Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Baada ya tetemeko kuikumba mikoa kadhaa ya kanda ziwa,nimeanza kujiuliza kama kumilki nyumba bado ni asset ya kuaminika kama tulivyozoea. Ni kawaida kusikia mtu anasema ukitaka kuwekeza na hela...
10 Reactions
154 Replies
14K Views
Nina Tsh 1,000,000,naweza fanya business gani?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau nataka kuanza biashara ya kupeleka vitu vya kike hasa saa,cheni hellen, viatu nchini Zambia vipi kumekaaje? Hasa mji wa lusaka. Mazingira ya biashara kule Yapo vipi? Naomba kuwasilisha
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni mfugaji na pia nimeanza kujishughurisha na hii biashara, natafuta soko au order ya hii bidhaa ,popote pale nitakufikia kwa mkoa wa mwanza, iwe bar au kwenye mahotel.kama unapenda nyama...
1 Reactions
3 Replies
6K Views
Business Ethics in Islam By Dr. Muzammil Siddiqi As Muslims, we have to adhere to ethical standards, not only in business but also in all aspects of life. Both business and ethics are...
1 Reactions
2 Replies
709 Views
Ndugu Wana JF, Nimejitokeza Kuomba Ushauri Na Msaada Wenu. Mimi Ni Mjasiriamali Mdogo Ambaye Nimejaribu Sana Kwa Kutafuta Na Kuomba Mtaji Lakini Sijapata Mwanga Ninaohitaji. Naomba Mnisaidie...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani wadau, Naomba mnisaidie kujua gharama za kupata hati ya kusafiria nje ya nchi.
0 Reactions
74 Replies
18K Views
Kwa wenye ufahamu kuhusu bei ya tikiti .Natarajia kuvuna tikiti mwezi huu wa tisa mwishon naomba kujuzwa being za masoko zikoje. Tafadhari kwa mwenye taarifa anijuze.
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Ndugu zangu Watanzania tupo katika Ardhi ya madini. Bila shaka nitapata hapa ninacho kitafuta. - Nimetokea kujuana na watu wenye pesa zao kutoka nje. Wanahitaji kuwekeza katika uchimbaji wa madini...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Click link ~ go to "full text" K-Developedia > Resources > National development strategy of Tanzania in view to Korea's development experience www.kdevelopedia.org
0 Reactions
2 Replies
752 Views
Uwekezaji ni tofauti na bishara (kununua na kuuza kwa faida kwa muda mfupi 1yrs max) Kwa kawaida uwekezaji ni mradi wa muda wa kati hadi mrefu japo pia yawezekana hata chini ya...
0 Reactions
1 Replies
851 Views
Habari Jf. Mimi ni mfanyabiashara mdogo, mtaji wa 7m, nataka kuipanua biasha yangu ila mtaji wangu mdogo ni changamoto kubwa. Nafikilia kujiunga na saccos ili niwe mwanacha niweze kukopa pesa...
0 Reactions
23 Replies
8K Views
Habar wakuu..... Nilinunua bidhaa kwa mtandao na nikasafisha kwa njia ya flat rate shipping ambayo ni free ila huchukua had muda mpaka siku 25 kukufikia........Kifurushi nimenunua...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
wandugu, kwa anayejua maduka ya mashine fulani za overlock (hizi ni aina za chereheni za overock) kwa hapa dsm naomba tuelekezane. ninahitaji either of these three types. 1. JUKI overlock sewer...
0 Reactions
15 Replies
11K Views
Wenzangu na mie mlosoma miaka ya 80 mnakumbuka ubeti huu.... Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali, Kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili, Watoto wake wakaja, ili kumtaka hali, Wakataka na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ukweli ni kwamba watu wengi wamekuwa na malengo na matarajio makubwa sana juu ya maisha yao, kiasi kwamba licha ya kupata mshahara/malipo/ujira mdogo kulingana na malengo yao wanafanya bidii mno...
0 Reactions
0 Replies
608 Views
Waheshimiwa wana JF. Wengi wanasema wanashidwa kuanzisha biashara kwasababu hawana mitaji lakini mimi ni kinyume chake nina mtaji wa tsh 3,00,000/=, mimi ni mwalimu naomba msaada wa mawazo ya...
0 Reactions
80 Replies
37K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bearish EUR/USD moved sideways last week, from Monday till Thursday, and then broke...
0 Reactions
0 Replies
507 Views
"The Premier Event For Business Minded Individuals, Start-Ups, Entrepreneurs and Business Owners! Do You Want To Start Your Own Business? Do you have a Burning Business Idea? Are you a Start Up...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Aidha naibu waziri alisitisha leseni za makampuni ya STACO na Mohamed Enterpries mnamo August 07 mwaka jana, ambapo baada ya siku kadhaa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti Mbolea Tanzania Suzana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…