Wakala wa Vipimo nchini (WMA) imewaonya wafanyabiashara nchini watakao fungasha bidhaa zao kwa mtindo wa Lumbesa watakumbana na adhabu kali ya kifungo cha miaka mitatu hadi saba jela pamoja na...
Wandugu mimi nimeajiriwa kwa mkataba kwa mtu binafsi huu mwaka wa tatu.
Take home ni 900,000 Tsh. bosi wangu ana wafanyakazi 10. Je, kuna benki inaweza nikopesha?
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bearish
EURUSD went downwards last week, closing below the resistance line at 1.1250. There is a bearish bias on the market...
Wanabodi mimi ni mfanyabiashara nina biashara nyingine tofauti ila napendelea kufungua biashara moja mpya kati ya maize flour processing na water processing na nilishafanya mawasaliano...
Wewe unafanya kazi ofisi A, ulikuwa unawafanyia watu huduma nzuri kwa bei ya elfu 10, na watu wanajua ofisi A wanatoa huduma nzuri kwa bei ya elfu 10, sasa baada ya muda akaja mfanyakazi mgeni...
Wapendwa naomba muongozo.
Ninataka kufungua duka la urembo. Nimekwisha pata frame na kila kitu tatizo sijajua kuhusu vibali na usajili ninaanzia wapi?
Natanguliza shukrani.
Habarini ndugu zangu.
Kama wote tujuavyo, sukari imekuwa gumzo kwa sasa. Naomba anaejua namna ambavyo kibali/vibali vya kuingiza sukari vinavyopatikana anijulishe. Je taratibu zikoje? Hasa kwa...
ASALAM ALEYKUM MAMILIONEA...
Mimi ni muuzaji mkubwa wa mitumba..so called used cloths.
Nataman kuagiza mwenyewe bales/ balo naona kununua mnazi mmoja naibiwa ila mtaj wangu si mkubwa.
Mwenye...
“Trading can be a matter of probabilities. Sometimes you'll be at the right place at the right time; at other times you won't. That's all right. If you are consumed with perfection and finding the...
Habari zenu wadau.
Naomba kujuzwa kwa wafanyabiashara wa hapa ambao hupeleka bidhaa Namibia kushirikina taarifa za kibishara .Nimelenga zaidi kwenye mazao ukizingatia nchi hiyo asilimia kubwa ni...
Vitabu App ni application maalum ya simu ambayo itatumika kama sehemu ya
kuuzia vitabu ya aina mbalimbali. Ni app iliyo chini ya kampuni ya Mindtap
Tanzania Limited inayomilikiwa na watanzania...
Kwa makala nyingi zaidi za uwekezajia embelea tovuti yetu: Uwekezaji Tanzania ( Bofya Hapa)
SIKU:
Jumanne, May 24 saa 2:30 Asubuhi
MAHALI:
Julius Nyerere International Convention Centre -...
Leo naomba niongee na wanaJUKWAA ambao bado wapo kwenye ajira ila haziwaridhishi na wanataka kuingia kwenye biashara au ujasiriamali. Kwanza nikupongeze sana kama wewe ni mmoja wa watu hawa ambao...
Kwa kawaida mambo yanayotuharibia "direction ya maisha" ni yale yanayotupa raha kwa muda mfupi lakini huwa yana madhara mengi kwa baadae.
Kwa mfano; kuangalia "movies" kwa masaa inakupa raha ya...
Dar es Salaam, May 2016:Huawei Device Tanzania has continuously been exploring new methods to satisfy its customers by providing world class device solutions closer to them. To serve their...