Mfumuko wa bei za bidhaa unazidi kuongezeka nchini Kigoma unga kilo 25 unauzwa 40000, mchele kilo 1800, maharage 2000 huku debe la mahindi linauzwa 20000 mpaka 21000.
Habari wana JF,
Kupitia jukwaa hili miaka miwili iliyopita nilipata mwongozo wa jinsi ya kuanzisha ujasiriamali kwa kupitia magari ya Suzuki Carry .Huu ndio ulikuwa mwongozo niliowaomba
Naomba...
Shirika la viwango Tanzania ,kazi zao hazionekan na hii inanifanya nsione umuhim na ufanisi wa utendaj kazi wao
,Leo asubuh naenda dukan kununu sukarr nakutana na sukar fake ,sukar inapackage na...
Kwa anayefahamu baada ya kufanya claim ya VAT South Africa(SARS) malipo yanakuwa katika cheque au vipi?
Na ni benki zipi za TZ zinazo process malipo baada ya kupokea cheque au any payment...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bearish
From Monday to Wednesday, this pair went downwards, moving below briefly below the support line at 1.0550. Price then...
Naomba ushauri wanaJF,
Natarajia kununua miti mia mbili yenye umri wa miaka minne kwa bei ya sh 760,000/=. Biashara itafanyika kwa kutuma pesa kwa M-pesa mimi ntaenda kuiona Mwezi wa sita. Kwa...
Quality Group facing eviction from building it once owned
THISDAY REPORTER
Dar es Salaam
THE Public Service Pension Fund (PSPF) has moved to evict Quality Group Limited from its Quality...
Wandugu Heri ya mwaka mpya, naamini Mungu ametuvusha salama.
Somo liko juu hapo Mwaka huu natamani kuanzisha biashara ya Nguo, Simple shoes na Mikoba ya akina dada. Nataka kupeleka kwenye hiyo...
Baada ya Waziri wa Ujenzi Prof. Mbarawa kutangaza kuanza Ujenzi wa bandari kavu ktk eneo la Ruvu, Mlandizi, hakika jambo hilo ni hatua kubwa sio tu kupunguza msongamano lakini pia utachochea...
Ushauri tafadhali,
Kwa kiasi hichi ukiwa na maeneo ya mashamba na viwanda, naomba projection forecast na mchanganuo wa haswa kwa kiasi hichi kiwanda gani kinafaa maeneo ya Moshi na mchanganuo wa...
Kumekuwa na taarifa kuwa Waziri Mkuu amepiga marufuku utumiaji, uuzaji na uzalishaji wa viroba kwa maana ya packaging.
Sasa swali la msingi ni kuwa hawa watu wenye stock kubwa ndani ya hivi vitu...
Habari wadau.
Nimeacha kutumia Akaunti yangu iliyopo Barclays Bank kiasi cha mwaka mmoja sasa. Kinachonikera, kila saa moja asubuhi natumiwa sms kwamba salio langu ni tzs 0.00. Nilienda Barclays...
Wapendwa naomba msaada wanu juuu ya Kujua jinsi ya kuanza biashara hiii ya kuuza chakula,nakupenda sana lakini sijui wapi pa kuanzia na mtaji ni nilionao ni sh.m.1 tuu.naombeni msaada wapendwa ili...
*JE UNAJUA KWA NINI HUFANIKIWI?*
Una mizigo mingi isiyo ya lazima wala faida ambayo umeibeba
1.Umejipa jukumu la kuwa "mpelelezi" wa maisha ya wengine na umesahau maisha yako
2.Umebeba vinyongo...
Kutokana na uzoefu wangu wa muda mrefu na uwezo/kuifahamu hii biashara natafuta mtu mwaminifu wa ku share kuingia ubia na kufanya hii biashara kwa ufanisi wa hali ya juu.kwani tatizo langu ni...
I was having a catch up with my good mate and uber cool pad holder Jarrod yesterday – we both share a fascination with human performance. We are both interested in what we can get out of the...
Habari zenu wanaJF hope niwazima,naamini umeshakutana na hii concept kwamba ili upate fedha, utajiri, mafanikio lazima ugundue tatizo katika jamii na ulipatie suluhisho. Maana yake nikuwa ukiweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.