Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Nauliza waungwana tusaidiane
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish EURUSD managed to hold out its bullishness last week, in spite of the current short-tern consolidation in the market...
0 Reactions
0 Replies
475 Views
Natafuta business partner mkoa wa mbeya tupeane mawazo ya kuanzia biashara mkoani mbeya aliyemkoani mbeya.asanteni
1 Reactions
38 Replies
3K Views
Mwongozo kamili wa Whatsapp kuendesha biashara. Je, wewe ni mfanya biashara wa kati au mdogo? Kama simu yako ina whatsapp unaweza kuitumia kuendesha biashara yako. Njia za kutumia Whatsapp...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamvi!? Wakati tukiingia katika karne ya 22 inayohusisha maendeleo ya sayansi na Teknolojia watanzania wamehamasishwa kuwekeza katika sekta ya sayansi na Teknolojia kwani ndipo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kwa aliyeko dar, umri miak 24, mwenye ujuzi wa biashara, ambae yuko tayar kufanya kaz (kujiajiri) awasiliane nami inbox tufanye kaz na awe mwanamke
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wakuu. Nina mpango wa kusajili kijigazeti ambacho nitaweza kushare na wenzangu kila asubuhi juu ya habari mpya na za zamani. Kwa kuwa humu JF ni jungu kuu, naombeni msaada wa hatua za...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za Asubuhi wanajamvi, Nina imani kuna wafanyakazi wenye ufahamu na jambo hili, Naombeni msaada wenu, Nataka kujua ni kiasi gani cha juu kabisa cha mkopo ambacho mfanyakazi anaweza kukopa...
1 Reactions
10 Replies
7K Views
Sielewi Prof. Ndulu na wengine wanaposema uchumi wetu unakuwa. Uchumi wetu unakuwa kivipi ilihali naona watu vijijini bado wako gizani, maji hawana, shule hazina vitabu, na bei ya bidhaa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Salaam alaykum wapendwa.. naomba kwa yoyote ambae ana ujuzi wa kutumia amazon kama sehemu yake ya kununulia bidhaa kwa njia za mtandao anisaidie procedures zake na namna ya kufanya mzigo...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Tupeane tips za shares on what to buy what to sell and what to hold. Na hapa nazungumzia sharws za ndani na za nje ya nchi Let it begin...
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Nahitaji msaada wa mawazo juu ya wazo la uanzishaji wa biashara ya duka la kuuza na kukodisha CD ikiwepo na tigo pesa lakini kuna jengo ambalo ni sehemu nzuri kufungua kitu kama shule ya watoto...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba maelezo ya kina kwa yeyote anaejua kuhusu hawa watu. asante sana tafadhali pakuwa kwanza kifungasho
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Wakuu anayefahamu kuhusu hii application anielekeze jinsi ya kukopa pesa na unarudishaje?
0 Reactions
44 Replies
21K Views
Mradi wa Kuwawezesha wanawake Kiuchumi Kupitia Tasnia ya urembo ujulikanao kama Manjano Dream-Makers ulioasisiwa na Taasisi ya Manjano Foundation wataendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa wanawake...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Katika kuhakikisha uchumi Wa Tanzania unastawi kampuni ya Vodacom Tanzania imeamua kuunga mkono jitihada za kustawisha uchumi katika ukuaji imara katika sekta ya viwanda kwa kuhakikisha huduma na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamii F! Naamini wote wazima,mimi ni kijana ninaependa maendeleo na kujifunza vitu vingi zaidi... Nilikuwa naomba kwa wanaofahamu() ,naombeni mnifahamishe/mnielimishe kuhusu zao...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wengi miongoni mwetu wamekuwa wakitaka kujua HISA ni nini, shauku hii imenifanya nidodose kidogo juu ya hisa kwa faida ya wengi. Kwa tafsiri lahisi HISA NI UMILIKI. Mtu akisema nina hisa NMB...
2 Reactions
30 Replies
43K Views
Namna gani unaweza kuanzisha Foundation? faida na hasara zake, msaada wana jamvi.
0 Reactions
0 Replies
670 Views
Habari wanajamvi? Miezi michache iliyopita kampuni ya usafiri wa anga hapa nchini Tanzania FastJet ilisitisha matumizi ya ndege za Airbus A319 na kuamua kutumia ndege ndogo za Embraer E190 kwa...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…