Shirika la Ndege Tanzania ‘ATCL’ kupitia kwa Mkurugenzi Mkuu, Ladislaus Matindi amesema kuwa wamekusanya kiasi cha Sh. BILIONI 9 kwa kipindi cha miezi minne tangu ndege mbili za Bombardier Q400...
Habari ndugu wana JF
Mimi kutokana na maisha kuwa magumu nafikiria kuacha chuo ili nijihusishe na uzalishaji Mali.
Nazungumza haya kutokana na kauli ama ushauri wa POLEPOLE kwa wanachuo waliokosa...
Habari, Ninaomba msaada wa kujua gharama za na aina nzuri ya mashine za kuamua alizeti. Aidha naombwa kufahamishwa gharama za uendeshaji zikoje ?. Nimeona fursa hii nataka kujikita katika...
Naomba niilete mezani hii mada ili iwasaidie na wale wanunuzi wa bidhaa eti kati ya ebay na aliexpress ni upi unapata bidhaa yako mapema?
Yaani kukutumia mzigo unakufikia kwa muda mchache na...
Wakuu
Tumezoea kusikia ebay, alibaba/aliexpress, na amazon jee hamna tovuti nyingine ambazo tunaweza kufanya manunuzi onlinr
Ningependa tuzifahamu na ambazo huwezi kulizwa na ambazo zinatuma...
Ninachoamini ukiwa karibu na watu wenye Changamoto,naamini na wewe utapata changamoto na kujijenga ubaadae wako ila ukikaa kwa wapenda starehe nawe utapenda starehe sana
Sina chochote cha...
Mimi ni mkazi wa wilaya ya Chunya,
Nategemea kuanza kuotesha miti na maua kwa ajili ya biashara. Je, inaweza kuniletea tija? Pia ni vitu gani muhimu vya kuzingatia?
NATEGEMEA MAWAZO YENU
(Bloomberg) -- Vodacom Group’s Tanzanian unit is considering asking market regulators to extend the deadline of its initial public offering and allow foreign participation because it’s...
Watu wengi wana maswali ya ziada ni kwanini Bei ya hisa za Vodacom ni Shilingi 850 kwa kila hisa?
Bei hii ya hisa ilifikiwa baada ya wakurugenzi wa Vodacom kuafikiana pamoja na mshauri mkuu kwa...
Salaam Wadau,
Kwa wakandarasi wa wa Ujenzi daraja la kwanza hadi la saba ambao hawana wataalamu/utaalamu, napenda kuitambulisha kampuni yetu kuwa tuna wataalaamu wanaoweza kusimamia miradi ya...
Habari wana jf.
Wanajf, ninashida ya tsh 100,000 ya
haraka sana Kama Kuna member
anayeweza kunikopesha kwa riba
mimi nipo tayari.
Namba yangu 0689631083.
Mungu awabariki.
Niliwayi kusema si kila mtu anapenda kujiajiri ila ni matokeo tu ndo usababisha watu na wasomi wanazuoni kuamu kujiajili. Ukitaka kujua hilo ebu angalia jinsi dunia ilivyo leo Wenje naye anaumia...
wakuu wa Arusha/Moshi ningependa kuwafahamisha kuwa nafikiria kufungua ofisi mojawapo ya miji hiyo,mimi ni mchaga lakini nimeishi nje ya hiyo miji kwa muda mrefu sana,
naombeni info kuhusu hali...
Habari za jioni wadau!
Niliwahi kuandka hapa jukwaan kuelezea kuhusu kuhitaji mtu ambaye tunaweza anzisha tuition centre. Nimepata mtu lakini naona hayuko serious, kwa post hii naomba watu walio...
Habari za leo wanajamvi.
Nina malengo ya kuanzisha biashara ya kununua chuma chakavu na makopo ya plastic. Naomba mwenye uelewa wa hii biashara anisaidie mawazo yake na mchanganuo wa hii biashara...
Samahani,
Ukiachana na hii rate ya saivi ambayo ni 30% iliyowekwa mwaka Jan kutoka 25%. Ningependa kujua kama kuna mtu anajua ni rate ipi ilitumika kulipia import duties kwa metal kuanzia miaka...
Kama inavyojieleza hapo jipatie nyumba ya vyumba vitano IPO Arusha ,field force .
Kiwanja chake ni 20 kwa 20 unaweza pitia Ngusero au Field force .
Serious buyer PM
Yanayoendelea kutokea ni muendelezo wa yale mliyoyanyamazia juu ya wengine kwa kipindi kirefu.
Hakuna kitu kinachoota bila kupandwa mbegu yake, sasa hivi hii ni mbegu iliyokuwa imepandwa na ndio...
Myenye kufahami hii ya Biashara ya imekaaje?!
Natafuta Mwekezaji (business partner) ambaye atapata faida ya laki 5(50%) baada ya kuwekeza Million 1 kwenye biashara yangu yenye leseni , TIN na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.