Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wadau, Mimi nina plan ya kufanya biashara ya simu kutoka China lakini sijui ushuru ni kiasi gani pale Airport. Naomba anaejua anifahamishe.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tanzania kuna utitiri wa mabenki. Je ni benki gani yenye huduma mbovu zaidi? Kuanzia huduma kwa wateja, bidhaa, makato, huduma za mikopo,uaminifu na huduma za atm
0 Reactions
72 Replies
13K Views
Habari za jioni ndugu Katika gazeti la mwananchi wameripoti kuwa kumetokea kupanda kwa bei unga wa sembe kutoka 700 mpaka 2200 kwa kilo moja. Hali inayopelekea kutokea ugumu wa kula ugali na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa eenue uelewa, naomba kufahamu gharama fursa na changamoto za biasha ra ya gesti ya level ya kati. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za muda huu ndugu zangu! Naomba kwa mwenye ufahamu na maswala ya biashara, je kwa mtaji wa laki saba naweza kuanzisha biashara gani? Ambayo itakuwa na mzunguko mzuri, Naombeni ushauri wenu...
1 Reactions
6 Replies
39K Views
Kijana tambua kuna kushiriki na kushirikishwa Je katika utaratibu wako wa maisha yako ya kila siku ukigawa mawazo na utendaji wako katika % wewe ni mshikriki au mshikishwaji....? katika muktadha...
1 Reactions
0 Replies
920 Views
Habar wakuu? nafanya biashara ya samaki aina ya sato na sangara toka mwanza.. target ni kuongeza soko kwa kuuza samaki nje ya mwanza.. kwa wale mlio nje ya mwanza fursa hii tufanye kazi kama kweli...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habar ya week-end wanajf, Kuna siku nilipita mtandaoni, nikakutana na habar ya kuanzishwa Kwa shindano la ujasiria Mali vyuon, naomba mwenye taarifa kamili anipe ufafanuzi tafadhar
1 Reactions
0 Replies
897 Views
Ningependa kujua namna yakuwezesha till no. Yangu (namba yangu ya uwakala) na huduma yakuuza vocha na vifurushi maarufu kama VODAFASTA inawezekana?
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Tanzanian capital Dar es Salaam’s real estate has been ranked ahead of Nairobi and Addis Ababa in the World Bank’s latest cities report, which cites land fragmentation and weak property rights as...
0 Reactions
2 Replies
967 Views
Habari wana JamiiForums. Nikiangalia kwenye map wanasema Dar kuna shop ya kampini inayouza drones, DJI. Mwenye taarifa zozote anisaidie please.
0 Reactions
2 Replies
633 Views
Napenda kujua, Kampuni ya Soya inayojihusisha na utengenezaji wa bidhaa za plastik inapatikana wapi kwa hapa Dar es Salaam?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MAFANIKIO YA MAISHA SIO ELIMU TU, UTHUBUTU, KUJIAMINI NA UJASIRI WA MAAMUZI ✍Ukichunguza katika jamii, utabaini kuwa sehemu kubwa ya matajiri ni wale ambao wana elimu ndogo ama hawakusoma kabisa...
5 Reactions
14 Replies
8K Views
Ninapapenda sana Kampala. Nataman kujua watu wa pale wanahitaji nini kutoka Tanzania ili niifanye biashara hyo. Msaada please!!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Khabari wana jamvi hili.. Nikiwa na tabasamu lenye tumaini la uimara wa afya zenu, naomba nikunje miguu kama nyie jamvini kisha tujumuike pamoja.. Ewaah.. Akhsanteni.. Kabla hamjanipa chakula...
1 Reactions
1 Replies
674 Views
Habari wakuu naipenda JF naona ni jengo la maarifa. Kuna mtu aliniambia nisipende kuweka fedha zangu bank muda mrefu bila kuziwekeza,vinginevyo zitaathiriwa na kuporomoka kwa thamani ya pesa...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
1. Rais Benjamin Mkapa hadi anaondoka madarakani ktk ile miaka yake kumi unga wa ugali ulikuwa tsh 400/= kwa kilo KWA HAPA DSM 2. Rais Jakaya Mrisho anapokea kijiti unga...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
AUS200 Dominant bias: Bearish The market was mostly bearish in January, and that was strong enough to bring about a bearish outlook on the market. Although volatile, price has not trended...
0 Reactions
0 Replies
485 Views
nina madini yangu ya tanzanite mawe mawili moja la zambarau na jingine la kahawia je kwa dar es salaam tanzanite inanunuliwa sehemu gan?nataka kuyauza au mpaka niende arusha?? msaada wenu wadau
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom