Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Ndugu zangu, Nilikuwa nahitaji kufahamishwa kwa mwenye kufahamu wapi walipo mawakala wa bidhaa za kielectronic za kampuni ya SONG SUNG katika mkoa wa Dar es Salaam. Ahsanteni
0 Reactions
2 Replies
874 Views
Nafanya kazi kwa mtu toka 2012. natafuta mkopo 15m. na take home 1m na naweza kulipa 500,000 kwa mwezi. ninadhamana ya shamba 3acres lenye mkataba wa mahakamani. LINA MAJI NA GARI INAFIKA. benki...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Wakuu, Nataka nianze kuuza bidhaa online ila nataka niwe nauza kupitia Jumia lakini sijaelewa ni hatua gani natakiwa kufuata. Je, nifate procedure gani?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari,,,,,,, Naombeni kufahamishwa Jinsi ya kujiunga na Internet banking (CRDB) na je? Zip code au postal Code Za kusajiri Online payments, ni lazima kuwa connected na internet banking!!? Kwa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
ndugu zangu JFs nawaomba ushauri nina ndugu yangu amekua akiniomba sana nimsaidie jinsi ya kufanya biashara kwani ameona nimefanikiwa kuendelea nazo na yeye amekua muoga sana kupoteza pesa, sasa...
0 Reactions
0 Replies
592 Views
Nisaidieni kupata Mkopo wa Milioni 10, naweka rehani ya shamba la hekta 10, lipo Mvuti - Msongola- Ilala- Dar es Salaam- Km 7 kutoka JNIA na Km 5 kutoka AZAM Stadium, halijapimwa, lipo kando ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
hii ni mwaka moja tu huyu jamaa kalima vitungu saumu na viazi mviringo. amelima zaidi ya eka 5 kauchuma wa maana. sasa kwanini na sisi tusijaribu mazao ya biashara? tatizo letu tunakomalia sana...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Tanzania’s inflation rose to 5.0 percent in the year to December, up from 4.8 percent the previous month, pushed up by an increase in food prices, the National Bureau of Statistics reported on...
0 Reactions
0 Replies
607 Views
Karibu katika kuongeza kipato cha kila siku kwa kutumia simu yako kwa watumiaji wa internet wa kila siku Fuata Link ifuatayo kuongeza dola 10 kwa kila mtu http://jamiiforums.com/?refcode=95111
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wapendwa, Nilifanya online business name registration kwa BRELA toka 13/12/2016 lakini hadi leo bado hawajafanya clearance ya business name. Namba ya simu waliyotuwekea ukipiga haipokelewi na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, Nnimeanza na kupanda papai hybrid za miezi sita heka moja, baadae pasheni and etc. Kikubwa nahitaji kufika soko la nje, procedures za Tanzania na nchi za ughaibun kwa biashara...
3 Reactions
7 Replies
5K Views
Habarini wanajamii forum wenzangu Leo nimekuna naubishana na jamaa Fulani juu ya uwezo wa kukopa Pesa katika taasisi za kifedha hasa hasa katika mabenk kwa dhamana ya kiwanja hivyo naomba kwa...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Natamani kuingia katika biashara ya hisa lakini sijui utaratibu wowote kuhusu hiyo biashara.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kama wewe ni mkulima au mfanya biashara wa mboga mboga.. cabbage,sukuma wiki,Chinese nakadhalika...huu ndo mda wako wa kupiga hela kama wale wazee wa kubet...sijui wale vegetarian wameongezeka au...
3 Reactions
9 Replies
6K Views
Kuna mtu wa fremu,Yeye anabiashara ,.kodi ni 100 000 kwa mwezi,ipo Mabibo na eneo ls biashara sana .Pm tujadili namna ya kumkabili Sizonje
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Nahitaji kutuma mzigo nje kwa kutumia shirika ketu la Posta. Naomba kwa mwenye maelezo anipe gharama zake kwa nchi ya Finland. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu naomba kupata mawazo na ufahamu wenu kuhusu hizi taasisi za kifedha ambazo hutoa mkopo kwa watumishi wa umma kwa utaratibu wa kuwataka wateja wao kuacha ATM cards ili wao wajichukulie fedha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana JF na wakazi wa Kigamboni, kiribuni sana katika yadi ya maegesho iliopo ferry karibu sana na kanisa la Lutheran. Kwa wale wanaojali muda wao wa kazi na wasiopendelea kukaa foleni ya kivuko...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari zenu.. Nakopesha pesa kwa riba. Riba ni asilimia 10 kwa mwezi. Mkopo ni wa muda mfupi ambao hautozid mwezi mmoja kulingana na kiasi cha pesa. Wafanyabiashara wadogo na wafanyakazi...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu,ningependa kuchukua fulsa hii kuwataarifu kuwa mabenk yameanza kutoa tena mikopo kwa watumishi wa umaa,leo nimepokea msg kutoka bank ya Posta ambako nilisubmit maombi ya mkopo...
4 Reactions
32 Replies
7K Views
Back
Top Bottom