Habari za saizi wadau nataka watu watano wajitokeze tufungue kampuni ya udalali itakayo kuwa inaendeshwa kimtandao na kiprofessional ambayo itajihusisha mpk na utengenezaji wa mikataba kwa mateja...
Habari wana JF!
Ninataka kununua basi kubwa la abiria 41 kwa ajili ya usafiri wa daladala hapa dar kutoka kampuni ya eicher. Naomba kujulishwa namna ya kupata TLB kwa sasa, je kuna usumbufu...
hii ni kwa wanawake na wadada wa jf
nina jambo nataka kuwashirikisha hasa wanawake wa jf kama watapenda kuwa tayari katika kujisajiri katika group la women issues basi wasisite kujitokeza na...
NAJIHAMI
NAHITAJI MSAADA/MAWAZO SIO KEJELI
NILIAGIZA MZIGO TOKA CHINA NA KUSAFIRISHA KWA UPS NA UMEFIKA NA KUGOMEA BANDARINI/TRA.ULITAKIWA UFIKE MOROGORO
LEO TAREHE 11/04/2017 NIMEPOKEA SIMU...
Nimekuwa katika vibati viwili tu kwa maisha yangu, niliviacha haraka sana.Sijui nilikuwa kwa vibati sio au ila tokea hapo nimeacha kabisa kucheza vibati.
Vibati vina faida sikatai ila kuna hasara...
Habari wana jF,
Mimi ni kijana baada ya kukaa sana mtaani bila kazi ya kueleweka japokuwa nina kijielimu kangu kutoka college moja hapa mjini nimeamua kuja na wazo langu la biashara kwa ajili ya...
Wadau naomba kuwasilisha ufafanuzi juu ya suala la mchanga wa dhahabu (makinikia). Tunaweza kujifunza kitu hapa. Bonyeza link hii kupata You Tube video...
Katika hali isiyo ya kawaida tangu mwezi huu wa nne uanze bei ya sukari imepanda ghafla kwa taarifa za kwamba sukari haipatikani. Katika hali ya kushangaza siku ya jumapili nimenunua sukari bei...
Meneja wa SIDO Mkoa wa Mtwara, ndugu Joel Chidabwa akiwatunukia vyeti wahitimu wa mafunzo ya ujasiriamali na matumizi ya vipodozi kwa wanawake wa mkoa wa Mtwara. Ndg. Chidabwa alifunga rasmi...
Nimeshangaa sana nilivoenda TRA kupata leseni ya biashara nikaambiwa lazima nilipie kwanza Mashine ya EFD ndiyo nipate leseni!! NAAMINI katika kulipa kodi lakini huu utaratibu siyo mzuri kwani...
Habari zenu wana JF.
Nina eneo jirani kabisa na vyuo na hapo kunahuhitaji mkubwa wa vyumba vya kulala. Nina ndoto za kujenga hostel yenye uwezo wa kurudisha pesa haraka lakini changamoto...
Hakuma Jambo linakera Kama Mtu afanye Ujinga Kwnye Technologia .
ulishawahi nunua App Kutoka Store yeyote halafu Unakuta ni Fake.
Basi mm najihisi nimepakua Application Fake kutoka Vodacom...
GOLD (XAUUSD)
Dominant Bias: Bullish
Gold is now a bull market, which is supposed to continue for some time. The bullish trend that has started on Gold since the beginning of this year came...
Heshima kwenu wakuu.
Natumai mnaendelea vyema kabisa. Bila ya kupoteza muda nimeskia tu juu juu kuhusu hii biashara nikasema ngoja nije hapa Home of Great Thinkers siwezi kukosa maelezo ya...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bearish
In the context of a downtrend, this pair moved sideways from Monday till Friday, trending south on Friday. Price closed...