Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

I currently sell Bitcoin in Kenya and Tanzania. Buy and sell Bitcoins safe and secure But I sometimes get more money in Tanzania. But I need more money in Kenya So I am offering people my...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Have you ever wondered why you are doing all the work on facebook, Instagram and other social media but you dont get paid? Steemit is an open-source, community-based website that pays you for...
0 Reactions
2 Replies
739 Views
BITCOINS ni coin inayozidi kukua ulimwenguni kwa kasi kubwa sana, BITCOINS ni coins isiyoshikika kama pesa nyingine (Digital currency) ila inauwezo wakufanya kazi kama pesa nyingine ulimwenguni...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Naomba msaada Wa anaye jua ishu za kulipa makadirio TRA: MTU kafungua kampuni mwezi August, 2016: akakadiriwa mwezi sept alipe sh 500,000. Kufikia DEC 31: Sasa hajafanya chochote kibiashara, hata...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nianze kwa kusema tu kuwa sio vinyozi wote Utakuta emeenda kunyoa huu kinyozi amesha kufunga kitambaa kwa ajili kuzuia kuchafuliwa na nywele amesha Washa mashine mara sim yake inaita badala...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana Jf. Naomba Kufahamishwa: hali Ya Hewa Ya Uyui, @aina Za Mazao Zinazoweza Kulimwa fursa Zingine Ukiacha Kilimo HATA Historia Ya Wilaya, changamoto Zilizopo:kibiashara,kiuchumi,maji Na N.K! NB...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Kutana na mabigwa wa kufunga electric fence utaandaliwa quatation bure na tutakuja kukutembelea kwenye site yako bure kabsaaaaaa hii ni ofa ya muda mfupi tunapatikana kariakoo mtaa wa livingstone...
0 Reactions
0 Replies
877 Views
Bakhresa- 1st Kazi ya kwanza: Meno ya Tembo/Uwindaji wa Tembo na wanyama wengine na siyo Restaurant Kazi ya pili baada ya kupata pesa ya meno ya tembo: Fungua maduka Kariakoo/...
3 Reactions
80 Replies
14K Views
Wakuu heri ya mwaka mpya. Jamani kuna jambo linanishinda Nina mpango wa kuanzisha biashara ya kusafirisha bidhaa nje ya nchi (siyo chakula). Sasa kuna hii ishu ya shipping kusafirisha mizigo na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za kazi wana Jf, Awali ya yote napenda kumshukuru mwenyezi Mungu kwa kutufikisha mwaka huu mpya wa 2017, pia tuzidi kufanya maombi ili tuweze kuishi miaka mingi na kheri Duniani Mwaka huu...
0 Reactions
1 Replies
767 Views
Jamani Naombeni Msaada mtu anayejua kuhusu Mradi wa bakery ikiwa ni pamoja ni gharama ya vifaa husika
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Watanzania, napenda kufahamu kuhusu hii biashara ya mabango makubwa kwa ajili ya kutangaza biashara za makampuni mbalimbali. Na, nina interest zaidi na mabango ya ki elekroniki, au niseme ambayo...
1 Reactions
5 Replies
7K Views
Habarini Wadau Wa Jukwaa Hili, - Mimi Ninavutiwa Sana Haya Masuala Ya Fashion - Sasa Nimefikiria Kuanza Mradi Wangu Rasmi Wa Mavazi Kama Nilivzotaja Hapo Juu, Naomba Mwenye Kujua Abc Za Haya...
4 Reactions
32 Replies
9K Views
Juzi mtalaamu wa Uchumi na Mwenyekiti wa CUF Prof. I.Lipumba alitoa darsa la uchumi na jinsi gani Tanzania inaweza kutoka hapa tulipo kutokana na sera mbovu za CCM. Lakini mi japo sio mchumi...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Hakika nimeshtushwa Na tangazo la Ewura kukubali ombi la Tanesco kupandisha bei ya Umeme Kwa Asilimia 8.5 .Watanzania nadhani mtakubaliana nami kuwa Waziri wa Nishati Na Madini Mh.Sospeter...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hbr wadau? Mimi nimeajiriwa nina mshahara wa 570,000. ni mwaka wa tatu sasa tangu nianze kazi lakin sioni mafanikio yoyote zaidi ya kulipa kodi, kununua chakula na kumhudumia kidogo mke wng...
0 Reactions
53 Replies
9K Views
Wana jf ni bank gani ambayo mtu anaweza kukopa kwa kutumia karatasi ya kiwanja au shamba? Sio hati lakini.....
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Heshima yenu wanaJF, Naomba kujuzwa benk kwa hapa Tanzania ambayo naweza kufungua akaunti na kupata kadi ya ATM hapo hapo. Natanguliza shukrani...
0 Reactions
75 Replies
19K Views
Natafuta MTU committed tuungane tujenge shule ya pre&primary school English medium school.0757658783.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom