Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wazee nimewaza sana juu ya namna mambo yetu Tanzania yanavyotofautiana sana na mambo ya nchi zilizoendelea na zinazoendelea kwa kasi. Bahati nzuri nimeshawahi kuishi kwa muda kwenye baadhi ya nchi...
0 Reactions
3 Replies
914 Views
Kuna kipindi pumba huwa nyingi mijini na huuzwa kwa bei ya kutupwa, naomba ushauri kwa anayejua nawezaje kuongeza thamani kwenye pumba ya mahindi angalau nikapate chochote.
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Habari wana JF, Nimekua nikiumia sana na uharibifu unaofanywa na watu kwenye uoto wetu wa asili. Nina wazo la kuanzisha non profit organization itakayo kua ikitoa elimu kwa vijana na jamii kwa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Kama kichwa kinavosema, Jamani wahangakaji wezangu mimi sio mjasirimali ila nataka niaze biashara ila nataka mzigo wa biashara nichukulie nje ya Tz. Nikikuwa naomba jinsi gani mnaweza kunisaidia...
0 Reactions
2 Replies
925 Views
#CountDown #MilioniYaZiada. Zimebaki siku 17... KWA NINI WEZI HAWATAJIRIKI... Watu wengi wamekuwa wanashangaa watu wanaiba fedha nyingi, lakini bado wanaendelea kuwa wezi maisha yao yote. Siyo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau, Naomba mwenye mchanganuo ama ujuzi au uzoefu wowote wa kuexport ndizi nje ya nchi. Nataka kuanzia biashara hii niwe nanunua ndizi hapa nchini na kuzisafirisha kuziuza ulaya. Bei za nje...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba kufahamishwa ni wapi wanatengeneza toothpick Tanzania.
1 Reactions
28 Replies
18K Views
Kwa sasa naona kila mjanja wa mujini anaanzisha kiwanda cha maji, saizi hapa nimeagiza maji wameniletea maji ya ....(jina kapuni) chupa linanuka uvundo na kwa chini ndani kama kuna chengachenga...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Ndugu zangu nahitaji kufanya biashara ndogondogo ya tigopesa na vitu vingine Nawezaje kupata leseni ya biashara na vingine vinavyo takiwa kama Tini number? Naomba msaada ndugu zangu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ASALAM: Naomba kujua jinsi ya kua wakala wa hizi bima kwa mwenye ufahamu wowote naomba anijuze niweze kujitoa kwenye hili dimbwi la wakosa ajira.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi kama mtu una channel ya kuleta wawekezaji toka Iran kuna zengwe lolote serikalini? Jamaa ninadeal nao na naona wako straight kuliko waarabu wa Saudia, UAE na kwingine Nishafanya nao...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni dhahiri kwamba kutokana na kukerwa na huduma mbovu za Vodacom wateja wengi wameuhama mtandao huu na kuhamia mitandao mingine. Mfano nina wateja wa vodacom 110 kwenye simu yangu. Kati yao, 92...
6 Reactions
128 Replies
12K Views
Wadau, Naomba watu wenye uzoefu wa biashara katika hii nchi wanipe uzoefu, je ni biashara gani toka Tanzania inalipa huko, je toka huko naweza leta nini Tz? Sera zao za biashara zikoje? Vipi...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Hivi wadau, unaweza kufungua vodashop yako private isiyomilikiwa na kampuni ya Vodacom. 2. Kuna hatua gani za kufuata. 3. Unahitajika uwe na mtaji kiasi gani? 3. Pia unatakiwa uwe na vitu gani?
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wakuu thamani ya shillingi yetu imazidi kuporomoka kwa kasi. Sabaabu kubwa ni Escrow!
0 Reactions
45 Replies
4K Views
Mabilionea wanane wanamiliki mali sawa na nusu ya watu duniani Mabilionea wanane matajiri zaidi duniani 1. Bill Gates (US): mwanzilishi wa Microsoft (utajiri wake $75bn) 2. Amancio Ortega...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Ndugu zangu, Hili limenitokea napenda kuwapa tahadhari wale wote wanaofikiria kwenda kununua mbao buguruni wawe makini. Mimi nilikubaliana bei vizuri na muuzaji na kweli mzigo ulikuwa mzuri, pia...
21 Reactions
55 Replies
8K Views
Habari wana JF. Natumia Kila mmoja Wenu yuko vizuri. Mimi nahitaji mtu wa kunishauri nifanye biashara ipi kuanzia mwezi April kwa mtaji wa TZS 70,000. Sijawahi kufanya biashara na wala sina...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Vijana wengi nnaokutana nao na kuongea nao husema "Fedha ya mtaji ninayo ila wazo la biashara sina" au "Sina fedha ya mtaji ndo maana siwezi kujiajiri". Kijana katika makala hii najaribu kujibu...
2 Reactions
6 Replies
4K Views
Back
Top Bottom