Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Tunaomba Muheshimiwa raisi aige mfano wa Ghana kama tunataka kuinua uchumi wetu Kwa kutumia wafanyabiashara wetu na sio kuongeza kodi au kuwabana wafanyabiasha na kusababisha wengine kufunga...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
“Katika mafanikio ni ngumu sana kumzuia mtu anaejua wapi anakwenda na nini anakitafuta kwenye maisha yake ” Na Humphrey Gasper, Katika maisha watu wengi wanapenda kufanikiwa na sio kutafuta...
2 Reactions
2 Replies
5K Views
wakuu follow link kujiupdate kidogo,tuache story za vijiwe vya kahawa.
0 Reactions
1 Replies
868 Views
Kwa yeyote anaejua,naomba kufahamu vyeo(kwa majina) na mpangilio (hierarchy) katika kampuni. Tafadhali.
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Habari za leo rafiki yangu? Watu wengi wamekuwa wanajiunga na biashara ya mtandao (network marketing) wakiwa na matumaini makubwa sana ya mafanikio. Baada ya kupewa habari za biashara hiyo, na...
2 Reactions
1 Replies
7K Views
Ipakue bure kutoka Play Store na upate notifications za bure kwenye simu yako kuhusu mapunguzo ya bei na promosheni mbalimbali ndani ya nchi au nje ya nchi ( kwa wauzaji wa mtandaoni). DealsHunter...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini wana jamvi, kwa kuwa naamini jamvi hili ni jamvi makini na kwa kuwa najua hapa ni mahala pekee pa kupata misaada mbali mbali ya kujifunza,kupata uelewa na ustaarabu. Naomba kuuliza...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau naomba mnisaidie mahali nitakapojifunza namna nzuri ya kusoma data za secondary market kama DSE
0 Reactions
2 Replies
812 Views
Ndugu wana JF, Nimesukumwa sana kuleta hoja hii hapa mbele yenu baaada ya kuona ni namna gani Uchumi wa nchi unaendeshwa bila kuzingatia maslahi ya nchi. Kwa sasa Tanzania haina Bodi ya...
2 Reactions
30 Replies
9K Views
TANZANIA’S ARTIFICIAL HOUSING MARKET, HOW LONG WILL IT HOLD - DEBATE! In the aftermath of the Global economic meltdown, many economists and financial experts have been gripped with criticism...
0 Reactions
80 Replies
15K Views
Ufadhili katika miradi ya sanaa (Artistic projects) kwa kiasi kikubwa hukuza utamaduni wa jamii husika na Taifa kwa ujumla. Hivyo katika ukuzaji wa utamaduni wa jamii husika, taasisi zilizojikita...
1 Reactions
3 Replies
37K Views
Somo: KANUNI ZA MJASIRIAMALI: Mwl. Mbise, AJ E: mbisealex@gmail.com M: 0762730157 Wasalaam; Leo tuendelee na somo letu ambapo tunajifunza Kanuni za mjasirimali. Utakubaliana nami kuwa kila...
3 Reactions
4 Replies
5K Views
Pamoja na kejeli nyingi kwa wafanyakazi/waajiriwa wanaotegemea, bado uwezekano wa mfanyakazi kujikwamua kiuchumi upo akizingatia mambo kadhaa. Kubwa ni nidhamu. Unapokuwa na nidhamu ya mshahara...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Mauzo ya hati fungani katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) wiki iliyoishia tarehe 13 Aprili 2017 yameshuka kutoka thamani ya Shilingi Bilioni 12.1 wiki iliyopita hadi Shilingi Bilioni 6.9...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimepata pesa imeandikwa Bank of korea 1000won
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Tafadhari naomba kufahamishwa tofauti ya maneno Inc, Ltd na Co. yanapotumika kwenye majina ya biashara mfano Kwese Inc, Google Inc.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari za muda wanajamvi, Wahenga walinena Tahadhari kabla ya hatari au vilevile Kinga ni bora kuliko tiba, basi nami naomba nianze kutoa tahadhari kama ifuatavyo. Najua ni watanzania wengi...
34 Reactions
56 Replies
8K Views
HABARI WANAJAMVI ,KUTOKANA NA KUVUTIWA NA BIASHARA YA KUCHUKUA STOCK YA MAHARAGE NA KUUZA KWA JUMLA MIKOANI NA DAR ES SALAAM.NAOMBA WAZOEFU MNIDSAIDIE KUJUA JINSI HII BIASHARA INAVYO FANYWA NA...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Gazeti la The Citzen linapaswa kupuuzwa kwa kile ilichofanya kuandika kuwa kampuni ya Vodacom inapanga kuomba kuongezewa muda wa kuuza hisa zake kuwaruhusu wageni kununua hisa za Vodacom. Huku...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
Nimepata majengo ambayo nahitaji kufungua chuo cha utalii na usimamizi wa mahoteli na accounts. Sasa mahitaji ya sasa ni 1. Usajili 2. Katiba 3. Lesseni 4. Kodi Chuo hicho nataraji kuanza...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom