tu hazina shughuli. Moja ni Ti Carina na nyingine ni Spacio new model, sitaki kuwapa madereva wa mtaani maana sitaki usumbufu...