Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari wakuu, Hizi ni baadhi ya njia ambazo unaweza kuzifuata ili uondokane na madeni mwaka 2018. Madeni ni chanzo cha umaskini na kuua biashara za vijana wengi. Pia athari kama magonjwa ya moyo...
5 Reactions
2 Replies
5K Views
Hello waungwana. Natamani sana kujiajiri hususani kufanya biashara ya kutengeneza juisi na vyakula... Napenda mwaka 2018 nisajili biashara yangu na Kumiliki brand yangu binafsi ila bado sina...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Salama wakuu? Mitaani kuna mazungumzo kibao kuhusu fursa zilizo wazi mjini au nje ya mji wa Dodoma. Napenda kunufaika na mojawapo ya fursa hizo mjini au nje ya mji. Napenda kuzijua na pia kuteua...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba ushauri watanzania wenzangu Mimi.nafanya biashara ndogo ndogo. Kama kuuza matunda,mbogamboga,lakini mtaji wangu haukui naona kipato ninacho pata kinaishia kununulia vitu vya kigenge...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama uzi unavyojieleza vitabu vinavyowabadilisha watu na maisha Yao hi hivi, think and grow rich,, retire young retire rich, the millionaire, rich Dad poor dad. Kama na wewe una vitabu...
8 Reactions
42 Replies
7K Views
Mfinyo wa upatikanaji wa hela na mzunguko wa hela ukiwa mdogo husaidia kundi la watu wengi kutafuta pesa kwa bidii na kujituma
0 Reactions
1 Replies
718 Views
Mwenye full details za hawa jamaa aniandikie tafadhali. Kuna jamaa yangu kajitosa huko eti unawatumia hela kiasi kama yeye kawatumia laki mbili km mtaji then baada ya wiki wamlipe laki moja, wiki...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
The Rt. Rev. Benson K. Bagonza, bishop of the Karagwe Diocese, Evangelical Lutheran Church in Tanzania (ELCT), shared stories of impoverished people in Africa with more than 25 Christian, Jewish...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Salaam wanajamvi, Jamani naomba mnipe ushauri kutoka kwenu hasa kwa wale waliofanikiwa kimaisha. Kwanza naweza sema hapa Tanzania kusoma sana ndo kuukaribisha umasikini tu. Kijana mimi wa...
47 Reactions
231 Replies
30K Views
Habari wanajamvi, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 33,mwanafunzi wa chuo kikuu huria mwaka wa pili (BED P&M), ninayo familia ya watoto watatu,nimebahatika kujenga na ninaishi kwangu (Dar) japo...
6 Reactions
19 Replies
2K Views
DON'T BE ASHAMED TO START SMALL. Dont wait till you have so much to start. Remove your pride,start where you can & be passionate & patient with it. Just because you start small does not mean you...
6 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakati fulani dunia hii ilikuwa karibu nusu ya simu zote za mikononi ni NOKIA...walilishika soko la dunia nzima Hata Iphone zilipoanza ilikuwa inasemwa Iphone wanauza simu za mwaka mzima ambazo...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Wadau nipo kwenye biashara ya Hardware mwaka wa pili sasa, mwanzo biashara ilikuwa poa mpaka nikawa najisemea biashara ndiyo hii! Hali imechange sana mwaka huu japo mwaka jana hali ilianza...
7 Reactions
51 Replies
5K Views
Habar wana Jf Zikiwa zimebakia siku chache tuuage mwaka 2017 naomba ni-share Move kali na nyinyi ambayo nimeitizama bila kuchoka mwaka 2017 THE BOURNE IDENTITY Hii move imeelezea uhalisi...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Wiki lililopita kunekuwepo na trend ya habari kwenye media kuwepo na msururu mkubwa wa magari yakitikea sehemu mbalimbali kurejea arusha na Kilimanjaro Watanzania walio na fikra ya kuona...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wadau napenda kuja mbele yenu kuomba msaada wa namna ya KUINGIZA simu used na mpya toka nje ya nchi km China na Korea .Mtaji ninao wa kutosha ila sijui km makadirio ya TRA yanakuaje kwa simu used...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tanzania has recorded a sharp decline of fish stocks in the Indian Ocean, blamed on the use of dynamite fishing and overfishing.
0 Reactions
0 Replies
836 Views
Habari wakuu nilikuwa na tatizo kuhusu paypal yangu mara kwa mara na-receive refunds kutoka kwa sellers lakini endapo nikienda kuangalia hiyo pesa kwenye Bank account yangu sioni kitu naombeni...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu kama uzi unavyojieleza apo vipi zanzibar Kuna Lipa? Kama una uzoefu na mazingira ya zanzibar kuhusu biashara tupeane news asanteni
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…