Tunaomba Muheshimiwa raisi aige mfano wa Ghana kama tunataka kuinua uchumi wetu Kwa kutumia wafanyabiashara wetu na sio kuongeza kodi au kuwabana wafanyabiasha na kusababisha wengine kufunga...
“Katika mafanikio ni ngumu sana kumzuia mtu anaejua wapi anakwenda na nini anakitafuta kwenye maisha yake ”
Na Humphrey Gasper,
Katika maisha watu wengi wanapenda kufanikiwa na sio kutafuta...
Habari za leo rafiki yangu?
Watu wengi wamekuwa wanajiunga na biashara ya mtandao (network marketing) wakiwa na matumaini makubwa sana ya mafanikio. Baada ya kupewa habari za biashara hiyo, na...
Ipakue bure kutoka Play Store na upate notifications za bure kwenye simu yako kuhusu mapunguzo ya bei na promosheni mbalimbali ndani ya nchi au nje ya nchi ( kwa wauzaji wa mtandaoni). DealsHunter...
Habarini wana jamvi,
kwa kuwa naamini jamvi hili ni jamvi makini na kwa kuwa najua hapa ni mahala pekee pa kupata misaada mbali mbali ya kujifunza,kupata uelewa na ustaarabu.
Naomba kuuliza...
Ndugu wana JF,
Nimesukumwa sana kuleta hoja hii hapa mbele yenu baaada ya kuona ni namna gani Uchumi wa nchi unaendeshwa bila kuzingatia maslahi ya nchi.
Kwa sasa Tanzania haina Bodi ya...
TANZANIAS ARTIFICIAL HOUSING MARKET,
HOW LONG WILL IT HOLD - DEBATE!
In the aftermath of the Global economic meltdown, many economists and financial experts have been gripped with criticism...
Ufadhili katika miradi ya sanaa (Artistic projects) kwa kiasi kikubwa hukuza utamaduni wa jamii husika na Taifa kwa ujumla.
Hivyo katika ukuzaji wa utamaduni wa jamii husika, taasisi zilizojikita...
Somo: KANUNI ZA MJASIRIAMALI:
Mwl. Mbise, AJ
E: mbisealex@gmail.com
M: 0762730157
Wasalaam;
Leo tuendelee na somo letu ambapo tunajifunza Kanuni za mjasirimali. Utakubaliana nami kuwa kila...
Pamoja na kejeli nyingi kwa wafanyakazi/waajiriwa wanaotegemea, bado uwezekano wa mfanyakazi kujikwamua kiuchumi upo akizingatia mambo kadhaa. Kubwa ni nidhamu. Unapokuwa na nidhamu ya mshahara...
Mauzo ya hati fungani katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) wiki iliyoishia tarehe 13 Aprili 2017 yameshuka kutoka thamani ya Shilingi Bilioni 12.1 wiki iliyopita hadi Shilingi Bilioni 6.9...
Habari za muda wanajamvi,
Wahenga walinena Tahadhari kabla ya hatari au vilevile Kinga ni bora kuliko tiba, basi nami naomba nianze kutoa tahadhari kama ifuatavyo.
Najua ni watanzania wengi...
HABARI WANAJAMVI ,KUTOKANA NA KUVUTIWA NA BIASHARA YA KUCHUKUA STOCK YA MAHARAGE NA KUUZA KWA JUMLA MIKOANI NA DAR ES SALAAM.NAOMBA WAZOEFU MNIDSAIDIE KUJUA JINSI HII BIASHARA INAVYO FANYWA NA...
Gazeti la The Citzen linapaswa kupuuzwa kwa kile ilichofanya kuandika kuwa kampuni ya Vodacom inapanga kuomba kuongezewa muda wa kuuza hisa zake kuwaruhusu wageni kununua hisa za Vodacom.
Huku...
Nimepata majengo ambayo nahitaji kufungua chuo cha utalii na usimamizi wa mahoteli na accounts. Sasa mahitaji ya sasa ni
1. Usajili
2. Katiba
3. Lesseni
4. Kodi
Chuo hicho nataraji kuanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.