Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakuu habari zenu. Nimeona kuna demand mkoa flani hivyo ninahitaji kufanya bussiness ya karatasi. Kuna mtu anafahamu humu wapi wanaweza kuwa wanauza karatasi kwa bei ya jumla apart from yale...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Online markets kama Kupatana.com, zoomtanzania.com, jumia.co.tz, n.k. sio tu mitandao hii imeleta masoko ya bidhaa mbalimbali viganjani mwetu pia imesaidia kuokoa muda ambao ungetumika kufwata...
4 Reactions
20 Replies
8K Views
Kufuatia hali ngumu ya uchumi iliyoikumba nchi yetu Tanzania na kupelekea wengi wetu kufilisika na kufunga biashara ,na hali hii mbaya imetukumba siye wafanyabiashara wadogo tu, matajiri huwa si...
4 Reactions
18 Replies
3K Views
Ebu fikiria dada anayechoma mahindi maeneo ya manzese darajani kuanzia saa 12 jioni mpaka saa 2 usiku, kwa siku moja ana uwezo wa kuchoma mahindi 50. Kila hindi moja ananunua shambani kwa shilingi...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
UGUMU WA MAISHA HUANZIA AKILINI MWAKO. Ebu fikiria Dada anayechoma mahindi maeneo ya Manzese Darajani kuanzia saa 12 jioni mpaka SAA 2 usiku, kwa siku moja anauwezo wa kuchoma mahindi .50. Kila...
14 Reactions
44 Replies
14K Views
Habari zenu wakuu mimi ni mfanya biashara wa stetionary na Money Transfer(tigo pesa,airtel,voda na luku)hivi sasa mtaani kwetu biashara hii imeingiliwa kila mtu akifungua biashara anacopy na...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu niliweka malengo ya kwamba, ikifikia mwezi wa nne mwaka huu niwe na mil 6, kwa ajili ya kuanza biashara ya kuuza vyakula vya majumbani kama vile nafaka za aina mbalimbali, mafuta ya kupikia...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Technology for street traders in Tanzania: A design science research approach The informal sector employs the major part of workers in developing countries. Street trading is a common form of...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Inaonekana kuwa takribani miaka kadhaa inayofika hapo mbeleni watanzania wengi watakuwa kwenye dimbwi la umasikini na hata kukosa direction ya maisha yao. Elimu inayotolewa Tanzania humfanya mtu...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wakuu, Swala la Ujasiriamali ni swala gumu sana na watu wengi hujichanga mashahara wake wa miaka hata 5 ili aanze project, Mtu hujinyima kula, kustarehe na mambo mengine ili tu akusanye...
10 Reactions
6 Replies
2K Views
Naamini mnaendelea vema na shughuli za kila siku poleni kwa majukumu maana changamoto zimekuwa nyingi. Kuna swali ambalo huwa najiuliza kila siku kutokana na yale unayokuta wakati mwingine...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu naandika huu uzi nikiwa na masikitiko makubwa sana. Kama vijana tunajitahidi sana kujiajiri lakini mambo ni magumu sana huku mtaani. Biashara zinazorota sana huku mfumuko wa bei ukiendelea...
3 Reactions
18 Replies
3K Views
wakuu haber zenu. apa nilipo nina sh. 50,000 sasa nataka kuzalisha nipate pesa ya kuishi ...naombeni wazo la biashara..nifanye biashara gani ili niwezi kufanikiwa? kwa sasa nina ishi mbeya...
1 Reactions
51 Replies
7K Views
Nina eneo la ekari moja na kisima kirefu mita 180 chenye maji mengi na safi. pia nyumba 2 kwa uzalishaji. Natafuta partner tuzalishe maji ya kunywa. mwenye interest na ujuzi karibu. nipo Mbezi...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Please in case there is any TRA expert, can let me know what are goods/luggage stuffs that a returning resident is obliged to pay while coming back from abroad. TRA website has tiny information...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nini ukwamisha hatua za kimaendeleo katika biashara yako. Na Frank kadidi/MtotoWaMzeeWaSiku Wakati fulani nilizungumza juu ya namna ambavyo waweza kuchukua hatua za kimakusudi ili kufikia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jameni wakuu, Ningependa tujadili swala hili kwa umakinifu bila kupendelea upande wowote, hivi kati ya Africa ya mashariki na ya magharibi ni ipi iko katika nafasi nzuri kujiendeleza kimaendeleo...
0 Reactions
0 Replies
820 Views
Habari zenu wanajamvi, Mwenzenu nimeamua niache kazi niliyoajiriwa nikajiajiri mwenyewe kutokana na sababu kubwa moja ya kutopenda kutumwa yani nikitumwa nachukia pia wafanyakazi wenzangu...
9 Reactions
178 Replies
16K Views
Habari wana JamiiForums, Nimepata wazo baada ya kufanya utafiti kidogo na kugundua kwamba katika kipindi hichi soko limekuwa tatizo sana kwa kila biashara, kampuni au watu hapa nazungumzia bidhaa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba msaada kwa anaejua malighafi zinazotengeneza kiberiti cha njiti na gharama za mashine zake na mahitaji yote yanayotakiwa mpaka kiberiti kukamilika. Pamoja na jinsi ya kutengeneza toothpick...
2 Reactions
4 Replies
6K Views
Back
Top Bottom