Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Nilikuwa na mzigo pale DHL lakini tumefuatilia mpaka tumeona bora tuuache wachukue wao. Je kuna wadau wengine mmekutana na usumbufu mkubwa namna hii pale DHL Dar?
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari wakuu, Naomba juzwa hilo swala langu hapo juu pia sehemu zipi hasa naweza kupata faida kubwa? A Ushuani B Uswahilini Please nijibuni nipo katika kuaandaa wazo na kulitekeleza soon.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Natafuta partinership na mtu au kampuni. Eneo lipo Serengeti kilomita 5 karibu na mbuga za wanyama za Serengeti ukubwa heka 35, limechimbwa bwawa la maji na pia mbembeni kuna shughuli za uchimbaji...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kampuni ya Genius notes board advertise inatangaza tenda za lufanya kazi zifuatazo mtu mwenye stetionary anaitajika jijini mwanza kwa ajiri ya kusaidia katiaka shuguli za ku print ku photocopy na...
0 Reactions
0 Replies
811 Views
Waheshimiwa mambo vipi? Naomba kujua gharama za frem na jinsi biashara ilivyo Tanga mjini nataka kufungua mgahawa mkubwa.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hello wanajamvi.. ni siku nyingine tena tupo pamoja.. Kwanza vipi khali zenu? Naomben kuuliza haya.. Hivi kuanzisha kiwanda cha kufyetua matofali ni vitu gani vinahitajika?.., Je usajili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamii forum, Nimekuwa nafuatilia kwa ukaribu sana hizi hisa za CRDB tokea mwaka 2016 mwezi wa 7 naona hazipandi ila zinazidi kushuka sana.Kwa mfano ukiangalia report ya mauzo ya...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Miaka inakwenda siku zinapita , Maisha yana zidi kuwa magumu kisa yaweza kuwa mambo mengine lakini kwa kuwa tuliwekeza kwenye kupanda mbegu DECI miaka ya 2007,2008,na 2009 nalaani kuwa walioizuia...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu kwa mwenye uelewa na experience ya kufanya business na Alibaba sellers aweze kutoa msaada jinsi ya ku trade nao maana inaonekana wana cheap products ila nyingi wanauza kwa jumla je vp...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari ya Jumapili wadau, Mimi kijana wa miaka 25 ndo kwanza nimeanza maisha ya kujitegemea kuna kazi naifanya ambayo kwa mwenzi huwa inaniingizia kipato cha laki tatu(300000). Sasa nilikuwa...
1 Reactions
35 Replies
11K Views
Je, nawezapata mkopo bank yeyote kwa kutumia hati yangu ya kiwanja kama dhamana. Kiwanja kipo town sio bush lakini kipo plan, hakina chochote. Nawasilisha.
0 Reactions
3 Replies
772 Views
Hellow habari, Mimi ni mwandishi wa makala za utambuzi naomba nisaidiwe jinsi ya ambavyo naweza kuuza makala zangu kupitia magazeti. Ama kama naweza kuzirusha kupitia vipindi vya TV.
0 Reactions
16 Replies
3K Views
habari wakuu tumezoea kuona unga na mchele vikifungashwa kuongeza thamani vp kuhusu maharage.biashara hii ya kufungasha maharage ikoje wakuu nawasilisha
0 Reactions
0 Replies
3K Views
mambo vp jamaa naweza kupata ushauri kuhusu kufanya bishara ya kusafirisha kuku kama niko nje ya dsm, ikiwemo bei, namna za usafirishaji na gharama, maeneo naweza kupa soko na vingine kama utakua...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Makubaliano yaliyofikiwa kati ya Wizara ya Elimu na kampuni ya IBM katika kusukuma Elimu Kwa njia ya dijitali huenda yakaafikiwa baada ya kampuni ya vodacom kufanya uwekezaji katika kusambaza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Unapoongelea mafanikio ni lazima uguse uchumi na unapogusa uchumi unaigusa serikali na mtu mmoja mmoja,hivyo suala la uchumi ni mtambuka sana lakini linasimamiwa na mipango thabiti, weka mipango...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Kuna mtu kaniomba ushauri hapa, anahitaji kufungua acount, sasa kabla ajaingia mkenge,anahitaji kwanza nimpe nondo za kitaalamu khs bank rafiki kwa maskini...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Wakuu kama kilivyo kichwa cha habari nimefungua salon ya kiume hapa DSM maeneo ya DUCE sasa TRA kila wakipita inabidi tufunge, kwa anayejua hivi salon inaweza kuwa sh ngapi kwa mwaka? Mimi...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Miezi mitatu na nusu sasa inatosha kukupa picha ya muelekeo wa maisha yako kwa mwaka huu wa 2017. Hakuna siri wala huitaji nabii kukutabilia December mwaka huu itakuwaje, kama hautafanya kitu...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom