Hili ndo swali nililokutana nalo mara tu baada ya kushuka kutoka kwenye mwendokasi "mminyano". Nilishangaa kuona Kariakoo ipo kama jumapili wakati leo ni siku ya kazi. ...' we hebu fikiria mtu...
Nataka kuanzisha biashara hii ya mafuta ya mawese niwe nayatoa Kigoma mpako mikoani ila sijajua nianzie wapi mwenye idea kuhusu biashara hii anipe mawazo pa kuanzia pia kama kuna mtu atakayehitaji...
Utengenezaji wa brand umebadilika sana kulinganisha na hali ilivyokuwa zamani,na hii inachangiwa na ukuaji wa teknolojia na ufanyikaji wa dunia kuwa kijiji hivyo hali hii imepelekea hadi mfumo...
Niaje Wadau,
Nataka kutoa somo fupi sana.
Tanzania tunazo rasilimali nyingi sana na tunamshukuru Mola kwa utajiri huu. Unaweza kufaidika moja kwa moja (direct) au kwa namna nyingine isiyo ya moja...
Written by Michael Malakata
15.04.2010 | IDG News Service
After several delays, the East African Submarine Cable System (EASSY) project has come closer to completion following the landing...
Wadau,
Nafikiria kuanzisha biashara ya kuuza vyakula vya mifugo mfano pumba, dagaa, damu, mashudu ya alizeti na ya pamba n.k. Nishaurini nianzie wapi, mtaji mzuri ni kiasi gani, na vitu hivi...
Mradi wa Kuwawezesha wanawake Kiuchumi Kupitia Tasnia ya urembo ujulikanao kama Manjano Dream-Makers ulioasisiwa na Taasisi ya Manjano Foundation wataendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa wanawake...
Habari za ijumaa wakuu.
Naombeni mnisaidie kujua kama Tanzania kuna online mobile payment gateways, kama ilivo kenya wana Pesapal, jambopay, and ipay (i think).
Shukrani sana.
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bearish
This pair went south last week, testing the support line at 1.0500, and then bouncing upwards on Thursday and Friday...
Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear Illusions Africa na Mkurugenzi wa Taasisi ya Manjano Foundation Mama Shekha Nasser akieleza Matumizi Sahihi ya Vipodozi vya Luv Touch Manjano Kwenye Semina ya...
AUS200
Dominant bias: Bullish
While this market went bearish in January, it went bullish in February. In the context of an uptrend, price was corrected last week, and then started March on a...
Habari zenu wapendwa, hope mko poa.
Nimekuja mbele yenu nahitaji kusaidiwa kimawazo na kupata connection.
Kuanzia mwaka jana mwezi wa 8 nilianza kufanya research kuhusiana na Tatizo la dawa za...
Habari,
Kama unataka kununua bidhaa za biashara kutoka nchi za nje, kutoka Ulaya, American, Asia, Middle East countries na India, nipo hapa kukushauri na kukusaidia uweze kupata bidhaa za bei...
Hoteli hii iko katika kisiwa cha Thanda kusini mwa Tanzania, ina vyumba 5 vya kulala ambapo itakugharimu shilingi milioni 22 kulala hapo kwa usiku mmoja.
Hoteli hii inakadiriwa kuwa na ukubwa wa...
Ikiwa ni fursa kwa watu kupata ajira na kukuza uchumi wa nchi yetu, Bado serikali inaruhusu wageni wengi kuajiriwa kwenye hivyo viwanda, Wazalendo wanalipwa ela kidogo sana, nini kifanyike watu...
Nataka mtu aje na ushahidi wa kutosha kama ni kweli au si kweli otherwise mjadala huu sasa ufungwe watu mkafanye kazi. Tumeshachoka sasa maneno mengi.
Nisikie sasa mtu anacomment thread yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.