Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Shirika la Ndege Tanzania ‘ATCL’ kupitia kwa Mkurugenzi Mkuu, Ladislaus Matindi amesema kuwa wamekusanya kiasi cha Sh. BILIONI 9 kwa kipindi cha miezi minne tangu ndege mbili za Bombardier Q400...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari ndugu wana JF Mimi kutokana na maisha kuwa magumu nafikiria kuacha chuo ili nijihusishe na uzalishaji Mali. Nazungumza haya kutokana na kauli ama ushauri wa POLEPOLE kwa wanachuo waliokosa...
0 Reactions
48 Replies
7K Views
Habari, Ninaomba msaada wa kujua gharama za na aina nzuri ya mashine za kuamua alizeti. Aidha naombwa kufahamishwa gharama za uendeshaji zikoje ?. Nimeona fursa hii nataka kujikita katika...
0 Reactions
3 Replies
926 Views
Naomba niilete mezani hii mada ili iwasaidie na wale wanunuzi wa bidhaa eti kati ya ebay na aliexpress ni upi unapata bidhaa yako mapema? Yaani kukutumia mzigo unakufikia kwa muda mchache na...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakuu Tumezoea kusikia ebay, alibaba/aliexpress, na amazon jee hamna tovuti nyingine ambazo tunaweza kufanya manunuzi onlinr Ningependa tuzifahamu na ambazo huwezi kulizwa na ambazo zinatuma...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Ninachoamini ukiwa karibu na watu wenye Changamoto,naamini na wewe utapata changamoto na kujijenga ubaadae wako ila ukikaa kwa wapenda starehe nawe utapenda starehe sana Sina chochote cha...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Mimi ni mkazi wa wilaya ya Chunya, Nategemea kuanza kuotesha miti na maua kwa ajili ya biashara. Je, inaweza kuniletea tija? Pia ni vitu gani muhimu vya kuzingatia? NATEGEMEA MAWAZO YENU
0 Reactions
1 Replies
2K Views
(Bloomberg) -- Vodacom Group’s Tanzanian unit is considering asking market regulators to extend the deadline of its initial public offering and allow foreign participation because it’s...
0 Reactions
0 Replies
995 Views
Watu wengi wana maswali ya ziada ni kwanini Bei ya hisa za Vodacom ni Shilingi 850 kwa kila hisa? Bei hii ya hisa ilifikiwa baada ya wakurugenzi wa Vodacom kuafikiana pamoja na mshauri mkuu kwa...
2 Reactions
33 Replies
6K Views
Salaam Wadau, Kwa wakandarasi wa wa Ujenzi daraja la kwanza hadi la saba ambao hawana wataalamu/utaalamu, napenda kuitambulisha kampuni yetu kuwa tuna wataalaamu wanaoweza kusimamia miradi ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wana jf. Wanajf, ninashida ya tsh 100,000 ya haraka sana Kama Kuna member anayeweza kunikopesha kwa riba mimi nipo tayari. Namba yangu 0689631083. Mungu awabariki.
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Niliwayi kusema si kila mtu anapenda kujiajiri ila ni matokeo tu ndo usababisha watu na wasomi wanazuoni kuamu kujiajili. Ukitaka kujua hilo ebu angalia jinsi dunia ilivyo leo Wenje naye anaumia...
0 Reactions
5 Replies
960 Views
wakuu wa Arusha/Moshi ningependa kuwafahamisha kuwa nafikiria kufungua ofisi mojawapo ya miji hiyo,mimi ni mchaga lakini nimeishi nje ya hiyo miji kwa muda mrefu sana, naombeni info kuhusu hali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za jioni wadau! Niliwahi kuandka hapa jukwaan kuelezea kuhusu kuhitaji mtu ambaye tunaweza anzisha tuition centre. Nimepata mtu lakini naona hayuko serious, kwa post hii naomba watu walio...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za leo wanajamvi. Nina malengo ya kuanzisha biashara ya kununua chuma chakavu na makopo ya plastic. Naomba mwenye uelewa wa hii biashara anisaidie mawazo yake na mchanganuo wa hii biashara...
1 Reactions
4 Replies
6K Views
RevenueBrust.com - Earn 10$ Per Referral Link Visit ! Earn 2000$ monthly from home
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Samahani, Ukiachana na hii rate ya saivi ambayo ni 30% iliyowekwa mwaka Jan kutoka 25%. Ningependa kujua kama kuna mtu anajua ni rate ipi ilitumika kulipia import duties kwa metal kuanzia miaka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama inavyojieleza hapo jipatie nyumba ya vyumba vitano IPO Arusha ,field force . Kiwanja chake ni 20 kwa 20 unaweza pitia Ngusero au Field force . Serious buyer PM
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Yanayoendelea kutokea ni muendelezo wa yale mliyoyanyamazia juu ya wengine kwa kipindi kirefu. Hakuna kitu kinachoota bila kupandwa mbegu yake, sasa hivi hii ni mbegu iliyokuwa imepandwa na ndio...
1 Reactions
2 Replies
709 Views
Myenye kufahami hii ya Biashara ya imekaaje?! Natafuta Mwekezaji (business partner) ambaye atapata faida ya laki 5(50%) baada ya kuwekeza Million 1 kwenye biashara yangu yenye leseni , TIN na...
0 Reactions
2 Replies
836 Views
Back
Top Bottom